Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Mimi ni mwanamke nina miaka 28, nasumbuliwa na miguu kuuma hasa nikiwa nimelala au kukaa, nimepima hiv,uti,typhod na malaria sina chochote, naomba mnisaidie ushauri tafadhali.
2 Reactions
21 Replies
300 Views
Habari wakuu mi ni kijana wa kiume Miaka 27 sijaoa Bado nafanya biashara (x) .Nimezaliwa kwenye familia ya walokole mi mwenyewe nimeokoka ila sasa Nina changamoto kuu mbili kwenye maisha yangu...
4 Reactions
20 Replies
411 Views
Habari wanajukwaa, Nina mzazi wangu mwenye umri wa 57 y.o anasumbuliwa sana na tatizo la misuli ya miguu kuuma yaan inakaza na kuachia kwa muda mrefu na hali hii humtokea mara nyingi jioni...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
YAH: TAARIFA KWA UMMA KUHUSU HITILAFU YA UMEME KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SEKOU-TOURE Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye...
2 Reactions
4 Replies
436 Views
Kuna hii stori ambayo nimekuwa nikiisikia sana mtaani tangu nikiwa mdogo, eti "Ukipenda sana kula mayai, moyo wako utatanuka." Zamani tulikuwa tunaogopeshwa sana na hii kauli ya "moyo kutanuka,"...
1 Reactions
8 Replies
231 Views
Anonymous
Asante. Mimi binafsi sijui hii niite kero, kitendawili au hata dudumizi ndani ya sekta ya afya nchini. Ninaandika hili si kama hadithi ya kusikia, bali kama jambo nililolipitia mwenyewe. Naamini...
4 Reactions
9 Replies
176 Views
Kutoa Harufu Mbaya Ukeni: Uke kutoa harufu mbaya ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi duniani, hususani wakati wa tendo la ndoa. Uke kutoa harufu mbaya kwa kiasi kikubwa husababishwa na fangasi...
5 Reactions
29 Replies
9K Views
Nawaza makebo makubwa muda wote. Naanza kujihisi siko sawa. Je, naweza pata msaada gani kisaikolojia? Fikra zangu zimegeuka porno, pesa zangu zinaishia kwa milupo.
4 Reactions
6 Replies
139 Views
Ni feeling Gani unaipata baada ya kupima HIV na kukuta upo salama yaani Negative? Hasa baada ya kushiriki tendo bila Kinga, kupata wasiwasi hasa baada ya kuwa na mgogoro wa kiafaya kama kupata...
3 Reactions
34 Replies
549 Views
Habari za asubuhi wanaJF, Nimekaa ktk mahusiano na mwanamke fulani mpaka sasa tuna miezi mitatu ila tangu tuanze mahusiano yetu tulikuwa tunatumia kondomu kusex. Siku moja mwenzangu tukiwa...
1 Reactions
77 Replies
120K Views
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Gowele amefanya ziara ya kushtukiza katika Kituo cha Afya Nyangoto, kinapatikana Nyamongo Mkoa wa Mara, Wilaya ya Tarime Vijijini, Kata ya Matongo ambapo...
0 Reactions
0 Replies
208 Views
Najua ushaona wagonjwa wa kansa wakiwa na vipara na ukadhani ni sehemu ya ugonjwa wenyewe. Basi sababu kuu ni matibabu ya kemotherapi ambayo huathiri seli zinazokua haraka mwilini, zikiwemo seli...
4 Reactions
8 Replies
288 Views
Habari wakuu niwiki Sasa presha yangu Iko juu nimekuja kwenu kutaka muongozo namba Gani naweza kushusha hii presha nisitumie dawa
0 Reactions
2 Replies
159 Views
Punyeto ni nini? Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa...
24 Reactions
9K Replies
2M Views
Habari, Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu mfumo wa uongozi ndani ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC). Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wauguzi wengi kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni ugonjwa hatari wa mfumo wa uzazi wa mwanamke. Usipochukua hatua mapema, madhara yake yanaweza kubadilisha maisha yako kabisa: 1️. Ugumba — Mirija ya uzazi...
1 Reactions
6 Replies
715 Views
Unapokwenda dukani kununua dawa ya meno ya kampuni yoyote ile hakikisha ina kiwango cha ubora huo wa madini ya fluoride 1450-1500ppm kwa watu wazima na 1000ppm kwa watoto. Viwango hivi vya ubora...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Video fupi ya hatua ambazo mtu anapaswa kuzifuata ili kumsaidi amtu aliyepoteza fahamu kabla ya kumfikisha kwa wataalam wa afya kwa msaada zaidi. ANGALIZO Kulingana na wingi wa magonjwa nyakati...
1 Reactions
1 Replies
124 Views
Anonymous
Mimi ni mkazi wa Kigoma Mjini, napenda kutoa malalamiko yangu kuhusu huduma niliyoipata katika Hospitali ya Mkoa Kigoma Maweni wakati nilipompeleka mke wangu kujifungua. Tulipofika hospitalini...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Je, unaweza kutumia dawa za presha halafu ukikaa sawa ukaacha kutumia hizo dawa au ndio unatakiwa utumie maisha yako yote, hata kama kipindi ambacho umekaa sawa
2 Reactions
6 Replies
245 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…