Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari wana jamvi? Paka ana nguvu gani katika mambo ya kishirikina ( uchawi) ?
0 Reactions
57 Replies
21K Views
jee kuna utaiti
1 Reactions
56 Replies
10K Views
Wakuu hii kashfa ya MAMA salma na Dada yake kabila ningependa ijadiliwe, tena kama hoja binafsi Kwanza. Ndugu zetu mnaokaa Dar es Salaam hususani MIKOCHENI, ningependa mtujuze ni kweli maduka...
2 Reactions
73 Replies
9K Views
Mauaji ya aina yoyote sio jambo la kufurahia, haijalishi aliyefanya mauaji hayo kayafanya kwa dhumuni gani...kila mmoja wetu ana haki ya kuishi na kuabudu kwa amani na bila kubughudhiwa na mtu...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Najua wengi wataniona labda chizi,huwa najiuliza hili swali sipata jibu.Wengine wanasema kuna maisha huko kaburini,sijui adhabu ya kaburi, mtu anabanwa mbavu,wengine wanasema roho inaenda...
0 Reactions
65 Replies
22K Views
Na Mwandishi wetu 6th December 2009 Mhashamu Methodius Kilaini Baba Mtakatifu, Benedicto wa 16, amemhamisha Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu...
0 Reactions
108 Replies
27K Views
It has happened to me several times. Ni hivi, I may be sleeping hata kwa mda mfupi. Ghafla nahisi Kama nimeishiwa nguvu kabisa usingizini. Najiona Niko helpless na in the process nakuwa na woga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa takwimu ambazo hubadikikabadilika kulingana na mazingira, watu 150000 hufariki kila siku hapa duniani au kwa maana rahisi kila sekunde moja watu wawili hupoteza uhai. Kifo umekuwa ni gumbo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hi everyone. Katika kitabu cha Wafalme (1Fal 7:23-26), tunasoma kuwa Mfalme Sulemani aliagiza mtu mmoja aitwaye Hiramu kutoka Tiro, kutengeneza beseni(?) kubwa la maji (mfano wa mcheduara) kwa...
13 Reactions
139 Replies
23K Views
wana intelligence huku Rungwe jama gari za jeshi ni nyingi mno, kuna malori zaidi ya JWTZ ZAIDI YA HAMSINI yanaelekea kyela kunani wadau, wenye taarifa kamili mtujuze..
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarg Za Muda Huu Wadau. Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada. Miongon Ma Maswali Nilio Kosa Majibu Nkuhusu Nguvu Iliyokuwepo Kwene Macho Ya Binadamu Anapo Mtazama Mtu Na Kumdhuru Au...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Kama kichwa kilivyo..... Nipo nawaskiliza....
0 Reactions
0 Replies
986 Views
hivi huwa wanaangalia nin kwenye DNA had kujua ukwel wa baba mzaz?
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimetoa angalizo hapo maana hutashindwa kuniuliza MUNGU ni nani. Napitia bible kila siku, na sijapata maana ya mti wa katikati ambao ADAM na HAWA walikatazwa kula. Je ni mti gani maana nikijenga...
0 Reactions
88 Replies
24K Views
Je, unakijua kipaji au vipaji vilivyopo ndani yako? Moja ya swali ambalo watu wengi huwa wanauliza ni jinsi ya kugundua wao wana vipaji gani.Wakati wa utoto unaweza kuwa ulionesha vipaji vyako...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Aulizaye anataka kujua, hebu saidia huyu mtoto anauliza, ''Baba...baba..Kwanini ndege inaelea angani''?. Mwenye kujua jibu asaidie hapa.
1 Reactions
28 Replies
13K Views
wakuu kati ya SIMBA na NYATI yupi ni mtemi zaidi kwa mwenzake? je bora ukutane na mziki upi kati ya simba au nyati? tiririkeni hapa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu. Hii ni elimu ambayo ningependa kushare kwa watu tofauti na kwa wengine ambao wanaifahamu. Ni elimu ambayo huwezi kuipata mashuleni bali kupitia ujuzi wa walioweza kufanya...
4 Reactions
20 Replies
8K Views
kuna mtu aliniambia kwamba sheria za dini na serikali zinatufumba tusiwe wabunifu, nyie mnaonaje ili uwe mbunifu ufanyaje?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni kujua kama mwezi (moon) unakua na sehemu maalumu yakutokea, mfano jua linatoka mashariki na kuchwea magharibi. Vipi kuhusiana na mwezi, je, kuna mwelekeo wowote?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom