Wana JF hebu someni nukuu ya sehemu ya ari ya Kocha wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast;
Alisema,"Tumefikia katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski na tunahisi tumeishafika juu ya mlima Kilimanjaro...
Wana JF nimepita kwa Michuzi ni kakutana na hii habari, kinachoniuma ni Serikali kutumia pesa hizi na kusahau kuwa kuna kina mama wanajifungulia nyumbani kwa kukokosa hata usafiri wa baiskeli...
Uongozi wote wa tff ,waziri wa michezo,na wote waliohusika na ujio wa timu ya taifa ya IVORY COAST kitendo mlichowafanyia waandishi wa habari tunaomba mkome kurudia uchafu mlliowafanyia waandisho...
Chelsea midfielder Frank Lampard has been selected as the Premier League's Player of the Decade, by facts and figures' wizards Opta.
Opta, who studied every Premier League game since January...
nashangaa vurugu mechi ya kumgombania Manji huko Yanga, kwani timu haiwezi kuendeshwa bila misaada yake.kama vipi mimi naona umefika wakati timu iuzwe kwa mtu anayeweza kueiendeleza.
Lawama ya kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Yanga kwenye hatua ya nusu fainali ya michuano ya Tusker, imemuangukia beki huyo ambaye anashutumiwa kuwa ni kawaida yake.
Habari za uhakika kutoka ndani...
Premier League - Paper Round: Real Madrid want Wayne Rooney
Eurosport - Sat, 02 Jan 08:12:00 2010
Real Madrid are to begin a £60 million campaign to bring Wayne Rooney to the Bernabeu.
The...
Report: Arenas, teammate had gun standoff
PRINT EMAIL RSS ADD THIS
0 comments »
Updated Jan 1, 2010 12:45 PM EDT
Did Gilbert Arenas pull a gun on a teammate in the Wizards' locker...
Timu ya taifa ya Tanzania inatazamia kupambana na Ivory Coast siku ya Jumatatu wakati Ivory Coast wakijiandaa kwa safari yao ya kwenda Angola kwenye mashindano ya kombe la mataifa huru ya Africa...
Muharami aibuka mwanamichezo bora Novemba
Napenda tena kuwaomba radhi kusema Taswa mmechanganyikiwa ila sifuti kauli yangu unless otherwise mtani prove wrong,Nimesoma kwa masikitiko habari kwamba...
Jordan sues over grocery ads
Seeks $5 million each from Jewel, Dominick's
December 22, 2009
BY LISA DONOVAN Cook County Reporter
Bringing a tough offense to protect his brand...
Doris Maliyaga
FIMBO ya Malkia Elizabeth wa Uingereza inayozunguka nchi mbalimbali wanachama wa Jumuia ya Madola imewasili nchini jana kwa ziara ya siku mbili.
Akipokea fimbo hiyo, Katibu...
Wale wenye data tupeane yanayojiri katika Tusker Cup humu. Kwakuwa wote tunakubaliana kuijenga timu bora ya taifa basi lazima mkazo uanzie kwenye vilabu ni muhimu mashindano ya vilabu nayo...