SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa zinazosema kiongozi mkuu mpya wa Iran Bwana Alireza Arafi ameuwawa.

Ngoja tusubiri tuone kama itakuwa ni kweli.
1772701718723.png
 
Tunachokijua
Jeshi la Israel (IDF) lilithibitisha kumuua Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran, katika shambulio kubwa la anga lililofanywa mjini Tehran, na hivyo kumaliza utawala wake uliodumu kwa miongo kadhaa. Iran pia ilikiri kifo chake na kutangaza mipango ya uongozi wa muda.

Kufuatia kifo cha Ali Khamenei kilichodaiwa kusababishwa na mashambulizi ya anga ya Marekani na Israel, Iran ilimtaja Alireza Arafi kuwa Kiongozi Mkuu wa muda. Arafi ni mwanazuoni wa juu wa kidini mwenye uhusiano mkubwa na taasisi za kidini na kisiasa za Iran, na aliwahi kushika nyadhifa muhimu ikiwemo katika Baraza la Guardian Council.

Madai

Kumekuwapo na taarifa inayosmbazwa mtandaoni kuwa kiongozi mpya wa Iran Alireza Arafi ameuawa.

Je, ni upi uhalisia wa Taarifa hiyo?

Ufuatiliaji wa kimtandao uliofanywa na JamiiCheck umejiridhisha kuwa taarifa hiyo si ya kweli, kwani hakuna chanzo chochote cha kuaminika kilichothibitisha au kutoa taarifa hiyo. Vyanzo vya habari vinaeleza kuwa madai hayo yanatokana zaidi na uvumi wa mitandaoni kuliko taarifa za mamlaka au vyombo vya habari vinavyoaminika.

Hakuna uthibitisho rasmi uliotolewa na vyombo vya habari vya serikali ya Iran, serikali za kigeni, au mashirika makubwa ya habari ya kimataifa kuhusu madai ya kifo hicho.

Taarifa rasmi zinaonyesha kuwa Arafi aliteuliwa kuongoza baraza la uongozi wa muda wa Iran kufuatia kifo cha kiongozi mkuu wa muda mrefu, Ayatollah Ali Khamenei.​
Bado hatujamalza maombolez ya siku 40,tup sk ya pil,alaf mnataka kutuangazia mwingine.si mtatumalz jaman
 
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian na Mojtaba Khamenei aliyechukua mikoba ya Ayatollah Ali Khamenei inasemekana wamefyekelewa mbali na kuangamizwa na majeshi hodari ya Israel.

Awali Rais huyo kwenye vita vya siku 12 alijeruhiwa miguu na akaponea chupu chupu kuuwawa nasikia safari hii wana wa Israel hawakuweza kufanya kosa wamepita naye!!

Kwa upande mwingine Mtoto wa Marehemu Gaidi Ayatollah Ali Khamenei Bwana Mojtaba Khamenei na ambaye alichukua mikoba ya Baba yake naye ameangamizwa bila huruma yoyote.

Kwa taarifa hii ninaomba mwenye taarifa zao hao wawili anijulishe wako wapi zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwao.

Naomba kuwasilisha!!
 

Attachments

  • Screenshot_20260307-042654_Chrome.jpg
    Screenshot_20260307-042654_Chrome.jpg
    166.1 KB · Views: 26
  • Screenshot_20260307-050158_Google.jpg
    Screenshot_20260307-050158_Google.jpg
    140.4 KB · Views: 33
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian na Mojtaba Khamenei aliyechukua mikoba ya Ayatollah Ali Khamenei inasemekana wamefyekelewa mbali na kuangamizwa na majeshi hodari ya Israel.

Awali Rais huyo kwenye vita vya siku 12 alijeruhiwa miguu na akaponea chupu chupu kuuwawa nasikia safari hii wana wa Israel hawakuweza kufanya kosa wamepita naye!!

Kwa upande mwingine Mtoto wa Marehemu Gaidi Ayatollah Ali Khamenei Bwana Mojtaba Khamenei na ambaye alichukua mikoba ya Baba yake naye ameangamizwa bila huruma yoyote.

Kwa taarifa hii ninaomba mwenye taarifa zao hao wawili anijulishe wako wapi zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwao.

Naomba kuwasilisha!!

Daaah...mkuu mi nilifikiri umekuja na habari kamili iliyoshiba juu ya kuuawa kwao kumbe nawe umeleta uzi ili nasi tukuthibitishie?
 
