Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Ni kweli nchi za ulaya zimetuzidi mambo mengi sana ila naamin tunauwezo wa kuboresha miundombinu yetu ya viwanja na ikawa mizuri mfano ukiangalia uwanja wa majaliwa kuuboresha na kuufanya kuwa...
0 Reactions
3 Replies
269 Views
Kama unakumbuka sakata la Oktoba 25, 2023 la kukamatwa Makontena yenye jezi feki za klabu za Simba, Yanga, Azam na Timu ya taifa zilizoingia kimagendo nchini. Wanahabari walikurupushwa usiku...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni bora simba tujikite kwenye mechi za kimataifa hapa Bongo ni Ngumu kutoboa kwa wakati, Utopolo wanashinda kimchongo sana, Ngao iliyopita Kayoko aliwapa hii Arajiga Kawapa, Mechi ya Mwisho ya...
1 Reactions
18 Replies
853 Views
Mkimpata kila la kheri atatusaidia kwani ninamuona ni bora mara mbili ya Fadlu ila Fadlu ni Kocha wa Kimataifa pekee.
1 Reactions
2 Replies
545 Views
Ukiwa unajiamini bwana, raha sana. Unajua kabisa matokeo yatakayokuwa, unaweza kutamba utakavyo. Kabla mechi haijaanza, wakati macaptain wa Simba na Yanga, Shomari Kapombe na Dickson Job wakiwa...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Huu utakuwa uzi maalumu kwa ajili ya mashindano ya mabingwa ulaya (UEFA) updates zote
3 Reactions
39 Replies
1K Views
"The best way to win is to weaken your opponent(s)". Hii ndio mbinu wanayotumia mataifa makubwa kama Urusi kupambana na maadui zao wakubwa kama Marekani kwa kuwapora majajusi wao Bora. Mbinu hii...
4 Reactions
7 Replies
612 Views
Kwahiyo Mangungu ndiyo aliwaambia akina Kibu Denis na Nuksi Shomary Kapombe wakose yale Magoli ya wazi na ndiyo pia aliwaambia Mabeki wawe Wazembe katika Kukaba kiumakini hadi Pacome akatufunga...
0 Reactions
8 Replies
640 Views
Baada ya kumtambulisha kwa mbwembe, aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Yanga Andre Mtine abwaga manyanga. Sababu za kuondoka kwake ni uswahili uliopitiliza wa Rais wa klabu hiyo Hersi. Hii ni kutokana...
4 Reactions
31 Replies
4K Views
Yaani marefa wa leo nikituko tuwaache na kombe lao la ccm Hii ni clear offside kabisa
9 Reactions
114 Replies
5K Views
Waseme lile 'goli' la Yanga dhidi ya Mamelodi lilikuwa goli au siyo goli? Tofauti na kutubu hili suala haya yanayowapata litaendelea.
3 Reactions
11 Replies
615 Views
Moja kwa moja .. Japo kwa gemu hizi mbili za karibuni hajakua na kiwango cha kuwakosha mashabiki ila nikimuangalia kwa uono wa kiufundi na kiuchambuzi pasi na touch nk zake za kiwango cha Epl...
20 Reactions
90 Replies
6K Views
Watake wanafungwa, wasitake wanafungwa. HAMNA NAMNA WATAEPUKA KIKOMBE HIKI. YANGA TUMEKWEPA MITEGO YAO YOTE.
1 Reactions
3 Replies
601 Views
MICHEZO: Rais wa TFF na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji CAF, Wallace Karia akizungumza wakati wa kufunga Semina ya Waamuzi wa Ligi Kuu ya NBC Makao Makuu ya TFF, Karume, Ilala amesema; “Msimu huu...
2 Reactions
13 Replies
857 Views
Malalamiko yamegeukia kwa waamuzi kwamba halikuwa goli halali, ila cha kushangaza walilalamika hivyo hivyo awali na mwisho wa siku wakaja waamuzi kutoka Misri na wakaendelea kufungwa kama kawaida...
4 Reactions
8 Replies
651 Views
Naona watu wanafukunyua nyuzi na post zangu za nyuma na kunitag ili kunizodoa. Napenda kuwajulisha kuwa mimi siyo tena mshabiki wa Simba. Nimechukua likizo isiyo na muda maalumu katika mpira wa...
10 Reactions
36 Replies
1K Views
Mchangauo wa zawadi za fedha kwa timu shiriki za Ligi Kuu ya NBC - Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/2025, ambapo kila timu itapokea zawadi kulingana na nafasi iliyoishika kwenye msimamo wa mwisho...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Jonathan Sowah ataikosa mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga kutokana na kadi nyekundu aliyopewa kwenye mechi ya fainali ya FA akiwa na Singida. Ukipewa kadi nyekundu kwenye mechi ya FA unatakiwa...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu nimeambiwa mshahara wa Clement Mzize ni Milioni 40 kwa Mwezi Ndiye mchezaji ghali zaidi Tanzania? Hongera Ghalib Said Mohamed (GSM), Pia Mtangazaji wa Azam TV, Mzinga jana alidokeza...
3 Reactions
7 Replies
805 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…