Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mechi kati ya timu za mpira kwenye ligi kuu India Mohammedan SC vs Mumbai city FC. Ni mechi kali kwenye ligi kuu India inayowakutanisha Kobaz (Mohammedan SC) na wahindu (Mumbai City) Unaambiwa...
10 Reactions
36 Replies
878 Views
Yaani Ligi yetu ni Ajabu sana tena mno, mchezaji Anaweza Kuwa na talanta kubwa Lakini yakatengezwa mazingira ili wambanie tu Haya Fiston Kalala Mayele the Predator anachukua kiatu Cha mfungaji...
0 Reactions
8 Replies
499 Views
🚨| Jürgen Klopp anazungumzia ubabe wa Pep Guardiola na jinsi Mikel Arteta alivyomaliza enzi hiyo 👀🏆 🗣️ “Sote tunajua jinsi Pep alivyokuwa mtawala nchini Uingereza. Kwa miaka mingi alikuwa...
1 Reactions
8 Replies
310 Views
Tusifanye mzaha hawa jamaa wana hasira sana. Maana ni zaidi ya miaka mitano hawajapata kombe le ligi. Inasemekana mitaani hawa jamaa wana njama za kuliiba. Timu yao haina uwezo wa kwa kutwaa...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Je, unapenda mpira wa miguu na unatamani kuelewa mchezo zaidi ya matokeo ya mwisho? Kozi ya Uchambuzi wa Mpira wa Miguu ya ChuoSmart imeandaliwa kukufundisha mbinu za kitaalamu za kuchambua mechi...
3 Reactions
16 Replies
262 Views
Tulizoea kuona mambo mengi sana kabla ya kombe la dunia. Nashangaa sijaona logo rasmi, sijaona font rasmi sijaona katuni(mascot) hakuna amsha amsha. Kilichoboa zaidi ni vigezo vya kuingia...
10 Reactions
147 Replies
2K Views
Kuna mambo ya kusikitisha, na mengine yanayoumiza. Ni matukio yanayokufanya ujiulize maswali mengi bila kupata majibu hasa ukiwaza mwelekeo kesho kwenye mambo muhimu yanayogusa ustawi wa jamii...
2 Reactions
19 Replies
297 Views
Wana-jamvi, mambo si shwari hata kidogo kwenye kambi ya timu ya taifa ya Senegal ("Teranga Lions") inayoshiriki Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani. Pamoja na sifa zote na ukweli kwamba walitwaa...
7 Reactions
33 Replies
919 Views
Senegal na Iraq Zatafuta Ushindi wa Kwanza Kombe la Dunia 2026 Senegal na Iraq zitashuka dimbani zikiwa na lengo la kumaliza hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwa ushindi, katika...
1 Reactions
6 Replies
323 Views
Na je, Yanga Africa ataenda kumkanda chuma ngapi mnyana fainali CRDB Cup?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
3 Reactions
19 Replies
371 Views
Mambo yanazidi kupamba moto katika Kundi A huko Estadio Monterrey! Hali ilivyo sasa inalazimisha timu zote mbili kuingia uwanjani zikiwa na mipango thabiti ili kujihakikishia nafasi ya kusonga...
1 Reactions
4 Replies
256 Views
Ecuador na Ujerumani wanashuka kwenye dimba la New York New Jersey Stadium, huku Waamerika Kusini hao (Ecuador) wakipambana kufa na pona kupata nafasi ya kutinga hatua ya mtoano dhidi ya Wazungu...
1 Reactions
6 Replies
307 Views
Miguel Almirón amekuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa kwa kadi nyekundu baada ya kufunika mdomo wake katika Kombe la Dunia, huku Paraguay wakibaki na matumaini ya kusonga mbele licha ya kucheza...
2 Reactions
9 Replies
241 Views
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua kuhakikisha Uwanja wa Ndege wa Mwanza unaboreshwa na kujengwa katika hadhi ya kimataifa ili kuendana na hadhi ya jiji...
1 Reactions
5 Replies
177 Views
“Dear Roxane, Remember when somebody bought me a fake United jersey, and I wrote Ronaldo 7 on the back with the black marker? Remember 25 people sleeping in one house back in Abidjan? We didn’t...
5 Reactions
4 Replies
282 Views
Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana. Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao...
15 Reactions
141 Replies
2K Views
Tofauti na wenzake kama Mbape na Messi ambao wao huwa ndiyo target ya pass za mwisho, kwa Cristiano Ronaldo yeye kwa sasa si kipaumbele kwa pass ya mwisho. Wachezaji wenzake naona kama wanamwonea...
11 Reactions
86 Replies
870 Views
Mechi ya Simba na Azam refa alikuwa Aragija, Simba walikataliwa penati mbili za wazi lakini pamoja na viongozi kulalamika hadharani hawakuchukua hatua yoyote baada ya kamati ya masaa 72 kukaa...
2 Reactions
7 Replies
435 Views
Mchezo wa leo wa nusu fainali ya CRDB CUP, Kiungo Stephen Azizi Ki utakuwa mchezo wake wa mwisho ndani ya kikosi cha Yanga SC. Azizi Ki anaondoka Yanga SC baada ya mchezo wa leo dhidi ya JKT...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…