UBANI
hii ni moja kati ya aina la vumba au dawa ya kuchoma au marashi ya nyumba au mwili na ubani ni aina ya nta au gundi inayopatikana africa,asia na america
hii imekuwa ikiuzwa sana na...
MADHABAHU ALIZOJENGA IBRAHIM
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Katika Biblia, Ibrahimu alijenga madhabahu katika maeneo mbalimbali kama ishara ya ibada kwa Mungu, shukrani, na imani. Hapa ni madhabahu kuu alizojenga...
Habari ya muda Great Thinkers!!
Wakuu nimegundua kuwa hakuna kitu kinachoitwa kipaji (talent) katika Dunia hii.
Wazungu hupenda kutumia dhana au neno kipaji wakimaanisha mtu kuzaliwa akiwa...
DHANA YA MAISHA KAMA SAFARI YA KUMBUKUMBU.
Ikiwa maisha ni mkusanyiko wa kumbukumbu, basi kuishi ni kukumbuka. Na kama mwanadamu amezaliwa na kumbukumbu za maisha ya nyuma, basi kuishi ni...
Habari wanajukwaa!
Nimevutiwa sana na jukwaa hili lenye hoja fikirishi na zenye mvuto wa aina yake. Leo ningependa kuanzisha mjadala wa kipekee kuhusu uwezo wetu wa kufikiri. Hivi karibuni...
KISWAHILI ni wazugaji na wafichua habari
Ni watu maalum lakini wa kila jinsia umri na kaliba... Kati yao wapo mpaka wezi matapeli, wakabaji na wachawi.. Lakini kila walipo wapo kwa lengo...
Natumai mu buheri..
Mada yangu leo nitapenda kuangazia misimamo mbalimbali juu ya uwepo wa Mungu/Miungu pamoja na chanzo cha ulimwengu na kisha nitagusia mtazamo wangu kutokana na mitazamo hiyo...
Chanzo kikuu cha taarifa kuhusu maisha ya Muhammad ni Hadith (masimulizi ya matendo na maneno yake), pamoja na Sirah (wasifu wake) zilizoandikwa baada ya kifo chake.
Hakuna ushahidi wa moja kwa...
Salute
Kipindi cha nyuma kabla sijawa na ufahamu wa masuala ya teknolojia nilikua nikiangalia muvi kama vile KingKong, Jurasic Park,Godzila,RoboCop, Cyborg , Terminator nk nilikua najua kwamba...
Naam, nimekuja tena kupamba jukwaa kwa aina ya pekee kabisa.
Nadhani mmewahi kusikia juu ya hawa viumbe wanaoitwa MAJINI. Mmesikia stori mbalimbali kuwahusu lakini leo sio stori tena na vitendo...
Hatimaye najibu Mpemba's Law π€ Kwanini kimiminika cha moto kinaganda haraka kuliko cha baridi katika friji.. Hapa jibu letu tunaweza kulipa jina "Utaratibu wa Mapambano ya Usawa". Kuwa kitu...
vitabu vifuatavyo, wengine wanaita kanuni ya pili, wengine wanaviita apokrifa, nivitabu ambavyo unaweza kuvisoma tu kama kujifunza kitu fulani ambacho kinaweza kuwa kweli au sio kweli.
kwa nini...
Wanajamvi karibuni katika kalooist jamii.
Mwili husitiriwa kwa mavazi,makazi na hiyo amani ya moyo.Katika jamii nyingi za kiafrika ni sehemu chache zilikuwepo na kuweza kuyamudu hayo, mfano huko...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Kwanini watu...
Sir Isaac Newton tumemzoea kwenye maswala ya Sayansi, na amefanya mabadiliko makubwa katika Ulimwengu huu
Je wajua aliwahi pia kukichambua kitabu cha Daniel kwa undani zaidi?
Leo nitakuonesha...
Pengine unamsikia tu shetani juu juu, humfahamu vizuri na unasema ni adui yako.
Unawezaje kupambana na adui usiyeijua nguvu yake?
Anafafanua kwa ufupi Mwl . Makungu m.s
0743781910
Kamwe...
Memories of WWII refugees live on in Tanzania
ARUSHA β On the fringes of a small Tanzanian village called Tengeru lie buried 150 Polish war refugees, who did their best to make a life there.
The...
GEORGE W. BUSH; RAIS WA 43 WA MAREKANI ANAYESEMWA KUWA NA KIWANGO KIDOGO CHA AKILI (IQ), LAKINI NDIE RAIS MBABE, MKALI NA ALIYEOGOPWA ZAIDI DUNIANI, ANATAJWA KUPENDWA SANA NA KUCHUKIWA SANA...
If:
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z - Is equal to; 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26
Then;
H+A+R+D+W+O+R+K ; 8+1+18+4+23+15+18+11=98%...
Je, kuna uthibitisho wowote wa kimaandiko kwamba kutakuwa na mateso baada ya kifo kwa wale watakaokufa katika dhambi?.
Jibu ni ndio.. Tusome,
Luka 16:22 βIkawa yule maskini alikufa, akachukuliwa...