Wakina Mama wanaofanya kazi TANROADS waungana na Mfanyakazi mwenzao Eng. Glory Ndirimbi katika hafla yake ya Bridal Shower iliyofanyika Coz Cafe tarehe 25 Juni 2023 Dar es Salaam.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kuteuliwa, Dkt Bashiru Ally Kakurwa kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, leo Jumatano Juni 21, 2023.
I'm just wondering,
Who's going to buy this garbage [emoji23][emoji23]
BTW, what he has he accomplished to write a book?
Nonetheless, the price of it is falling like a stone