JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama wewe mtaalam wa chocho na machimbo ya Kigoma. Nipe hizi code Wapi napata 1.Supu nzuri ya samakiiii mkubwaaa😋 2.Kuku chomaaa wa kueleweka😋 3.Kitimoto maridadi kabisa😋 4.Ugali wa lowa😋
0 Reactions
4 Replies
408 Views
Unaambiwa analia sana huko Serengeti anataka kuja Yanga, anadai Mbappe na Halland pia wanaomba nafasi jangwani. Hatahivyo uchambuzi wa kihasibu unasema kuwachukua ni hasara kwani wataishia benchi...
2 Reactions
11 Replies
618 Views
Heri ya siku yakuzaliwa rafiki yetu,mwana chit chat na MMU mwenzetu yna2 Mungu akupe maisha marefu shemela
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Kwa kweli nina hoja na mambo mengi ya kupost katika JF ila sioni sehemu ya kupost! Is it because am using a phone or what is the problem?
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habarini Wana Dodoma, nimeingia hapa jijini Leo jioni toka Mbeya,mwenye kujua location ambayo naweza kupata chakula Cha kitofauti kabisa mathalani ugali wa mtama au uwele na nyama ya punda...
5 Reactions
19 Replies
687 Views
Inaonekana yule Steve msemaji wa waigizaji amemchapa Haji Manara na hapa anapewa pongezi. Tupate habari kamili. Kutoka kwa Jemedari Said
1 Reactions
3 Replies
487 Views
Pombe ni tamu sana lakini ina balaa lakeee! Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni. Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe...
21 Reactions
491 Replies
35K Views
Kuanzia sasa hakuna tena hela ya kutolea unapo mtumia mwanamke hela,akitaka hela kamili afuate geto Kuna vifungu viwili vya uhaini vimeongezwa,ila nakumbuka kimoja tu,mwanao akitaka kuazima geto...
13 Reactions
39 Replies
2K Views
Umebakia ule mshahara wa mwezi desemba. Tokea jana watu ni kuweka heshima na kumaliza kila kitu, kila ukiagiza unaambiwa kuna foleni ama vimekwisha. Tuonane Njaanuary 2025 kipindi cha kausha...
0 Reactions
3 Replies
611 Views
Kama ulikua huyajui maajabu ya MWANAMKE wacha nikufahamishe;- 1) Ubongo wa mwanamke unafanyakazi haraka kuliko wa mwanaume. 2) Kila mwanamke anaamini kwamba mwanaume ndio anaanza kufa kuliko...
19 Reactions
123 Replies
8K Views
Ukitaka kujua akili ta watanzania wengi ilivyo na shida, subiri foleni. Yani kuna foleni badala watu wakae kwenye line yao wanahamia kwenye line ya magari yanayoelekea uelekeo mwingine. Mwishowe...
3 Reactions
2 Replies
306 Views
Alisafiri na mke wake kwenda sokoni walipofika wakapaki akakaa kwenye gari akimngojea mkewe anunue vitu sokoni mrembo mmoja akapita karibu na gari lake alipomuona akashuka akamfuata huyo mrembo...
4 Reactions
11 Replies
684 Views
Jumatatu na jumanne nitakua huko MwanaJF aliyeko nairobi tuchekiane. Naenda kibiashara ila kila mara ni mguu sawa mguu pande Safari hii nataka nizunguke kidogo
4 Reactions
14 Replies
777 Views
SIKUMPENDA, NILIMTAMANI TU ILA ALIKUFA KWAAJILI YANGU Mwanzoni sikumpenda kutoka moyoni, nilimpenda kwa kuwa tu alikuwa mrembo haswa..kwa kifupi nilimtamani tu...yaani nilitegemea akinivulia nguo...
1 Reactions
2 Replies
826 Views
Mwaka unaisha hivyo ni harusi moja pekee niliyoalikwa, ni tofauti na miaka ya nyuma. Labda pengine mlolongo wa matukio kadhaa umefanya mwaka huu kutokuwa kwenye mipango ya kuoa kwa vijana...
3 Reactions
7 Replies
424 Views
Mfano unakula kitu chochote halafu kwa bahati mbaya kimeanguka, okota na ule. Acha kuogopa bakteria na wadudu wengine hatari kwa sababu wadudu ama bakteria pindi waonapo chakula kimeanguka kwenye...
5 Reactions
19 Replies
944 Views
Unamuomba mtu hela anakwambia hana, Unaanza kushangaa kwanini hana hela!! Lakini wewe hujishangai kwa nini huna hela?
2 Reactions
10 Replies
370 Views
Ilikuwa majira ya saa sita usiku natoka zangu kuangalia mpira wa simba yanga naelekea kufuata usafiri ni juzi kati tu hapo basi nikiwa nimetembea kilometa kama 3 hivi nakuanza kuacha hako kakijiji...
19 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakuu leo nitawapa siri nyepesi ya kutambua kama simu yako ni original au MCHINA yaani fake (feki!). Ni rahisi sana coz haihitaji uwe JF expert technician kufuata hatua hizi 1. Angalia...
9 Reactions
51 Replies
3K Views
Back
Top Bottom