Ushauri kwenda kwa vyombo vya usalama katika kupambana na Ugaidi.
Key lessons on how not to fight terrorism
No! They are calling for new coalitions, using the same script. Countries such as...
Kwa ufupi:
Google earth imesaidia katika mambo mengi hasa kwenye masuala ya uhandisi, kwani baadhi ya wahandisi wa barabara hawalazimiki kwenda porini kwa ajili ya kuchukua ramani au baadhi ya...
Wakuu habari za jioni,
Tafadhali naomba tushee mawazo kuhusu haya mafunzo ya jkt. nini target yake hususani kwa hawa waalimu wa ngazi za cheti na manesi. je kuna uhusiano gani wa taaluma zao na...
Habari zenu Great Thinkers.
Huwa nasumbuliwa sana kwa kutaka kujia kitu ambacho hakikupewa nafasi ya kutokea. Huwa nafikiri bila majibu juu ingekua vipi Afrika leo hii kama wale wavamizi...
Habarizenu wakuu!
Leonimekuja na mada hii ili tuweze kuijadili na tupate ukweli utakao tusaidiakutujenga wana JF hasa katika jukwaa hili la intelijensia.
Katikamaisha ya kila siku, kuna...
Mpenzi wangu ana mshale na mimi ni ngombe ki ukweli ukijaribu kuziangalia hizo nyota haziendani hata kidogo
kwani tulishaingia katika mahusiano mwanzo na kuachana hii ni kushindwa kumuhandle
ki...
Nimekuwa nikifikiria kila wakati na kutaka kujua kama kuna viumbe kwenye sayari zingine. Juzi tulikuwa tunapiga stori za hapa na pale. Jamaa mmoja akaanza kutuelezea kuwa kunaviumbe NASA wamewaona...
"Based on criminal law these individuals are sentenced to the severest punishment which is death sentence" Hivyo ndivyo Jaji Safihullah Mujadidi, alivyotoa hukumu ya kifo kwa wanaume saba. Nao...
Habari wana jamvi,
kiukweli nimesikitishwa sana na jambo lililonikuta hivi karibuni.
wiki iliyopita nlipoteza simu yangu ya mkononi aina ya SONY Xperia katika mazingira ya kutatanisha.
Hata...
Nimeifanya hii kazi kwa muda mrefu ya kurekodi matukio ya rushwa katika polisi wa kawaida na wale wa barabarani. Katika ushahidi wangu nimefanikiwa kuwa na video zenye sauti na picha zikionyesha...
Weingi wanadai ni namba 666 ikimaanisha Mpinzani wa mambo ya Mungu (antChrist) au Mpinga kristo.
Aidha wapo wanaosema kuwa Alama hizi ni za Agent-Wakala maalum kutoka mashimoni,
sasa mie...
Naomba tujadili hili wakuu, kutokana na mazingira ya miili yetu kuwa tofauti, je haiwezi kuathiri mifumo yao ya akili hivyo kuwa na uwezo tofauti wa kufikiri?
Michakato mbalimbali ktika miili ya...
Habari,
Hiyo document kwenye Attachment ni Term Pay au kwa lugha nyepesi reference ambayo unaweza kwenda kuona range ya mishara inalipwa na taasisi za serikali,mashirika binafsi n.k.
Mafunzo mema.
Serikali ya Marekani huwa haina utani ktk ishu nzima ya usalama wake na vitega uchumi vyake.Hivyo imewekeza sana katika teknologia za ulinzi na kuvita kupitia makampuni kama Lockheed Martins Boeng...
Kwakweli jambo hili nimelisikia kutoka kwa mtu ambaye sina shaka na upeo wake kwamba tangu utawala wa Hitler kuangangushwa nchini Ujerumani watoto waliozaliwa na wanaoendelea kuzaliwa mpaka leo...
Boss wa TBS sasahivi anatumikia kifungo japo ni kifupi, lakini angalau inatia moyo.
Leo Boss wa MSD,katinga kwa Pilato kuhukumiwa kwa ufisadi wake.
Sasa anayefuata nihuyu aliyesini mkataba wa...
Wanajeshi hao wa jeshi la nchi ya NEPAL wakiwa wanaonyesha vyeti vyao vya uanajeshi wa jeshi hili.
Idara ya uhamiaji Jijini Dare s salaam imewakamata raia 12 wa kigeni waliokuja nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.