Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Guys kwa wale wazee wa kubeti Online kuna baadhi ya kampuni ni wezi. Iko hivi, umeweka mkeka umekula hela nyingi say 50M -->, au hata 20M tu. Wanabadilisha matokeo ya mkeka wako, wanaweza kuweka...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Gor Mahia FC kwenye Derby waliocheza hii week na AFC Leopards wanasema wamekusanya jumla ya Tsh Bil 14. Mechi ilichezwa Nyayo Stadium, upo Nairobi una capacity ya watu 18,000 tu. Sasa nikiwaza...
2 Reactions
19 Replies
906 Views
Zimsalia siku 11 kufanyika kwa mashindamno ya AFCON nchini Morocco.
1 Reactions
0 Replies
187 Views
RS Berkane Renaissance Sportive de Berkane (Arabic: النهضة الرياضية البركانية) commonly known as Nahdat Berkane or RS Berkane for short, is a Moroccan sports club based in Berkane, Morocco. The...
5 Reactions
78 Replies
4K Views
Kutoka kwenye ukurasa wao wa Social Media, wakatuwekea na Picha ya 2019 walivyokipiga na Simba SC.
3 Reactions
2 Replies
258 Views
Hapa nawasema wana Simba SC wote kuwa tuendelee tu kudhani kuwa kile Kipigo cha Juzi kutoka kwa Azam FC labda walibahatisha tu Kwetu hivyo hata tukicheza nao leo Mechi ya Kushtukiza hawawezi...
3 Reactions
21 Replies
489 Views
Hakuna Mtu ambaye GENTAMYCINE simkubali ndani ya Simba SC kama Msemaji Ahmed Ali kwakuwa namjua ni mwana Yanga SC 100% na kila nikiwasanua Wapuuzi hapa hawanielewi. Kocha Matola ni Mkakati Maalum...
4 Reactions
16 Replies
632 Views
Kinda wa klabu ya mpira ya Barcelona na Timu ya taifa Uhispania Lamine Yamal usiku wa leo anaenda kufanya maajabu dhidi ya Chelsea kwenye klabu bingwa ulaya. Mechi hiyo inayosubiriwa kwa hamu na...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Friends of Simba wamerudi kazini TAJIRI na kipenzi cha mashabiki wa Simba, Mohammed Dewji ameteua wajumbe 21 wa Baraza la Ushauri ambao kati yao 13 ni kutoka kwenye kundi lenye nguvu la Friends...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Halafu mwambieni pamoja na kuhudhuria kuangalia Mechi za Simba SC na Mazoezi hatumtaki kabisa tena hakuna Mchezaji aliyetuumiza wana Simba SC kama Yeye kwakuwa tulimpenda kutokana na Kipaji chake...
1 Reactions
13 Replies
546 Views
Na wengine nadhani Kiasili mnatujua ni Watu wa Mkoa wa Mara (Musoma) na tulishacheza Boxing Majeshini Kitambo.
0 Reactions
4 Replies
403 Views
Jioni ya leo majira ya saa 1 na dk 15 Coastal Union watakuwa uwanja wa Jamhuri Dodoma wakiwakaribisha Yanga SC.
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakuu, Marafiki wa Simba ( Friends of Simba,) ndio wanaoimaliza Simba. Mfahamu hatutofanikiwa bila kuachana na hili kundi lote. Utulivu Yanga ni sababu timu kapewa GSM na hakuna anayeingilia hata...
1 Reactions
6 Replies
415 Views
Matokeo yanasomeka kama hivi 👇
0 Reactions
2 Replies
183 Views
Mshambuliaji Mohamed Salah hatimaye amesaini mkataba mpya kuendelea kubaki Liverpool kwa mshahara wa Pauni 350,000 kwa wiki baada ya mvutano wa muda mrefu kuhusu suala la Mkataba wake ambao...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kusitisha mkataba na Meneja Mkuu Dimitar Pantev pamoja na Wasaidizi wake wawili. Kwa sasa kikosi kitabaki chini ya Kocha...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Tupashane msimamo wa kila wiki kwenye mashindano haya japo inaonekana kuwa waarabu wanayatawala sana CAF Champions League CAF Confederation Cup
2 Reactions
7 Replies
726 Views
jina kamili: Associazione Calcio Milan. a.k.a: Rossoneli ''red & black'', Diavolo ''the Devil''. Kuanzishwa: 16/dec/1899. Uwanja: Sansiro Meazza. Uwezo: unabeba watu 80,074... President: Paolo...
23 Reactions
10K Replies
571K Views
Katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC leo, Mnyama Simba atashuka dimbani kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kikosi cha Simba kitaongozwa na kocha wao wa muda mrefu ndani ya klabu, Seleman...
3 Reactions
6 Replies
699 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…