Wakuu hii kashfa ya MAMA salma na Dada yake kabila ningependa ijadiliwe, tena kama hoja binafsi
Kwanza.
Ndugu zetu mnaokaa Dar es Salaam hususani MIKOCHENI, ningependa mtujuze ni kweli maduka...
Mauaji ya aina yoyote sio jambo la kufurahia, haijalishi aliyefanya mauaji hayo kayafanya kwa dhumuni gani...kila mmoja wetu ana haki ya kuishi na kuabudu kwa amani na bila kubughudhiwa na mtu...
Najua wengi wataniona labda chizi,huwa najiuliza hili swali sipata jibu.Wengine wanasema kuna maisha huko kaburini,sijui adhabu ya kaburi, mtu anabanwa mbavu,wengine wanasema roho inaenda...
Na Mwandishi wetu
6th December 2009
Mhashamu Methodius Kilaini
Baba Mtakatifu, Benedicto wa 16, amemhamisha Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu...
It has happened to me several times. Ni hivi, I may be sleeping hata kwa mda mfupi. Ghafla nahisi Kama nimeishiwa nguvu kabisa usingizini. Najiona Niko helpless na in the process nakuwa na woga...
Kwa takwimu ambazo hubadikikabadilika kulingana na mazingira, watu 150000 hufariki kila siku hapa duniani au kwa maana rahisi kila sekunde moja watu wawili hupoteza uhai.
Kifo umekuwa ni gumbo...
Hi everyone.
Katika kitabu cha Wafalme (1Fal 7:23-26), tunasoma kuwa Mfalme Sulemani aliagiza mtu mmoja aitwaye Hiramu kutoka Tiro, kutengeneza beseni(?) kubwa la maji (mfano wa mcheduara) kwa...
wana intelligence huku Rungwe jama gari za jeshi ni nyingi mno, kuna malori zaidi ya JWTZ ZAIDI YA HAMSINI yanaelekea kyela kunani wadau, wenye taarifa kamili mtujuze..
Habarg Za Muda Huu Wadau. Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada. Miongon Ma Maswali Nilio Kosa Majibu Nkuhusu Nguvu Iliyokuwepo Kwene Macho Ya Binadamu Anapo Mtazama Mtu Na Kumdhuru Au...
Nimetoa angalizo hapo maana hutashindwa kuniuliza MUNGU ni nani. Napitia bible kila siku, na sijapata maana ya mti wa katikati ambao ADAM na HAWA walikatazwa kula. Je ni mti gani maana nikijenga...
Je, unakijua kipaji au vipaji vilivyopo ndani yako?
Moja ya swali ambalo watu wengi huwa wanauliza ni jinsi ya kugundua wao wana vipaji gani.Wakati wa utoto unaweza kuwa ulionesha vipaji vyako...
Habari ndugu zangu. Hii ni elimu ambayo ningependa kushare kwa watu tofauti na kwa wengine ambao wanaifahamu. Ni elimu ambayo huwezi kuipata mashuleni bali kupitia ujuzi wa walioweza kufanya...
Naombeni kujua kama mwezi (moon) unakua na sehemu maalumu yakutokea, mfano jua linatoka mashariki na kuchwea magharibi. Vipi kuhusiana na mwezi, je, kuna mwelekeo wowote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.