Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,944
- 18,959
Waseme lile 'goli' la Yanga dhidi ya Mamelodi lilikuwa goli au siyo goli? Tofauti na kutubu hili suala haya yanayowapata litaendelea.
Makolo mbona walishatubu.Waseme lile 'goli' la Yanga dhidi ya Mamelodi lilikuwa goli au siyo goli? Tofauti na kutubu hili suala haya yanayowapata yataendelea.
Imeisha hiyoo watoto wa ngungu boy.Nimetoka kuangalia high light ya hiyo mechi , japo kwa ufupi , hiyo game simba wamecheza vizuri mno , kuhusu lile goli bila VAR ni ngumu sana kufahamu kama sio halali au ni halali , ila binafsi nimeona offside, kama vile pacome kuzidi kwake kulimzuzua kipa na kupoteza umakini japo hakucheza mpira wa kwanza yeye🤔
Ni maoni yangu tu.
Nimetoka kuangalia high light ya hiyo mechi , japo kwa ufupi , hiyo game simba wamecheza vizuri mno , kuhusu lile goli bila VAR ni ngumu sana kufahamu kama sio halali au ni halali , ila binafsi nimeona offside, kama vile pacome kuzidi kwake kulimzuzua kipa na kupoteza umakini japo hakucheza mpira wa kwanza yeye
Ni maoni yangu tu.
Hiyo sheria ipo ,kama mchezaji alie zidi akimzuia kipa au mchezaji mwingine hata kama hana mpira ni clear offsideHakuna sheria inayohukumu offside kwa kumzuia mtu au mchezaji bali mchezaji aliyezidi akiuingilia mchezo ni offside. Kama hakuuingilia mchezo hadi pale Maxi alipokuja kuingilia mchezo maanake imevunja position ya awali ya Pacome.
PACOME alikuwa kwenye mjongeo pia au alitakiwa akimbie kuondoka eneo hilo ili mkose kisingizio. Utani raha sama hahahahahahaaaaHiyo sheria ipo ,kama mchezaji alie zidi akimzuia kipa au mchezaji mwingine hata kama hana mpira ni clear offside
Naongelea mpira na sio utani ,sina utani na yeyote humuPACOME alikuwa kwenye mjongeo pia au alitakiwa akimbie kuondoka eneo hilo ili mkose kisingizio. Utani raha sama hahahahahahaaaa
hahahahaaaNaongelea mpira na sio utani ,sina utani na yeyote humu
Ni sawa lakini "yagangwe yajayo"Naongelea mpira na sio utani ,sina utani na yeyote humu
Ila bongo Kuna ujinga na vibweka sana sikuakini eti kipindi kile mashabiki wa Yanga wanaosema refa hawakuwaonea .Makolo mbona walishatubu.
Kuhusu lile goli walishakubali kwamba ni goli na wakasema Yanga tulionewa.
Hiyo ni baada ya yule refa kuwafanyia figisu kwenye fainali yao ya shirikisho na Berkane.
Walikubali hili tuungane wote tumseme yule refa japo tuliwakataa kiaina kwa kuwaambia lile la Ki Aziz halikuwa goli refa alichezesha fair kabisa hivyo kolos komaeni wenyewe na malalamiko yenu kwa refa msituhusishe na sisi.
Tatizo kolo wakati sisi tunafanyiwa unyamela na bwana Beida Dahane wao walikuwa upande wa Dahane kwamba lile sio goli tena walimtetea mwanzo mwisho.Ila bongo Kuna ujinga na vibweka sana sikuakini eti kipindi kile mashabiki wa Yanga wanaosema refa hawakuwaonea .
Kuna mmoja eti alisema amecheki marudio Goli la Aziz Ki walinyimwa kihalali na kumuomba Msamaha refa ,yote hayo kumkomoa Koloz