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian na Mojtaba Khamenei aliyechukua mikoba ya Ayatollah Ali Khamenei inasemekana wamefyekelewa mbali na kuangamizwa na majeshi hodari ya Israel.

Awali Rais huyo kwenye vita vya siku 12 alijeruhiwa miguu na akaponea chupu chupu kuuwawa nasikia safari hii wana wa Israel hawakuweza kufanya kosa wamepita naye!!

Kwa upande mwingine Mtoto wa Marehemu Gaidi Ayatollah Ali Khamenei Bwana Mojtaba Khamenei na ambaye alichukua mikoba ya Baba yake naye ameangamizwa bila huruma yoyote.

Kwa taarifa hii ninaomba mwenye taarifa zao hao wawili anijulishe wako wapi zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwao.

Naomba kuwasilisha!!
Umeandika kishabiki sana
 
Unajui Israeli inaenda kufutwa kwenye Uso wa Dunia? na aliyekuwa anamtegemea atafatwa kwake akale kichapo niamini mimi Iran hayuko peke yake
 
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian na Mojtaba Khamenei aliyechukua mikoba ya Ayatollah Ali Khamenei inasemekana wamefyekelewa mbali na kuangamizwa na majeshi hodari ya Israel.

Awali Rais huyo kwenye vita vya siku 12 alijeruhiwa miguu na akaponea chupu chupu kuuwawa nasikia safari hii wana wa Israel hawakuweza kufanya kosa wamepita naye!!

Kwa upande mwingine Mtoto wa Marehemu Gaidi Ayatollah Ali Khamenei Bwana Mojtaba Khamenei na ambaye alichukua mikoba ya Baba yake naye ameangamizwa bila huruma yoyote.

Kwa taarifa hii ninaomba mwenye taarifa zao hao wawili anijulishe wako wapi zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwao.

Naomba kuwasilisha!!
wewe ni fara kweli 😂😂
Unajui Israeli inaenda kufutwa kwenye Uso wa Dunia? na aliyekuwa anamtegemea atafatwa kwake akale kichapo niamini mimi Iran hayuko peke yake
wayahudi wa tandale wanahisi iran yupo peke yake.....
 
Unajui Israeli inaenda kufutwa kwenye Uso wa Dunia? na aliyekuwa anamtegemea atafatwa kwake akale kichapo niamini mimi Iran hayuko peke yake
Labda utafutika wewe na familia yako!! Wote waliokuwa wanaisagia meno na kuitakia Israel kufutwa kwenye uso wa dunia sasa hivi hatunao lakini Israel ipo!!!!!

Walikuwepo akina Haman walitaka sana wayahudi wauwawe lakini aliuwawa yeye Israel ikaendelea kuwepo na mpaka sasa ipo!!!

Walikuwepo wafalme wa Mataifa mbalimbali walitaka kuwaangamiza wayahudi na Taifa Lao cha ajabu wao waliangamizwa na wayahudi na Israel Yao bado wapo!!!

Alikuwepo Farao akapita akaja Herode naye kapita wayahudi na Israel Yao wapo!!!

Akaja Hitler alijitahidi sana kuwamaliza wayahudi lakini alishindwa na wayahudi waliendelea kuwepo

Wakaja waarabu 1948,1967,1973 wakataka kuwaangamiza wayahudi na Israel Yao lakini walishindwa na Israel inaendelea kuwepo!,!,

