Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Habari za wakati huu ndugu zangu wa JamiiForums, Ninaandika ombi hili hapa nikiwa na simanzi kubwa kutokana na hali ngumu anayopitia mama yangu mzazi. Mama anasumbuliwa na makovu makubwa katika...
1 Reactions
0 Replies
19 Views
Naomba msaada na ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya kuhusu historia yangu ya kiafya. Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya. Sehemu kubwa ya maisha yangu...
1 Reactions
10 Replies
134 Views
Ujue mmea wa mkandandogowe kisayansi psorospermum febrifegum...
0 Reactions
2 Replies
39 Views
Mtu anaenda hospital labda ana shida ya kukohoa au shida nyingine ya mfumo wa upumuaji, daktari anamuandikia Azithromycin au Azuma kama tunavyoita huku mtaani,kwa sababu ni dawa nzuri sana ya...
9 Reactions
63 Replies
700 Views
Star Anise (kash kash) ni kiungo cha thamani kinacholimwa zaidi maeneo ya milimani yenye baridi kama Lushoto na Nyanda za Juu Kusini. Mti wake huchukua miaka kadhaa kuanza kutoa matunda, huku...
2 Reactions
0 Replies
27 Views
Meno yaliyopangwa vibaya siyo tiba yake kuyang'oa kienyeji. Meno yenye mpangilio usio sahihi yanaweza kurekebishwa kwa njia ya kitaalamu iitwayo Orthodontic Treatment (Matibabu ya Mpangilio wa...
2 Reactions
6 Replies
138 Views
Ni mara nyingine ya mwaka 2026 tunakutana katika kuendeleza kupeana elimu ya Namna ya kujipatia tiba kwa njia ya asili Leo nitaeleza majani ya mti wa Amla ya tz ni Maarufu sana kutokana na kuwa...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Habari wakuu nimiezi mitatu sasa presha yangu haishuki Toka niugue homa kali ..presha tangia hapo haijawahi shuka pamoja na kufanya Kila jitihada presha inasoma 155/105 pr 66 Kila asubuh napoamka...
5 Reactions
31 Replies
351 Views
Wanajf ni siku ya tatu leo toka nifanyiwe ct scan ya tumbo. Ajabu tumbo sasa limebadilika. Linawaka moto.Kiuno sasa kinauma sana. Tumbo linaunguruma sana utafikiri vyura vinafanya mazoezi...
8 Reactions
141 Replies
19K Views
Member mko poa? Kwa mtakao kumbuka wiki kadhaa nilileta lalamiko langu juu ya ukosefu wa nguvu za kiume Wapo waliosikitika na mpaka kuna madem wakajitolea kunitibu wakaahidi nikipona naanza...
6 Reactions
98 Replies
1K Views
Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa mafuta yanayohifadhiwa sehemu ya chini ya mwili ni tofauti kabisa na yale ya tumboni. Kulingana na wataalamu wa afya, mafuta haya ya nyonga husaidia kunasa asidi za...
3 Reactions
18 Replies
277 Views
Anonymous (e13e)
Huduma mbovu sana upande wa opd(wagonjwa wa nje) wameunganisha jengo wagonjwa wa dharua na OPD ya wagojwa wa kawaida na kuacha vyumba vikiwa waziwa sisi wagonjwa wa magonjwa ya kawaida...
0 Reactions
3 Replies
154 Views
Heshima yenu madokta wetu. Kwanza niwashukuru kwa msaada wenu mkubwa hapa JF na kwa jamii kwa ujumla. Binafsi kupitia JF nimepata suluhu mbalimbali za kiafya. Nyie ni watu wa thamani sana hapa...
8 Reactions
43 Replies
759 Views
Daktari Selestin Mpiri anaeleza kuhusu umuhimu wa ulaji sahihi (diet) ikilinganishwa na mazoezi katika kupunguza uzito. Mazoezi pekee hayawezi kurekebisha au kufuta madhara ya ulaji mbaya. Ili...
2 Reactions
12 Replies
222 Views
Guys ni wapi kwa hapa Tz nitapata sehemu wanapandikiza mbegu nimekaa nimetafakari kwa umri wangu huu miaka 23 sijawahi kuwa na demu wala wa kusingiziwa na sina mpango wa kuoa,ninachotaka kufanya...
15 Reactions
140 Replies
1K Views
Habari wakuu. Poleni kwa kuwashtua. Poleni kwa Kuwapa tension. Kuna Bonge la Uzi niliwahi kusoma Mwaka 2020 miaka Takriban 7 Iliyopita. UZI ULIKUWA UNAELEZEA KWA UNDANI MNO KUHUSU HUU HISTORJA...
3 Reactions
16 Replies
218 Views
Kwa uzoefu wangu mdogo nimebaini Watanzania wengi sana tunapofikisha miaka around 40 tunaanza kupata changamoto nyingi sana za kiafya zinazo weza kuzuilika kutokana na life style zetu. Ukiachana...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Mimi ni Moja ya watu waliohangaika sana na hivi vipele/vidonda kwa mda mrefu sana. Nimetumia Kila dawa za kienyeji mpaka sindano nimechoma ila hola sikupona. Ila nilivyogundua huu mchanganyiko wa...
0 Reactions
17 Replies
250 Views
Habari!? Eeeeh bwana eeeh, nimeteseka sana aisee. Nimesumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo kwa zaidi ya miaka 10. Katika kipindi hicho chote nimetumia dawa nyingi sana, kuanzia dawa za...
11 Reactions
80 Replies
1K Views
Kwani watu wanaopatwa tatizo la kupungukiwa damu anatakiwa kuongezewa na watu wajamii yake tu au ilimradi damu iwe ya binadamu mwenzie mwenye sifa na vigezo bila kujali jamii yaani...
3 Reactions
35 Replies
397 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…