Nini umegundua kwenye huu msitu??
Je unaweza kukubali kujifunza na wenzio??
Siyo kuwa ni hatari kwa mwenziye bali hata kwake huu ni ukauzu zaidi ya dagaa!!
Ndugu zanguni, naomba mnielewe.
Ndugu zanguni mnachotaka kunifanyia sio fresh kabisa
Katavi mbali ndugu zanguni
Isitoshe nina mke na watoto ambao bado ni wadogo.
Kwa hiyo tuhurumiane jamani...
Tazama hiyo DOT ya katikati kisha sogea karibu na picha halaf rudi nyuma kisha fanya tena kama hivyo mara kadhaa then tell me.............zinazunguka au hazizunguki ?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.