heshima kwenu wakubwa wangu ktk jf. kuna jamaa yagu aliwahi nisimulia kisa cha mwanamke mmoja simba ulanga na mwenzie mohammed toroha kuwa ndio watu walionzisha wizi wa mapesa katika mabenki hapa...
Bwana huyu ni mhandisi mhitimu wa chuo kikuu cha Delft (Delft University of Technology) na mfanyakazi wa kampuni ya kijerumani iitwayo Orca Exploration ambayo ipo Tanzania.
Ametokea Oman ambapo...
Watu 10 wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja mjini Zanzibar baada ya kupigwa na askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa kambi ya Bavuai Migombani kufuatia mke wa...
Othman una kazi kweli, kama mnapoteza muda kufuatilia tunaosoma mkataba badala ya kuwafuatilia akina Balali wasituibie pesa zetu BOT?
Kutoka gazeti la Mwananchi.
Serikali yaonya wanaosambaza...
Ndugu wana JF hebu tuangalie naomba suala lazima la utumiaji wa tafiti zetu tunazozifanya hapa Bongo. Katika upeo wangu na mlolongo wangu wa kutafuta elimu nimekumbana na tafiti nyingi sana na...
Baada ya utafiti kuonesha kwamba rushwa nyingi/kubwa kubwa zilikuwa kwenye manunuzi(Procurement of public goods and services) ya umma, serikali iliamua kuanzisha sheria ya Manunuzi, Public...
Caught on Tape: Selling America's Secrets
Rare Video Obtained By "60 Minutes" Shows Pentagon Employee Selling Secrets to Chinese Spy
YouTube- Defense Department Official Caught On Video...
Jana kulikuwa na kipindi katika BBC 4 kikionyesha uozo wa TAZARA reli ambayo kidogo watanzania wanajivunia lakini uozo wa humo umenifanya nijiulize kama TAZARA (Freedom Railway) ni hivi, TRL...
Karibuni tena! Kuna habari nyeti ambazo zimefichwa kwenye nakala hii ambapo ukiipata siyo tu utashangaa lakini hautaamini kama tunachoshuhudia ni kitu chenyewe kweli au ndio mazingaombwe! Habari...
Kwako, mkuu wa TAKUKURU,
- Kamishna wa Bima - Uhamiaji
- Wizara ya Mambo ya Ndani..
KUMEKUWA NA WIMBI LA UFISADI NDANI YA SEKTA YA BIMA LIKIJUMUISHA MA-TX WANAOFANYA KAZI KATIKA KARIBU...
Huu mradi wa kuuziana nyumba sio tu kuwa uliingiza serikali hasara, bali kama alivyosema mwandishi Katabazi, ni ulikuwa ni ufisadi wa aina yake. Ni wakati umefika kwa bunge/ serikali kulichunguza...
Somaiya speaks out on Tanzania gov't scandals
Monday, 28 April 2008
By Daniel Said
EA BUSINESS WEEK
DAR ES SALAAM, TANZANIA - In a new twist, a top businessman in Tanzania, Mr. Tanil...
Speaker Bio:
Diane Kohn is a lawyer, serving as an anticorruption advisor in the Crime Office of the INL Bureau. Dianes portfolio includes work in Africa, APEC, Latin America, the G8, and...
Habari zenu WANA JF?
Je ni kweli huyu jamaa ana asili ya Rwanda au ni jina tu la kibantu,kwani amekuwa akitajwa kuwa na mafanikio makubwa sana hasa kwenye utumishi wa umma wakati wa kipindi chake...
SIKU YA ASTEROIDI
Siku ya asteroidi inaadhimishwa kila mwaka tarehe 30 Juni. Siku hii ya kimataifa ilanzishwa mwaka 2014 na wataalamu na wanaharakati wa astronomia na kuidhinishwa na Umoja wa...
KUNA CHA KUJIFUNZA KWA PYTHAGORAS
Huenda hukusoma sana, lakini ulimaliza darasa la saba. Basi hiyo inatosha. Inatosha sana kwa wewe kukutana na kitu kinaitwa
" Pythagoras theorem"!! Hukumbuki? Je...
Kuna vitu nilivisikia tangu kipindi kirefu nyuma lakini bado hadi Leo sijapata kujua undani wake zaidi(vitu vyenyewe hususani ni maeneo kama)
1.Bermuda triangle
2.pyramid of Egypt
3.Area 51...
Salam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.
Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa...
Nashauri serikali itumie teknolojia ya drones kuweza kuwatambua wauaji wa Kibiti.
Teknolojia hii ya drones ni rahisi haina gharama kubwa, kikubwa ni kusimika kituo au base ambayo itapokea taarifa...