Ukweli kuhusu ulaji wa dawa za presha

Ukweli kuhusu ulaji wa dawa za presha

Naxria abdalla

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2025
Posts
204
Reaction score
376
Je, unaweza kutumia dawa za presha halafu ukikaa sawa ukaacha kutumia hizo dawa au ndio unatakiwa utumie maisha yako yote, hata kama kipindi ambacho umekaa sawa
 
Pressure ikakaa vizuri kwa muda mrefu unaacha kutumia ila unatakiwa uwe na utaratibu wa kuangalia maendeleo ya pressure yako mara kwa mara ili ikionyesha kuanza kupanda unaishusha tena kwa dawa.
Lakini usiogope ukiambiwa maisha yako yote maana unaweza kuyapoteza maisha kwa kukataa kutumia dawa
 
Hivi tunakula dawa ama tunakunywa dawa?

Nadhani inategemea na kiwango cha presha, nAvyojua kuna mda doc anakushauri usitishe kwa muda..... Ngoja wenye taaluma yao waje kukujibu kiueledi zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom