Hahaaa
sasa wasubiri nini kumuwekea oder yule ..muhasibu """?Hakika huku ni kupatwa kwa soksi
haya mkuje zinauzwa .....mambo ya kuziacha mbupu zikiruka ruka kama makende ya beberu anayekimbia....ifike mahala yapigwe marufuku
mahondaw
Mzigua90
Shunie
Witnes
ninah
nyinyi mnapaswa mnunue ili kwa sitiri Jamaa zenu maana some tymz Mizigo huwa inakimbia kimbia upnde upnde kama wakiambiaji wa marathon ....ila wakiificha mzigo katika hzo Sox ....wallah mambo yatakuwa kama heaven
Khaaaa!!!sasa wasubiri nini kumuwekea oder yule ..muhasibu """?
khaaa nini sasa au watka aendelee kuumwa ngiriKhaaaa!!!
hahaaaaaNyie wajinga mno 😀😀😀
toa oder mkuu "" zimebaki chache
Hahaaa
kwawale wateja mliopo arusha..Kilimanjaro ..njombe ..makambako ...na iringa fanyeni Ku oder mapema mzigo umebaki mchache. ...kwa maelezo zaidi nifuate Pm.....


wale kina fulani wa kulalamika oohh viLemutuz, ooh viba100, ooh mwanaume suruali mzigo huo sasa!..Ni kweli!.Sometimes inabidi tufurahi, matumizi ya akili kubwa mda wote ndio kuota vipara mapemaa!![]()
View attachment 723525
Haiya haiya wale wazee wa baridi mzigo brand new umewasili!. Kwa mawasiliano na oda mcheki hearly!!😀😀
Uzuri wa hizi ukishavaa ukafunga na kamba unaweza zurula ndani ya nyumba kwa amani!..huku ukipigwa upepo kwa mbalii😀.Hahahahahhaa looh, nimezipenda. Mie naomba pisi tatu nimfanyie mtu fudenge sapraisi. Rangi tofauti tofauti na uzuri alikaa hiyo boksa zinapumzika aahahahahahahahaa looh.
Nimejikuta nawaza zoezi la kuvaa hiyo soksi looh.
Jasusi wa Mahaba
Kasie Matata.
Dooh kweli uzeee umeshikahatamu...nasinzia hatarii.Uzuri wa hizi ukishavaa ukafunga na kamba unaweza zurula ndani ya nyumba kwa amani!..huku ukipigwa upepo kwa mbalii😀.
Uvaaji wake atakuelekeza Shunie mteja wetu wa kwanza!.. Mama Sabrina alinunua zake 4 naona yupo course bado!..
Lakini na wewe Kasie hilo "Jasusi wa Mahaba" kutishana sasa huko!. kama tupo Kibiti!!..