Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wakuu Hawa Simba tuwenao karibu, wasije wakagoma bure kuvuka maji. Mr. Reporter amedai tayari wameandika barua ya kutafutia sababu zao baadaye. = Uongozi wa Simba SC umeiandikia barua Bodi ya...
8 Reactions
56 Replies
2K Views
Walihamaki wana Simba walipomwona mwamba anapanda botii huwiii na mgonjwa anaenda znz jamani kha Akicheza huyu 3 mpaka 5 zinawahusu Simba noko kwa masawe
3 Reactions
4 Replies
313 Views
Wapenzi watazamaji na mashabiki kindakindaki wa Simba karibuni kwenye matangazo mbashara ya mpira kati ya Simba na Dodoma Jiji kutoka uwanja wa Jamhuri. Mechi hii inachezwa leo tarehe 25.02.2025...
5 Reactions
76 Replies
2K Views
Na kibaya zaidi pia hata uwezo wa Kumfunga huna na sana sana Ushindi wako mkubwa labda tu iwe ni Sare Dabini.
2 Reactions
5 Replies
337 Views
  • Redirect
Wanangu wa kubeti chukuweni notis hii hapa najua itakuwa ngumu sana kuaminika kwasababu wengi wenu wanaamini ni impossible na wengine wataniuliza kwanini mimi sijabeti hivo πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„ ila any way huu...
0 Reactions
Replies
Views
Raisi wa Tangabar anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye dabi ya kariakoo itakayopigwa tarehe 01/03/2026 katika uwanja wa Amaan huko Zanzibar.
1 Reactions
9 Replies
517 Views
  • Redirect
HAKA KATIMU KANABEBWA HAKABEBEKI KAMEBEBWA NA PENALTY NA LEO KANABEBWA NA REFA NA DK KHAA MOIRA WA KIJEHANUM KABISA
0 Reactions
Replies
Views
yaan mzee anazeeka na ucheshi wakee leoo katufurahishaaa sana anakwambia yanga n mbovu kama hujakutana ukikutana nayo utaweza jutia kwa nn uliingia uwanjani HAHAHAA πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† DON MASAU...
3 Reactions
6 Replies
394 Views
Hizi habari sio nzuri sana kwa baadhi ya wananchi wapenda soka hasa wale wapenzi wa timu za derby Niko huku msata mpaka sasa kuna timu inapigwa goli 3 -mpaka 5 Yaani hii n siku ya huxuni na kuna...
1 Reactions
3 Replies
181 Views
Wale mliokaribu wajuzeni wachezaji mchezo wa derby kkutakuwa na red card ama penalty Wacheze kwa adabu na heshima sana refa atakaekuwepo n kama amekuwa chambo mistake za kadi hatorembesha Hali...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Majira ya kiangazi, Man Utd waliingia sokoni na kushusha silaha nzito pale mbele. Sesko, Mbeumo na Cunha waliwasili Old Trafford kuongeza nguvu kwenye idara ya ushambulizi. Baada ya mechi mbili...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Huyu dogo wa timu ya taifa ya Argentina na club ya Ureno Benfica Gianluca Pristianni alimuita Vini Jr Mshambualiaji wa Real Madrid nyani na kumzibia pua wakati yeye mwenyewe sura yake anafanana na...
2 Reactions
14 Replies
356 Views
Kama Nabi na Gamondi waliwahi kufungwa na Ihefu, Tabora united na Simba kwa nyakati tofauti hata kocha Pedro anaweza kufungwa na Simba pia. Kama ikitokea hivyo haimaanishi Pedro hafai, hajui na...
1 Reactions
0 Replies
200 Views
Kila dalili, hasa za ndani ya uwanja, yanga haiko sawa, inacheza shaghala baghala, wachezaji ni kama wamechoka, kila mtu analalamika. Kwa kifupi yanga haiko vizuri kabisa. Wa kutuokoa ni Mola tu
2 Reactions
25 Replies
762 Views
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya klabu ya Simba baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa chini ya Ofisi ya Msajili wa...
2 Reactions
6 Replies
619 Views
Rekodi ya 6–0 ya mwaka 1977 ni moja ya matukio makubwa na yenye kumbukumbu ya kudumu katika historia ya soka nchini Tanzania, hasa katika upinzani wa jadi kati ya klabu za Simba SC na Young...
0 Reactions
4 Replies
314 Views
Mpira unaletaga huzuni na kukata tamaa timu yako inaposhindwa. Pia mpira unaleta furaha na kuchangamsha. Video hapo chini inamuonesha Mlinzi wa timu ya taifa ya Ufaransa na Liverpool Ibrahima...
1 Reactions
21 Replies
549 Views
Aisee hii timu muda wa kunifariji yenyewe ndio inanitesa.
12 Reactions
29 Replies
590 Views
Timu namba nane kwa ubora Afrika inaogopa mechi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tulijua mmejifunza ya msimu uliopita kumbe bado Mnaongozwa na wendawazimu ndo maama visababu vya nje ya uwanja...
3 Reactions
10 Replies
319 Views
  • Closed
Hivi mnataka GENTAMYCINE niwasaidieni vipi nyie Viongozi wa Simba SC? Kwanini mnanikera hivi kila tunapokaribia kucheza na Yanga SC? Nani aliyewaambieni kuwa Simba na Yanga wakielekea Kucheza...
2 Reactions
7 Replies
525 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…