Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Takribani miezi 10 ama 11 hivi nilikuwa sijagusa mpira, siku hiyo mwili wangu unatamani mpira kuliko chochote, hata ule mchezo wa mguu bara mguu pwani siutamani kama ambavyo nimeamka na tamaa ya...
5 Reactions
92 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Nani anaefaa kuwa mchezaji bora wa EPL msimu huu? Bruno au Rice?
1 Reactions
1 Replies
125 Views
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners. [1] Kukwepa magonjwa ya moyo. [2] Imeshindwa kutwaa...
51 Reactions
1K Replies
113K Views
Ijulikane kama mmemleta kwa ajili ya Simba au Tanzania. Maana naona ujinga mwingi sana unaendelea. Anasemaje anataka aonane na wachezaji wa Simba? Ili iweje? Itokeeje? Ikaaeje? Ni upuuzi hata...
0 Reactions
4 Replies
262 Views
Nimeona video ya mwandishi Meena Ally akimtaka maoni Rio kuhusu goli la Chama Nimeona Rio akikiri kwamba ni goli bora lenye hadhi ya kuwa goli bora la dunia Nimeona malalamiko ya viongozi wa...
5 Reactions
5 Replies
277 Views
Iko hivi jana nilitengeneza mkeka wa mechi 20 ukaleta odds 53. Mechi 19 zimetiki kasoro mechi moja ya Villarreal na Elche ambayo niliweka option ya over 2.5 bookings. Yaan hiyo mechi iishe kwa...
10 Reactions
120 Replies
3K Views
Leo mapigo makuu mawili, moja Pep hampo nae tena season ijayo na pili, Bournemouth hawafungiki kwao. Ni hayo tu.
6 Reactions
28 Replies
539 Views
  • Featured
Arsenal imetwaa ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya Manchester City kulazimishwa sare ya Goli 1-1 kutoka kwa Bournemouth, matokeo hayo yanamaanisha hakuna timu itakayoweza kufikia alama za...
12 Reactions
40 Replies
1K Views
Michuano inaendelea. Group C ndio tuliopo. Dakika ya 30 ngoma imelala, tumepigwa 1 bila
0 Reactions
9 Replies
170 Views
Endapo Mourinho atamnunua Salah Real Madrid msimu ujao kuna uwezekano ndoto yangu ya Mohamed Salah kupata Ballon D'ior ikatimia. Halafu msimu wa 27-28 iwe zamu ya dogo Lamine Yamal kuisaidia...
3 Reactions
15 Replies
340 Views
Kama kuna raia bado anajinadi kuwa aviator inalipa namhurumia, hakuna siku utaweza kushindana na kompyuta. Huu mchezo huenda ulianzishwa kwa ajili ya kufirisi watu🙃😁.
13 Reactions
49 Replies
2K Views
Tatizo sio kucheza pekee, tatizo ni: ❌ kukosa bankroll management ❌ greed ❌ chasing losses ❌ kucheza bila strategy Ndiyo maana watu wengi wanaishia kuliwa kila siku bila kuelewa wanakosea wapi...
0 Reactions
12 Replies
317 Views
Huu ni uzi maalumu wa kupeana mbinu kwa wachezaji wa macasino ya mtandaoni. Tahadhari hii michezo sio ajira, cheza kwa kiasi ambacho ukipoteza hutaumia , ba jua ni muda upi unatakiwa kumpumzika...
2 Reactions
4 Replies
537 Views
Simuoni siku hizi kwenye vipindi vya michezo vya Azam. Kuna mtu anajua alipo?
0 Reactions
5 Replies
204 Views
  • Featured
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limefanya droo rasmi ya upangaji wa makundi ya Kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ambapo Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars...
3 Reactions
19 Replies
761 Views
  • Redirect
Arsenal have officially been crowned 2025/26 Premier League champions after rivals Manchester City F.C. failed to keep pace in the title race following their draw with Bournemouth on Tuesday...
5 Reactions
Replies
Views
Hii ni kwa sababu Spurs ni Wajinga zaidi kuliko Westham
4 Reactions
6 Replies
185 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…