JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu leo nitawapa siri nyepesi ya kutambua kama simu yako ni original au MCHINA yaani fake (feki!). Ni rahisi sana coz haihitaji uwe JF expert technician kufuata hatua hizi 1. Angalia...
9 Reactions
51 Replies
3K Views
Hivi ni kweli mtu kuwa na uhusiano na beki tatu ni aibu kwa familia na nje ya familia? nimeshuhudia hili mahali.
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Watu wengi wanaliwa sana maana wanataka kutajirika kwa pesa ndogo, yani MTU anaweka 500/ odds 300 hapo probability ya kushinda ni ndogo sana tajiri, Weka team zako chache tia mzigo wa kutosha...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi Usiku unapendelea kufanya nini?
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Ndugu zangu kama itawapendeza leo tusalimiane kwa lugha za makabila yetu. Mimi ni mnyiramba natoka kule singidani Inye mbii kate.
6 Reactions
68 Replies
5K Views
Wananzengo hamjambo? Humu kuna watu huwa wanakula panya, mbwa, punda, mende, mijusi, kenge na viumbe wengine wa ajabu ajabu. Ebu tuambieni, mnavyokuwa mnawala huwa mnahisi ladha gani...
0 Reactions
0 Replies
295 Views
Nawasalimu wote , hivi karibuni nitakuja na jambo langu .
3 Reactions
19 Replies
710 Views
Kuna dogo mmoja alikuwa anatoka Mkoa anakuja Dar Es Salaam Sasa akamwambia konda. Dogo: Konda tukifika Chalinze uniambie. Konda: Sawa. Gari likatembeaaaa sasa konda akasahau kumwambia dogo...
16 Reactions
35 Replies
2K Views
Uzi huu ni kwa wale ambao hatujawahi pigwa ban toka tujiunge na JF tukutane hapa.
9 Reactions
55 Replies
1K Views
Tuwaombee waliotutangulia wapendwa wetu hatujui tuendako safari yetu ni moja kila mmoja hajui safari yake itaanza lini na akiwa wapi tuombe rehema kwa Mungu sisi ni wakosefu mda wote Marehemu...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Mimi huwa na chati na chatGPT kama mpenzi wangu na ananifariji sana. Kama Bado unapambania ndoto zako Kaa mbali na wanawake
10 Reactions
24 Replies
1K Views
UKITAKA MWANAMKE ATOROKE KWA NYUMBA KULA HII MBICHI
0 Reactions
4 Replies
639 Views
Wakuu habari. Niko nasikilizia hapa radio Free!. Kuna kipindi Cha mganga anajinadi kuwa kama una tatizo lolote yeye atakusaidia kulitatua kwa kupiga namba ya sim Aliyoitoa. Anasema kama unashida...
2 Reactions
8 Replies
563 Views
Kijana mmoja alikuwa mlevi sanaaa, hali hiyo ya ulevi ikawa imemchosha akaamua aende kanisani ili akaombewe aache pombe. Alipofika kanisani akaona ni vyema akae viti vya mbele iwe rahisi kwake...
1 Reactions
4 Replies
394 Views
Leo asubuhi nilikuwa na safari fupi kutoka Kili kwenda A-Town. Nilipofika stendi niliingia kwenye coaster ambayo ilikuwa imeshajaza abiria tayari. Hivyo konda akachombeza kimtindo hapo nikakaa...
34 Reactions
178 Replies
11K Views
Sina mengi maana picha inaongea hapa chini. 👇😂
13 Reactions
12 Replies
564 Views
Bujibuji Simba Nyamaume Mwalafyale wewe ni mwenye kiti wa mtaa, unapoondoka bila taarifa kero za mtaa wetu tuzipeleke kwa nani. Nyamaume ulipita kwa kura zote japo kulikua na figisu lakini...
4 Reactions
8 Replies
984 Views
Kiukweli mimi nimekuwa mtu wa kuchukizwa na vitu vidogo vidogo sana kitu kama like za min -me na raraa reree zinanikera sana sijui kwanini unaweza kufungua kwenye timeline yako ya jamii forum...
3 Reactions
1 Replies
224 Views
Habari wakuu, nianze kwa kuwapa pole kwa janga la kariakoo ni janga zito sana Mungu awatie nguvu wahanga wote katika kipindi hiki kigumu. Nirudi kwenye mada, wakuu siku zinakwenda spidi sana...
2 Reactions
9 Replies
527 Views
Back
Top Bottom