Vijana wa kikongo DRC wapewa mafunzo ya kijeshi TMA - Monduli kwaajili ya kuilinda nchi yao wenyewe.Wiki mbili zilizopita mji wa Arusha umeshuhudia vijana toka taifa kubwa barani Afrika wakifurika...
Frank Schaeffer is an atheist who believes in God. Kuna aina mpya ya atheist siku hizi,wanaamini Mungu. Wanaamini maisha yametokana na evolution from natural selection.
Kuna mwingine anaitwa Ali...
WanaJF,
I'm just curious about this. Maybe this question can be categorised as one of those "questions with no answers"...but I'm pretty sure that some views here will at least settle my...
Kwa ufupi
Drone inaweza kuwa India lakini rubani akawa Dodoma nchini Tanzania, au drone inaweza kuagizwa kufanya shuguli fulani sehemu yoyote duniani kwa kupewa miongozo kutokana na programu...
Fungua video hizi kupitia youtube uone ugumu wa kupambana na biashara ya amadawa ya kulevya. Utajifunza mengi ni jinsi gani Serikali zetu zinavyopata kigugumizi katika kudhibiti biashara hii...
Drone ni technoligia ambayo inakuwa kwa kasi ya ajabu na kutumiwa katika masuala ya kijeshi na mataifa makubwa ulimwenguni. Nina ambiwa taifa kama iran nalo linapiga hatua ya kueleweka katika...
Habari zenu wanajukwaa, naomba tujadili kuhusu vyombo hivi viwili vya usalama.
Katika kujadili vyombo hivi ningependa wanaovifahamu kwa undani waeleze hasa ufanisi wa chombo kimoja dhidi ya...
wakuu sjui kama huu uzi ulishawahi kuletwa huku au bado ila kwa anayefahamu anaweza kunishauri.
Ninaweza nikawa nafanya kazi fulani, au niko mahali fulani au nakutana na watu fulani lakini huwa...
Habarini maGT wa hapa jukwaani,
Leo nimeona niombe msaada wa mawazo kwa watu waliopevuka kiakili.
Ni muda mrefu sasa nimekua nikisikia kua ujana hivi mara ujana vile mara ujana maji ya chumri...
Hawa wanaojiita atheists naomba niwaambie sio kila kitu mzungu anachowadangaya na nyie mnadanganyika kwa bei ya peremende unajua kabla hujakubali au kukanusha jambo unatakiwa ujirithishe kwa...
I have seen a lot of debates undercover here and I want face off debate with Any bold Atheist. I believe atheism is not only stupid but also dangerous. I believe atheism/Evolution have no evidence...
wakuu salamu kwenu. jana nilikuwa naangalia BBC swahili star tv, kuna habari niliisikia kuhusu kituo cha anga ambacho kipo angani! nmejiulza maswali mengi kuhusu kituo hiki cha anga za juu, je...
Wakuu,
Habari za jioni? leo nimeifikiria sana ndege ya malaysia iliyopotea kusikojulikana MH370, sasa katika kusomasoma taarifa mbalimbali nimekutana na sasa sijajua kama ni kisiwa ama la...
inakuaje mtu anakunywa pombe alafu akili inachangamka au kuvulugika (wengi mtakuwa mmeelewa ninachomaanisha)
utakuta mtu anaogopa kufanya au kusema jambo flani akiwa katika hali ya...
Wadau wa jukwaa hili habari zenu.
Hua najiuliza kwa miaka mingi uwezo wa kijeshi na kijasusi wa wa nchi ndogo ya cuba ambayo ni kisiwa tu. Kwa miaka mingi nikiwa bado mdogo sana nimekua nikisikia...
1. Utangulizi
Jeshi la Polisi ni chombo cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoundwa ili kuwahakikishia wananchi usalama wao na mali zao, kudumisha amani na utulivu katika jamii, pia kuzuia...
Wakuu,
Mimi ni mmoja wa wale waliosoma Technical School na baadae DIT na baadae elimu ya juu zaidi katika mambo ya Uhasibu.
Sikubahatika kabisa kusoma somo la Geography kwa ngazi ya sekondari...
Ushauri kwenda kwa vyombo vya usalama katika kupambana na Ugaidi.
Key lessons on how not to fight terrorism
No! They are calling for new coalitions, using the same script. Countries such as...
Kwa ufupi:
Google earth imesaidia katika mambo mengi hasa kwenye masuala ya uhandisi, kwani baadhi ya wahandisi wa barabara hawalazimiki kwenda porini kwa ajili ya kuchukua ramani au baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.