Jamani mbona maisha magumu?

Mbona mambo bado hayajawa magumu mkuu, yakiwa magumu utasemaje
 
Why usiachane nayo tu hayo maisha kwa nini unayang'ang'ania wakati unayaona yanazidi kuwa magumu.
 
MAGU katoa mkanda kiunoni,,sasaivi katupiga shingoni kabisa tufilie mbali,,,maana hii ishu ya vyeti feki mtaani watu wanatembea huku wanaongea peke yao, Ni hatari ,,,,vichaa wataongezeka
 
Back
Top Bottom