Mechi kati ya timu za mpira kwenye ligi kuu India Mohammedan SC vs Mumbai city FC.
Ni mechi kali kwenye ligi kuu India inayowakutanisha Kobaz (Mohammedan SC) na wahindu (Mumbai City)
Unaambiwa...
Yaani Ligi yetu ni Ajabu sana tena mno, mchezaji Anaweza Kuwa na talanta kubwa Lakini yakatengezwa mazingira ili wambanie tu
Haya Fiston Kalala Mayele the Predator anachukua kiatu Cha mfungaji...
🚨| Jürgen Klopp anazungumzia ubabe wa Pep Guardiola na jinsi Mikel Arteta alivyomaliza enzi hiyo 👀🏆
🗣️ “Sote tunajua jinsi Pep alivyokuwa mtawala nchini Uingereza. Kwa miaka mingi alikuwa...
Tusifanye mzaha hawa jamaa wana hasira sana. Maana ni zaidi ya miaka mitano hawajapata kombe le ligi.
Inasemekana mitaani hawa jamaa wana njama za kuliiba. Timu yao haina uwezo wa kwa kutwaa...
Je, unapenda mpira wa miguu na unatamani kuelewa mchezo zaidi ya matokeo ya mwisho? Kozi ya Uchambuzi wa Mpira wa Miguu ya ChuoSmart imeandaliwa kukufundisha mbinu za kitaalamu za kuchambua mechi...
Tulizoea kuona mambo mengi sana kabla ya kombe la dunia. Nashangaa sijaona logo rasmi, sijaona font rasmi sijaona katuni(mascot) hakuna amsha amsha. Kilichoboa zaidi ni vigezo vya kuingia...
Kuna mambo ya kusikitisha, na mengine yanayoumiza. Ni matukio yanayokufanya ujiulize maswali mengi bila kupata majibu hasa ukiwaza mwelekeo kesho kwenye mambo muhimu yanayogusa ustawi wa jamii...
Wana-jamvi, mambo si shwari hata kidogo kwenye kambi ya timu ya taifa ya Senegal ("Teranga Lions") inayoshiriki Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani. Pamoja na sifa zote na ukweli kwamba walitwaa...
Senegal na Iraq Zatafuta Ushindi wa Kwanza Kombe la Dunia 2026
Senegal na Iraq zitashuka dimbani zikiwa na lengo la kumaliza hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwa ushindi, katika...
Mambo yanazidi kupamba moto katika Kundi A huko Estadio Monterrey! Hali ilivyo sasa inalazimisha timu zote mbili kuingia uwanjani zikiwa na mipango thabiti ili kujihakikishia nafasi ya kusonga...
Ecuador na Ujerumani wanashuka kwenye dimba la New York New Jersey Stadium, huku Waamerika Kusini hao (Ecuador) wakipambana kufa na pona kupata nafasi ya kutinga hatua ya mtoano dhidi ya Wazungu...
Miguel Almirón amekuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa kwa kadi nyekundu baada ya kufunika mdomo wake katika Kombe la Dunia, huku Paraguay wakibaki na matumaini ya kusonga mbele licha ya kucheza...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua kuhakikisha Uwanja wa Ndege wa Mwanza unaboreshwa na kujengwa katika hadhi ya kimataifa ili kuendana na hadhi ya jiji...
“Dear Roxane,
Remember when somebody bought me a fake United jersey, and I wrote Ronaldo 7 on the back with the black marker?
Remember 25 people sleeping in one house back in Abidjan?
We didn’t...
Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana.
Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao...
Tofauti na wenzake kama Mbape na Messi ambao wao huwa ndiyo target ya pass za mwisho, kwa Cristiano Ronaldo yeye kwa sasa si kipaumbele kwa pass ya mwisho. Wachezaji wenzake naona kama wanamwonea...
Mechi ya Simba na Azam refa alikuwa Aragija, Simba walikataliwa penati mbili za wazi lakini pamoja na viongozi kulalamika hadharani hawakuchukua hatua yoyote baada ya kamati ya masaa 72 kukaa...
Mchezo wa leo wa nusu fainali ya CRDB CUP, Kiungo Stephen Azizi Ki utakuwa mchezo wake wa mwisho ndani ya kikosi cha Yanga SC.
Azizi Ki anaondoka Yanga SC baada ya mchezo wa leo dhidi ya JKT...