Huku Viongozi wa ngazi za Juu wa Iran wakiiangamizwa, nimeshuhudia Mashabiki na wafuasi wa Iran hasa wa dini ile waliopo Tanzania, Wakifurahia na kushangilia picha feki zilizotengenezwa na AI...
Iran, baada ya kauli za kibabe kuwa atapiga nchi zote marafiki wa Marekani Mashariki ya kati, baada ya kurusha makombora hovyo hovyo kwa nchi za kiarabu, na Waarabu kuamua kuwa na kikao kesho ili...
Iran imeushambulia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dubai kwa drone ya kivita leo Jumamosi March 07,2026.
Tayari Mashirika ya ndege ya Kimataifa ikiwemo Emirates yametangaza kusititisha safari...
Ambassador Stephen Patrick Mbundi Appointed New Secretary General of the EAC
The Government of the United Republic of Tanzania warmly welcomes the appointment of Ambassador Stephen Patrick Mbundi...
Wale wanamgambo wala mirungi wa Yemen tangu Iran kubondwa na Wateule na Marekani wamekuwa kimya kulikoni?
Ni zaidi ya wiki sasa hata kimondo hawajarusha kuelekea ardhi tukufu, takatifu na teule...
Kulingana na intelijensia ya Urusi Israel kwenye siku 3 za mwanzo tu walipoteza zaidi ya watu 1210+ na hao ni wanajeshi na watu wa vitengo tu,na ripoti hii haizungumzii raia ambao wapo kwenye...
Marekani alishambulia water desalination plant ya Iran ambayo huchuja maji ya bahari
At the Same Israel na UAE na nchi nyingi za kiarabu wanategemea aina hiyo hiyo ya mitambo.
Iran nae akajibu...
Leo kusingekuwa na NASA bila ya Mjerumani, kwa kifupi space program yote ya Marekani chimbuko lake ni wanasayansi wa chama cha NAZI kutoka Ujerumani.
Maendeleo makubwa sana ya makombora ya ICBM...
Kumekuwa na storie niseme propaganda zikiongozwa na mtu mzima Rais wa Marekani huku zikijibiwa kwa vitendo na Iran
Wenye akili walishajua kuna mtu alikuwa anajazwa kwenye mfumo naye kajaa...
Iran amesema hatoshambulia nchi za kiarabu baada ya kufyeka US bases zote kwenye eneo....Lakini kwa masharti kuwa iran ikishambuliwa tena kupitia nchi za kiarabu na US baadhi nchi husika...
Putin baada ya kuona anashambuliwa na USA kwa kushirikiana na NATO kupitia Ukraine,alitoa ahadi kuwa, kuanzia Sasa Urusi itakua inazipa silaha Kali nchi mahasimu wa Marekani.
Akapendekeza kuwa...
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian na Mojtaba Khamenei aliyechukua mikoba ya Ayatollah Ali Khamenei inasemekana wamefyekelewa mbali na kuangamizwa na majeshi hodari ya Israel.
Awali Rais huyo...
Marekani walipoenda Iraq kwa Saddam Hussein hawakuweza kufikia hata kwa theluthi walichokiweza Iran, yani Iran wameigeuza kama sebule yao, wanajipigia tu.
Osama alikuwa mwiba sana, hadi Marekani...
Semper Fidelis.
In the Marine Corps, under President Donald J. Trump color does not matter.
Merit does.
For the first time in its 246-year history, the U.S. Marine Corps has promoted a Black...
Hawa watu wawili sijui waliwezaje kuwadanganya na kuwalagahi mamilioni ya Wamarekani kuweza kuwaamini!
Ahadi zote kubwa kubwa Trump alizowaahidi Wamarekani hadi wakamchagua kwa kishindo...
Kiswa ya Kaaba (kitambaa maalum kinafunika Al Kaaba) ilisafirishwa kutoka Saudi Arabia kwenda kwa Jeffrey Epstein, huku umuhimu wake wa kidini ukielezwa wazi katika barua pepe.
Nani walihusika...
Kwa usalama wa Marekani na washirika wake kama Marekani bado inaota ndoto za miaka ya 50s ya kuja kupambana ki vita na China ni vyema viongozi wa Marekani hilo wazo wakalifuta kuanzia sasa...
Mwanzilishi NetNaija, Emmanuel Analike, ameamriwa kuendelea kuzuiliwa katika Gereza la Kuje nchini Nigeria baada ya kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za ukiukaji wa hakimiliki.
Mashtaka: Tume ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.