*MADEM KWA SIFA..*
*kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utamskia BABY KARIBU TUMEZE DAWA [emoji23][emoji23][emoji23]*
Ujinga tu[emoji276][emoji276][emoji124]
Tangu nianze kunyanyua vyuma sijawahi kuchokozwa so nimeamua kuutafuta ugomvi.Mara ya mwisho kupigana nilipigana na kuku mwenye vifaranga enzi za utoto mpaka leo sijapigana tena.Nime-miss...
pale unapomaliza kuongea na simu usipende kuwa wa kwanza kukata simu kwa sababu kuna matusi ambayo unatukanwa ila kwa kiherehere chako unawahi kukata, unakuta mtu anakuambia, huyu fala kakosa watu...
Habarini wanajf.poleni na mvua aise kwa wakazi wa CALL ME J plz.maana kitu kinapiga mdogomdogo flani hvi yani fulu burudani.
Ngoja niende kwenye mada moja kwa zote
Angalau furah ya kutumia...
Leo nilikuwa nafanya data analyais, nikasema ngoja niangalie hawa members wenye most likes wana michango gani?
Nilishangaa kuona kati ya member kumi wenye most likes, nane ni makapuku.
Na...
imegundulika rasmi Korea kusini wameungana na Arsenal wakutane na Rihanna atembee na rais wa kwanza wa marekani aliyekuwa anamiliki kampuni mbili London katika kisiwa cha Zanzibar alikuwa na baba...
She came home early and found her husband in their bedroom making love to a very attractive young woman. The wife was VERY upset! "You are a disrespectful pig!" she cried. "How dare you do this to...
Utakuta Mama mwenye nyumba anajipodoa na kioo kilivyo hakidanganyi Kweli anapodoka
Anashinda saloon kujipodoa
Style tofaut za urembo wa nywele,
Lakini house girl hata mafuta usoni hapaki lakini...
Leo ikiwa ni mara yetu ya kwanza kuanzisha thread hii kwenu.
Kama una tatizo lolote likusumbualo tuma swali lake tutakujibu
MAJIBU YATAANZA SAA 2:00 USIKU
Habari wa ndugu.
Wakati nipo sehemu Fulani hapa jijini.
Nikakuta jamaa wakibishana vikali kuhusu mzazi wa kiume (Baba).
Mjadala ulianza pala mmoja wao aliposema kuwa amemgegeda Dada yake...
Nitamuuliza maswali machache tu kama yafuatayo;
1:Mshana Jr we ni binadamu wa kawaida au ni kiumbe umetumwa toka kuzimu.
2: Unajua nini kuhusu imani unaabudu Mungu au miungu unayoijua wewe...
Habari wana Jf.polen kwa ujenzi wa taifa hili ambalo inasemekana wananchi wake hawana furaha kwa kwa zaidi ya 90%.ila mimi ninafuraha sana tu kwa kuwa ni mzima wa afya siumwi.
Ngoja niende kwenye...
Kwa heshima na taadhima napenda kuwasalimu wana JF wote mnaopatikana Iringa leo naingia Iringa hivyo kwa member aliyepo mjini si vibaya japo tukaonana na kubadilishana mawazo mawili matatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.