Nimekua najiulia kwanini jina la waziri wa mazigira halipo katika majina ya baraza la mawaziri katika tovuti ya ikulu wala katibu mkuu kiongozi, je amesahulika, sababu si maaruu,maana huku wanachi...
Kuna kitu kinanichanganya, wahalifu wakienda kuvamia sehemu uficha sehemu na kubakisha macho wakidhani hawatatambuliwa kwa kuonwa macho magazeti yakitoa picha yakitaka mtu asitambuliwe huficha...
Tangu zaman tumekuwa tukitumia vocha....na vocha ni codes. tangu nimiliki sim. ni miaka 10+now.... na ninejarbu kubashir lkn
nimekosa.....
1.je ni njia gan inatumika ku create hizi codes?
2...
Unaweza kupata shida kuona athari ya hili mpaka usafiri kidogo.
Ukimwambia mtu kwa mfano unapata Mshahara wa Mtz kwa mwezi wa Tsh milioni moja anashtuka kwa kuwa yeye huo ni mshahara wa mwaka...
What is Karma?
Karma is the Sanskrit word for action. It is equivalent to Newton's law of ‘every action must have a reaction'. When we think, speak or act we initiate a force that will...
Balozi wa Umoja wa Mataifa, Augustine Maiga, akitoa mada wakati maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani yaliyojadili Nafasi ya Vijana katika Kudumisha Amani yaliyofanyika mkoani Dodoma jana. Kulia...
Wana jamvi naombeni kujuzwa kuhusu kile kijumba cheusi kinachozungukwa ma watu wengi. Hivi ni kitu gani? Historia yake kama kuna yeyote anayeelewa?
Kuna baadhi ya watu wanasema ndipo ibrahimu...
Kwanza napenda kumpongeza Prof Assad kwa kuteuliwa kuwa CAG mpya... Kwa jinsi huyu bwana alivyoshika dini, sijui watakaotaka kumuhonga wataanzia wapi. Ni msomi asiye na makuu wala tamaa za mali...
Wadau kuna mahali nilikuta hii kitu, kuna habari kuwa dunia inaongozwa na familia (Clan). Familia hizi zilianzishwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita na zina nguvu sana kisiasa na kiuchumi.
Mwenye...
Wadau,
Ni kawaida kukuta wachangiaji wa JF wakipewa mrejesho (feedback) za POSTS, LIKEs, UNLIKES, Quotes nk. Sasa nauliza:
1. Ukikuta mtu kapost 10,000 postings, katika hizo postings ana jumla...
Wanajf nataka kujuzwa kwanini hiitwe BAHARI NYEKU[RED SEA] na isiitwe jina lake la awali BAHARI YA SHAM [SHAM SEA]?kuna Siri Gani Hapa? Na Kwa Nini? Source=RAMANI YA DUNIA [THE WORLD MAP]
Wanajamvi,
Upo ushahidi wa kihistoria kuwa baadhi ya jamii zimewahi kuridhia na kuwatumia binadamu wenzao kama kitoweo Cannibalism - Wikipedia, the free encyclopedia pia kuna matukio...
Habari zenu.
Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.
Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?
Lengo...
The rule of disinformation:
"Fabrication of false/altenative evidence. Whenever possible; introduce new facts or Clues disigned and manufactured to conflict with opponent presentation as useful...
A new Russian jet fighter, using stealth technology designed to conceal the plane from radar, is being called a "super weapon" by military experts who say that the fifth-generation Russian fighter...
Habari zenu wakuu,
Katika chambua chambua yangu katika pages mbali mbali za internate, nimekuja kugundua kuwa Dunia yetu inaongozwa na group fulani la watu wanaojiita "High masters" chini ya...
Kuna senario fulani ilinitokea mpaka sasa hivi ninashindwa kuelewa.
Ilinitokea kama wiki 2 hvi zilizopita. Tulikuwa 3 tunatembea kuelekea stand ya bus. Tukawa tunapiga mastori ya zamani ya...
Nimeshahudhuria mara nyingi maombezi ya watu wanye kutolewa mapepo kwa jina la YESU na nimeshuhudia kabisa watu wakati wanatolewa wakiongea mambo mengi na wengine kujipinda kama nyoka na mambo...
Kitu ambacho nimejifunza hivi karibuni ni kuwa, media nyingi zinaitegemea kwa karibu asilimia 30 jamii forums kama source yao ya habari na input nyingine za kuandaa vipindi kama vile vya mapenzi...