Mimi binafsi ingawa zipo scene nyingi sana sana sana zilizonigusa kwenye ile series ila tukio lililobahatika kuingia hapa ni pale agent Bauer alivotoa sadaka maisha ya Paul Raines ili aokoe maisha...
Mheshimiwa Mwenyekiti tume ya uchaguzi,
Wapo vijana wanapiga kelele sana kwamba siku ya uchaguzi watataka kulinda
kura zao.
Mh jaji Lubuva, wasaidie hawa vijana kulinda kura zao. Ni rahisi sana...
Wasalaam,
Nimekuwa nikisikia Mara nyig kuhusu hili jambo Mapepo, hata katika mambo yanayopaswa binadamu kutumia Akili yanasingiziwa Mapepo.
Utasikia: Ana pepo la kiburi.
Au ana pepo la uchoyo...
sikuamini nilipo.abiwa kwaba mshikaji wangu kafaliki hospitall bugado banda ya kufanyiwa opolesheni ya moyo amekaa zaindi ya siku tatu anapumua nabanda yahapo nda ikashindikana hatimae mauti...
Leo Nakuwa MNYENYEKEVU KULITOKUKA Kwenu Nyote Kwani Hivi Ninavyoandika Huu Uzi Nimejifungia Toilet Ili Huyu Mke Wa Mtu Na Hawara Yangu Asijue Kuwa Nawasiliana Na Nanyi. Kwanza Kabisa Napenda...
MC: Na sasa tupate maneno machache kutoka kwa Bwana Harusi.
Bwana Harusi: Asante MC, kwanza naomba nimshukuru Mungu kwa kumuumba mke wangu, kwa hilo Mungu uko juu.
Pili, nimshukuru baba mwenye...
Kutokana na msisimko wa siasa uliopo nchini, watu wanatoleana matusi, si busara ukereketwa wetu kwenye siasa ndugu zangu tutoe hoja za msingi na sio kukashifiana.
Mine is! ha haaa
Hellos wapendwa,
Ni hivi, my parent yupo humu JF, najua hadi jina lake humu ndani, how did i knw? siku tupo kifamilia zaidi, ila ye kashikilia tablet yake kaboreka mwenyewe...
Boy:Hi
Girl:Am fine
Boy:You look so beautiful
Girl:You look so handsome too
Boy:I love you
Girl:Thanks Boy:I want to be your boyfriend?
Girl:Accepted,but no sex!
Boy:Why?
Girl:Coz i want...
Wakuu naomba nieleweke kwa hili.
Juzi ijumaa niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi wangu,na nilibeba baadhi ya vyakula kwa ajili yao. Nilipofika na kuwajulia hali,nikamuuliza baba je...
In case you come across these books with their authors, which one would you prefer to buy?
1.How to look handsome by Steven Wasira
2.The secret of successful marriage by Aunt Ezekiel
3.Food...
Habarini za siku nyingi
mabestito wangu niliwamisije?
ACHA NIWAACHIE KACHORUS KATAMU
KA KUWAKUMBUKA MARAFIKI ZANGU
Upendo haumo katika maneno;
unaonekana kwa matendo;
hauonekani kwenye raha...
Kufuatia upembuzi , uchunguzi mahsusi na yakinifu , imethibitika kua maneno haya matatu (3) yanatajwa takriban mara kadhaa katika kaya za watanzania hivi sasa .
Neno linaloongoza kutajwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.