Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Pazia la michuano ya kombea Dunia kwa ngazi ya klabu limefunguliwa rasmi Alfajiri ya leo Juni 15, 2025 ambapo wawakilishi wa Afrika, Al Ahly ya Misri wametoshana nguvu kwa sare tasa na Lionel...
3 Reactions
8 Replies
852 Views
Moja kati ya Move ya hovyo iliyofanywa na wanasiasa ni hii ya kuruhusu viongozi wa soka wajiuzuru kwa matakwa ya timu Moja Hii ni Lazima italipizwa na Simba na ndo tutakumbuka hii siku ya Leo...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Ile ya Simba SC kusema / kutangaza kuwa Mechi na Yanga SC ya tarehe 15 Juni Ipo ni Geresha / Zuga tu. Hata hizi Press Conference mbili za juzi za Yanga SC na zenyewe ni Zuga / Geresha tu...
18 Reactions
58 Replies
5K Views
Updates: Hatimaye ametangazwa rasmi. Raia hawajalala,ni saa 6 usiku lakini ndani ya dakika 5 comments zaidi ya elfu 2 Chikwende leaves for Tanzania BY TERRY MADYAUTA FC PLATINUM striker...
10 Reactions
107 Replies
14K Views
Kujiuzulu kwa Mzee Mnguto na Almasi Kasongo kulitokana na jitihada zao za kuisaidia Simba kuondokana na kadhia ya kukosa ubingwa na kufungwa na Yanga mfululizo. Ingawa tunafahamu kuwa Kuna wengine...
4 Reactions
9 Replies
715 Views
MANGUNGU AFUNGUKA SIMBA KUCHEZA DERBY KWA MARA YA KWANZA..!! . .sisi viongozi hatuna lolote la kuongezea kile walichosema mamlaka. Ratiba ya kwanza walitoka wao, ya pili wao. Sisi kazi yetu ni...
2 Reactions
44 Replies
2K Views
Kuna Mtu kaambiwa Yanga SC isipocheza ausahau Ubunge Ilala au Kigamboni na Kampuni itaanza kudaiwa Kodi rasmi.
9 Reactions
47 Replies
3K Views
Wakuu! Imebaki siku moja kabla ya dabi ya kariakoo hakun tiketi zilizouzwa mashabiki wanaingiaje kwa mkapa? === "Mpango wa Nyuma Mwiko kushinikiza Katibu Mkuu wa TFF na Mtendaji wa Bodi ya Ligi...
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Kama mpenzi wa mpira wa Miguu na mpenzi na shabiki na mwanachama kindakindaki wa timu yangu pendwa ya Simba Sports Club nimeamua bila kushurutishwa na mtu yoyote kua Scout wa kutoa ushauri ama...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Official and confirmed: Babacar Sarr is a new midfielder for Simba SC. [emoji599] #Transfers #AfricanFootball #NguvuMoja [emoji881] Source:Mickyjnr
6 Reactions
94 Replies
29K Views
Nimemuangalia huyu dogo uchezaji wake halafu nikarudi kuwaangalia hao wazee kipindi wako kwenye pick na huyu dogo kwa umri miaka 17 na vitu anavyovifanya itoshe kusema sijawahi kushuhudia kipaji...
7 Reactions
105 Replies
4K Views
[emoji599] 𝗢𝗙𝗙𝗜𝗖𝗜𝗔𝗟: Rais wa Klabu ya Yanga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Vilabu Barani Afrika, Eng Hersi Said yupo Nchini Marekani kuhudhuria Sherehe za Uzinduzi wa Mashindano ya Kombe la Dunia kwa...
0 Reactions
4 Replies
528 Views
Naona kama watanzania wameanza kusahau jambo nyeti kama hili ...kama isingekua Yanga kutumika kwenye harakati za uhuru. ...basi makolo wasingekuwepo Duniani Hivyo basi Mashabiki wajue ....jambo...
5 Reactions
8 Replies
379 Views
Kasongo ye ye, mobali na ngai Kasongo nga nawe oh, zonga libala eh Kasongo unaahirisha mechi, huku ukijua unavunja kanuni Kasongo unachomeka waamuzi, unalazimisha ubingwa timu moja Kasongo ye ye...
5 Reactions
10 Replies
809 Views
I wll be short 1. KALIA NDO ANA SUPPORT KUPANGA MATOKEO, HOW? officials wa mechi zote wanapangwa na genge lake. KUPANGA BAADHI ya mechi. nani ashinde nani asishinde. every thing is planned...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
KMC COMPLEX hivi sasa Kuna gari la kisasa la kubebea wachezaji majeruhi uwanjani wanapokuwa wameumia wakati wa mechi.
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Aliyeandaa hii barua na kusisitiza hakuna mchezo mwingine tofauti na JUNE 15 na kwamba wamekubaliwa kufanya mazoezi katika dimba la mkapa na kesho watapeleka timu, Mara ghafla baada ya kupata per...
1 Reactions
2 Replies
535 Views
Back
Top Bottom