Whatsapp imerudi

Chakorii

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
18,757
51,373
Habarini wanajf.poleni na mvua aise kwa wakazi wa CALL ME J plz.maana kitu kinapiga mdogomdogo flani hvi yani fulu burudani.

Ngoja niende kwenye mada moja kwa zote

Angalau furah ya kutumia whatsapp imerudi sasa maana ilikuwa inaniboa kiaina.eheee sasa hvi sasa unaweza ukasoma mapovu ya watu loh!!

kwakweli nilikuwa naukosa umbea flani hiv maana kuna watu wengine wanaishi mitandaon kwani kila kinachomtokea hukiweka kwa status loh!!basi kupitia alichokiandika unajua huyu anayapitia yapi huko aliko.
Si watu wote jmn naomba nieleweke hapa,kuna wale ambao hawawezi kuzuia hisia zao basi kila kitu wao ni kukiweka hadharan.chah!!

Najua kuna watakaokuja na mapovu kama ya mac washing powder karibun

Twende mbele turudi nyuma whatsapp ilikuwa ikiboa kiaina.

Kuna jamaa aliulizwa,unatumia whatsapp?akajibu ndio natumia ila iwe ya baridi sasa sijui hii tuliyokuwa tukiitumia ilikuwa ya uvuguvuguuuu maana....loh!
 
nafaidi watsup video call na status yaan ile laivu hata make up zinadunda sura mubashara.

Mapovu nimeshaanza kuyaona ila kuwashauri waache kuanika mambo yao hadharan ngumu kweli. Mtu anachamba kwenye status jiwe linawafikia contacts wake woooteee.
 
nafaidi watsup video call na status yaan ile laivu hata make up zinadunda sura mubashara.

Mapovu nimeshaanza kuyaona ila kuwashauri waache kuanika mambo yao hadharan ngumu kweli. Mtu anachamba kwenye status jiwe linawafikia contacts wake woooteee.

Kumbe na wew umelionaee..yani kuna watu wallah hawajui kujizuia nini upost nini uache..

Yapo yakupost wala hayana madhara kabisa.sasa unakuta mtu kasalitiwa anapost akhuuu,mara kamshika ugon mme anaandika maneno yakuonyesha kuwa yuko kwenye majonzi yakuchepukiwa!akhuuuuuuu
 
teh mm napendaga kuangalia dp za watu tu
stts wala siangalii

acha kunidanganya shunie..hujawahi kuchepuka kidgo ukatuangalia tustatus twa mtu nini kaandika kulingana na picha aliyoiweka!!!
 
Daah kuna baadhi niliwaona watunza siri sana ila kuvurugwa kidogo ninafaidi kujua siri za familia kupitia status,migogoro ya mirathi,urithi,talaka,kufumania,wengine wanaringishia hadi matokeo ya watoto wao wa nursery. Mtoto kaumwa nyuki au jipu picha hio na status ya maelezo. Huyu kajifungua masaa mawili yaliyopita picha hio na maelezo juu acha tugeuke shilawadu

Hapo ni kwenye status tu,ndani ya magrup tafran tele
Kumbe na wew umelionaee..yani kuna watu wallah hawajui kujizuia nini upost nini uache..

Yapo yakupost wala hayana madhara kabisa.sasa unakuta mtu kasalitiwa anapost akhuuu,mara kamshika ugon mme anaandika maneno yakuonyesha kuwa yuko kwenye majonzi yakuchepukiwa!akhuuuuuuu
 
acha kunidanganya shunie..hujawahi kuchepuka kidgo ukatuangalia tustatus twa mtu nini kaandika kulingana na picha aliyoiweka!!!
huwa nasoma soma moja imeandikwa najikubali kabla sijakubaliwa
ila mm ugonjwa wangu whatsap n dp za watu yaan nimekua addicted
 
Back
Top Bottom