EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,303
Ndugu zanguni, naomba mnielewe.
Ndugu zanguni mnachotaka kunifanyia sio fresh kabisa
Katavi mbali ndugu zanguni
Isitoshe nina mke na watoto ambao bado ni wadogo.
Kwa hiyo tuhurumiane jamani. Mimi pia binadamu jamani
Nawaomba sana ndugu zanguni msinimwagie ugali wangu.
Plesssse pleeeeee. Mie mtoto wa mkulima sina pa kwenda.
Ndugu zanguni nawahakikishieni hadi sasa mawaziri 8 kwishaney.
Habari ndio hiyo. Hapa namsubiri tuu mkuu wa kaya kuja kumaliza mambo.
Hivyo ndugu zanguni, poozeni basi.
Zitto nipatie tuu ile karatazi yenye sahihi 70
Mie nita sort out mambo madogo madogo yaliyobakia.
I promise you guys. I won't let you down.
Acha kutuingiza choo cha stendi wewe
Haitoki karatasi ya sahihi 70 hapa.
Unafikiri sisi wa kuja?
Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Pinda: Hahahahaa
Ndugu zanguni mnachotaka kunifanyia sio fresh kabisa
Katavi mbali ndugu zanguni
Isitoshe nina mke na watoto ambao bado ni wadogo.
Kwa hiyo tuhurumiane jamani. Mimi pia binadamu jamani
Nawaomba sana ndugu zanguni msinimwagie ugali wangu.
Plesssse pleeeeee. Mie mtoto wa mkulima sina pa kwenda.
Ndugu zanguni nawahakikishieni hadi sasa mawaziri 8 kwishaney.
Habari ndio hiyo. Hapa namsubiri tuu mkuu wa kaya kuja kumaliza mambo.
Hivyo ndugu zanguni, poozeni basi.
Zitto nipatie tuu ile karatazi yenye sahihi 70
Mie nita sort out mambo madogo madogo yaliyobakia.
I promise you guys. I won't let you down.
Acha kutuingiza choo cha stendi wewe
Haitoki karatasi ya sahihi 70 hapa.
Unafikiri sisi wa kuja?
Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Pinda: Hahahahaa