Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wasichana wengi hawawezi kubaki gizani kwa muda mrefu na wanataka kujua haraka iwezekanavyo wakati sherehe ya harusi iliyosubiriwa kwa muda mrefu itafanyika. Sayansi ya hesabu inaweza kusaidia na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu moja kwa moja niende kwenye mada husika za kukumbushana kuhusu watu wa kale waliofanya makubwa leo ningependa tumgusie Nimrod aliyetawala Babylon ya kale huko mashariki ya...
36 Reactions
173 Replies
56K Views
Moja kwa moja kwenye mada haingii akilini kwamba Adamu aliumbwa na maumbile ya kiume mfano korodani, mfumo wa utengenezaji wa manii, uwezo wa kusimamisha uume, sexual hormones, Nyege Hapakuwa...
10 Reactions
81 Replies
7K Views
Fikra huru, kuwa na mawazo yako kuhusu mambo mbalimbali hasa kwenye mambo ya dini na siasa na sio kukubali tu kama vilivyowekwa, kuzoeleka au kufundishwa. Kuwa na fikra huru kumewaletea matatizo...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
ULINZI WA KIM JONG "KIDUKU". Kama inavyofahamika dhahiri kuwa ni vigumu kwa mwanga wa mshumaa kudumu katikati ya upepo wa kimbunga unaoangusha maghorofa; vivyo hivyo ni vigumu hata kwa ‘inzi’...
10 Reactions
46 Replies
9K Views
Humu 'Mitaani' wanasema kwamba..... 1. Walinzi wa Rais Trump licha ya kuwa ni Makomandoo Kimafunzo lakini pia huwa ni Wachawi waliotukuka 2. Walinzi wa Rais Trump huwa hawalali kabisa bali Wao...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Mwanzo 38:9-10 Inaonyesha vile Mungu anavyothamini mbegu za kiume(shahawa) kias kwamba unapozichezea hovyo anakuadhibu, Kuna siri gani ya kiroho zaid kwenye mbegu za kiume,. wanaomwagia mdomoni...
4 Reactions
41 Replies
9K Views
Habari za muda huu wana Jf. Nimuda kidogo sijaandika chochote katika jukwaa hili zaidi ya kuwa msomaji na Mchangiaji mabandiko mbali mbali. Mungu ni mwema ametupa nafasi ya kuona mwaka mwingine...
6 Reactions
24 Replies
6K Views
Katikati ya mwezi wa tano mwaka 2020, dunia ilikuwa katika sintofahamu kubwa iliyoletwa kutokana na janga la corona. Ni kipindi ambacho ratiba pamoja mienendo mingi ya wanaaajamii duniani kote...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Wajukuu zangu leo nataka niwaeleze mambo fulani, fundo ambalo limenikaa kooni mpaka nashindwa kuhema. Aliyewaroga kafa na katupa gunia chini ya bahari kukiwa na chuma kizito ndani yake kusiwe hata...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Heri ya Mwaka Mpya Wanajamii Forums wote...Natumai wote mmekuwa na holiday season ya kufana. Baada ya kimya kidogo naomba leo tumsome huyu mchuuzi maarufu kwenye tasnia ya ujasusi kwa majina...
15 Reactions
42 Replies
10K Views
Habari za muda huu jf. Tuanze moja kwa moja,tutatumia bibilia as reference pindi itakapohitajika Kama msingi kwakuwa ndio kitabu nikisomacho. Nabii Musa ni Nani? Maisha yake yanaelezewa kwenye...
3 Reactions
9 Replies
6K Views
Kwa wale ambao wamesoma biblia kiundani zaidi, mnaweza kutuelewesha wale wahalifu waliosurubiwa na yesu pale msalabani walifanya makosa gani ? Kuna mmoja alimkashfu yesu wakati wametundikwa...
11 Reactions
166 Replies
36K Views
Habari za wakati huu members wa JF Mimi ni kijana, sina umri wa kutisha na sijaishi maisha marefu ila nashukuru kwa miaka yote niliyoishi mpaka leo kuandika haya. Nitakoliongelea si jambo jipya...
11 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu. Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo...
12 Reactions
85 Replies
9K Views
The world’s largest communist dictatorship, China, has invested some $168 million into efforts to control the weather, according to the World Economic Forum (WEF). The globalist “Great Reset”...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ilikuwa tarehe 25 july 2020 baada ya kuamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye mizunguuko yangu ya kila siku nakutana na baridi kali sana. Miaka mingi kidogo wakati nakua kipindi cha baridi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hapo chini ni picha za mmea uitwao muhaladari, wengine wanaita mdodoma. Kisayansi unaitwa panama berry tree. Picha ya kwanza imepigwa wakati wa usiku na nyingine wakati wa asubuhi. Kinachoonekana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kifo hakina umri, hakichagui mtoto babu au kijana. Lakini ilishazoeleka kuwa wazee ndo hufariki sana kuliko rika lolote lile duniani. Miaka ya hivi karibuni mambo yamekuwa tofauti sana, vijana...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
ZIFAHAMU SEHEMU SABA HATARI ZAIDI DUNIANI KATIKA MAISHA YAKO. Kwa fikra za kawaida tunadhani ya kwamba sehemu zinalindwa zaidi duniani ni Benki,Ikulu,kambi za jeshi na Bungeni labda kwa sababu ya...
12 Reactions
32 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…