Wanajukwaa wenzangu!
Lugha ya picha imekuwa kivutio sana kwa wasomaji wa magazeti na hata mitandao ya kijamii!!
Lakini je licha ya mvuto huo watu wanaelewa maana za lugha hizo hasa za mtaalamu...
Najaribu kumtazama huyu afande wa magereza simpatii picha. Najaribu hapa chini kuona mawazo yake
1. Huyu jamaa ni kiumbe ( specie) wa aina gani?
2. Tusamehe ni majukumu tu
3. Huyu mtu anajiamini nini?
Salam wakuu.
Nimekuwa nikimpima huyu kijana wangu mara kwa mara ila nahuzunika kuona hawezi kumaster mtiririko wa masaa na kalenda.
Mfano leo nimemjaribu na mazungumzo yakawa hivi;
Mimi...
UBUNTU BOTHO
Sababu kumi (10) ambazo zaipasa serikali kuhamisha ujenzi wa uwanja wa mpira jijini Arusha kwenda jiji Mwanza .
1)Fidia za eneo au viwanja, gharama za eneo au kiwanja Arusha ni...
Haupo kwa ajili ya ulinzi.. La hasha.. Bali upo kwa ajili ya kuonesha mipaka, kikomo cha uhuru, umiliki haki miliki na utawala...
Je kwenye maisha yako una uzio? Ama ni free to air kama choo cha jiji?