JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wana Nsumba mpo? Nilikuwa Nsumba Sec toka 1981-1984! It was nice experience and great school ever attended!Walimu wetu wakina Michapo,Bia ,Kikuli na wengineo.Mshikaji ,Mdundo etc.Bila kumsahau...
2 Reactions
97 Replies
34K Views
Hivi nyie Hili swala mnalichukuliaje unamwazima MTU kitu hakurudishii mpaka ufate na usipofata ndo Ivo kimaya"
0 Reactions
0 Replies
181 Views
Bila kupoteza muda wakuu mnaopenda movie zenye maudhui ya uhalifu, mateso ya kisaikolojia kama The Platform au escape room mnaweza nipa list hapa nishuke nazo usiku huu wa mwisho wa wiki.
2 Reactions
4 Replies
463 Views
Yaani usipokuwa na mtu wa kumpungia basi imekula kwako. Ni kama vile huna dili kabisa. Watanzania tunapenda kusalimiana sana.
4 Reactions
16 Replies
726 Views
Kwa JamiiForums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is...
10 Reactions
53 Replies
1K Views
Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
55 Reactions
85 Replies
4K Views
Yani Jamii Forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya. Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni...
44 Reactions
921 Replies
22K Views
Matthew 5:5 AMP [5] “Blessed [inwardly peaceful, spiritually secure, worthy of respect] are the gentle [the kind-hearted, the sweet-spirited, the self-controlled], for they will inherit the earth.
0 Reactions
0 Replies
294 Views
Kipindi tukiwa watoto, baba unakuta amesafiri, kaenda zake shamba wiki mbili au tatu, akirudi unaona mama kapika ugali-kuku na maziwa ya mgando ,mchicha pembeni na pilipili kichaa vijana wa mjini...
29 Reactions
69 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kama ilivyo kila mtu na starehe yake, wengine pombe, mpira, wanawake, uvutaji Muda si mrefu nilikua nipo kwenye PUBG MOBILE naplay na my teamates hadi saa saba usiku, tukiwa...
1 Reactions
6 Replies
442 Views
Siri ya utajiri ni ubahili. Je tujifunze kuwa matajiri kwa kuiga mfano wa matajiri kutoka kabila gani? Waha Wapare Wambulu Wakinga Wandali Wagogo
1 Reactions
3 Replies
367 Views
Kuna mji nilikaa sasa sikumoja kuna kitu nilikuwa natafuta,ktk harakati za kutafuta hicho kitu nikakikosa badala yake nikakutana na hiki kidonge size hiyohiyo ila chenyewe kilikuwa cha...
7 Reactions
10 Replies
837 Views
nimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?. ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani. lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti...
11 Reactions
164 Replies
4K Views
Hapa hua tunakutana kwenye tangawizi na kahawa Mzee juma kafika na kanzu yake swafi na baraghashia yake kama kawaida, Mzee juma siku hizi ana simu ya kupangusa vidole hivo anakua busy kwenye simu...
2 Reactions
16 Replies
573 Views
Na kama ameshatangulia mbele ya haki, basi isipite siku bila kumuombea Dua. Ni hayo tu kwa Leo.
7 Reactions
21 Replies
750 Views
Aisee hii kitu huwa nakaa najiuliza hivi inakuaje dume Zima umri umeenda ni masikini halafu anajisifia umri umeenda halafu mkewe anakuja kuomba pesa Kwa mtoto mdogo mwenye pesa nyingi kama mimi...
0 Reactions
6 Replies
544 Views
Nimeamua nikazeekee kijijini kwa sababu zifuatazo:- Kule kijijini nitapata hewa safi isiyokuwa na mchafuko Kule kijijini nitapata majirani wema wasiokuwa na choyo Kule kijijini tutakuwa...
30 Reactions
203 Replies
5K Views
Safari ya mtafutaji inahitaji msindikizaji asikuwa na "TAMAA" 📌
1 Reactions
0 Replies
375 Views
Jambo Afrika? Mimi kama kijana wa sasa mwezi 4 mwaka huu nilinunua cm kali iphone matata ya million 2.3.. Ila nimekuja kukundua kuwa nimekimbilia maisha ya Wastafu! So hiyo pesa bora ningeiweka...
7 Reactions
19 Replies
993 Views
Back
Top Bottom