Itambue Namba Iliyofichwa Katika Vyumba Hivyo.
‘Karibu kwenye Macho Makali Challenge!’
‘Anatafutwa mtu mwenye macho makali zaidi!’
‘Kwenye picha hii kuna jedwali lenye vyumba 16…’
‘Namba moja...
Ni mara yangu ya pili kufika Pyangyong !
Ni kazi zetu hizi hizi ambazo Kwa manufaa ya wengi si vema kuzisema sema!
Mwaka 2017 nilienda Korea kaskazini na nikakuta mashart magumu sana ambayo Kwa...
Habari Tanzania !
Unajua Mkoa wa Kigoma ni eneo linalopendwa sana hapa nchini licha ya kuwa na maendeleo vidocho ila unapendwa sana na hata watu wake ni wema sana.
Ila sasa Kigoma muache...
Wakuu natumai wote ni wazima.
Kama upo hai na mzima wa afya, wewe kama member wa JF pita hapa ucomment chochote tujue bado upo nasi.
Teko Modise nipoooo
Habari zenu wakuu.
Nimetimiza ndoto yangu ya muda mrefu sana ya kuwa mwandishi wa vitabu.
Katika vitabu vitatu nilivyoviandika nimeshawishika ku release kitabu kimoja cha “Namna bora ya kuwa...
Tajiri wa roho, mjasiriamali na msanii Nguli Shishi baby amefikisha utajiri wa Wastani wa TSH. 3.9 Trilioni kupitia record label, endorsement na assets alizo nazo Dar, Dodoma,Venice, London, Paris...
Kuna Mwanangu alikuwa anaitwa maro, alikuwa baada ya kuangusha divi chooni🤣 anachukua kijiti anaandika ukuta ndani ya choo na nje, machata unakuta mengi mengi ya Wana wa shule,
Ukiiingia toilet...
Kila mtu ana njia yake ya kufuta kumbukumbu zenye maumivu. Unaweza kulia, kuwasiliana na ndugu au rafiki wa karibu ambaye ni msikivu na anaelewa hisia zako zaidi, kukaa kimya katika eneo peke...
Hey people,
Happy weekend
Ipi sifa yako kuu moja inayoelezea personality trait yako? Ile moja ambayo deep down unajua huyu ni wewe,bila kujali maoni ya wanaokufahamu
Mimi deep down najijua ni...
Nadhani kuna uzi humu ulikuwa unaelezea kero zinazopatikana katika nyumba za kupanga, mimi kiukweli kero ndogondogo huwa nazitatua mwenyewe ndio maana ule uzi nilikuwa naupitia juu juu tu, ila...
Mwachiluwi ebu njoo uwachanganye wadogo zako
Kuna mtu atasema ni majani ya chai
Kuna mtu atasema hii thermos
Kuna mtu atasema hili ni bomu la hamas
Kuna mtu atasema hii ni nyuzi za...