Mwaka 1979 baada utawala wa Shah huko Iran kupinduliwa na Ayatollah Luhollah Khomen kuingia madarakani walianza kubwabwaja na kuahidi kuifuta Israel kwenye uso wa dunia akiwemo wafuatao
  1. Abolhassan Bani-Sadr (1980–1981): Rais wa kwanza wa Iran baada ya mapinduzi. Aliondolewa madarakani na bunge.
  2. Mohammad-Ali Rajai (1981): Alihudumu kwa muda mfupi sana kabla ya kuuawa katika shambulio la bomu.
  3. Ali Khamenei (1981–1989): Alihudumu mihula miwili. Baadaye akawa Kiongozi Mkuu (Supreme Leader) baada ya kifo cha Ayatollah Khomeini.
  4. Akbar Hashemi Rafsanjani (1989–1997): Aliongoza nchi baada ya vita vya Iran na Iraq na kuanzisha mageuzi ya kiuchumi.
  5. Mohammad Khatami (1997–2005): Anajulikana kwa ajenda zake za mageuzi na kufungua nafasi zaidi ya kisiasa.
  6. Mahmoud Ahmadinejad (2005–2013): Alijulikana kwa siasa kali dhidi ya nchi za Magharibi na mpango wa nyuklia.
  7. Hassan Rouhani (2013–2021): Aliongoza serikali iliyosaini makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015.
  8. Ebrahim Raisi (2021–2024): Alifariki dunia katika ajali ya helikopta mwezi Mei 2024.
  9. Mohammad Mokhber (Mei 2024 – Julai 2024): Rais wa mpito kufuatia kifo cha Raisi.
  10. Masoud Pezeshkian (Julai 2024–Sasa): Alichaguliwa kufuatia uchaguzi wa haraka baada ya kifo cha Ebrahim Raisi. Wote hawa ha wapo na Israel ipo!!!
Juzijuzi hapa vikatokea vikundi vilivyokuwa vinaungwa mkono na Iran kwa maana ya Hamas,Hezbollah,Houth,Islamic jihad walianzisha Al Aqsa Flood Oct 07,2023 wali jitahidi sana lakini nao waliangukia Pua Israel bado ipo!!!

Kwa hiyo wewe ni Nani hata useme kuifuta Israel kutoka kwenye Ramani ya dunia? Kaa kwa kutulia angalia mizoga ya miamba walioangamia kwa kutaka kuifuta Israel lakini wao ndiyo wamefutika na Israel bado ipo!!
 

Attachments

  • IMG_3483.jpeg
    IMG_3483.jpeg
    59.3 KB · Views: 30
  • IMG_3479.jpeg
    IMG_3479.jpeg
    351.6 KB · Views: 25
  • IMG_3466.jpeg
    IMG_3466.jpeg
    339.2 KB · Views: 30
  • IMG_3419.jpeg
    IMG_3419.jpeg
    35.8 KB · Views: 30
  • IMG_3414.jpeg
    IMG_3414.jpeg
    197.7 KB · Views: 27
  • IMG_3405.jpeg
    IMG_3405.jpeg
    65.3 KB · Views: 28
  • IMG_3404.jpeg
    IMG_3404.jpeg
    72.7 KB · Views: 24
  • IMG_3403.jpeg
    IMG_3403.jpeg
    130 KB · Views: 29
  • IMG_3402.jpeg
    IMG_3402.jpeg
    112.9 KB · Views: 26
  • IMG_3366.jpeg
    IMG_3366.jpeg
    347.7 KB · Views: 26
  • IMG_3499.jpeg
    IMG_3499.jpeg
    132.9 KB · Views: 28
  • IMG_4079.jpeg
    IMG_4079.jpeg
    254.9 KB · Views: 29
  • IMG_5054.jpeg
    IMG_5054.jpeg
    40.4 KB · Views: 27
  • IMG_5053.jpeg
    IMG_5053.jpeg
    51.3 KB · Views: 26
  • IMG_5018.jpeg
    IMG_5018.jpeg
    75.2 KB · Views: 28
  • IMG_5015.jpeg
    IMG_5015.jpeg
    35.5 KB · Views: 29
  • IMG_4989.jpeg
    IMG_4989.jpeg
    41.1 KB · Views: 28
  • IMG_4978.jpeg
    IMG_4978.jpeg
    168.9 KB · Views: 26
  • IMG_4977.jpeg
    IMG_4977.jpeg
    154.8 KB · Views: 28
  • IMG_4910.jpeg
    IMG_4910.jpeg
    84.2 KB · Views: 27
  • IMG_4908.png
    IMG_4908.png
    890.4 KB · Views: 31
  • IMG_4651.jpeg
    IMG_4651.jpeg
    188.2 KB · Views: 29
  • IMG_3335.png
    IMG_3335.png
    792.8 KB · Views: 25
Duh! Mleta mada una data na kumbukumbu nzuri ya taifa hili la Israel na Iran. Wakati tunasubiria tetesi uliyoileta, lakini taarifa yako haiwezi kupuuzwa na yeyote mwenye uwezo wa kutafakari.
 
Labda utafutika wewe na familia yako!! Wote waliokuwa wanaisagia meno na kuitakia Israel kufutwa kwenye uso wa dunia sasa hivi hatunao lakini Israel ipo!!!!!

Walikuwepo akina Haman walitaka sana wayahudi wauwawe lakini aliuwawa yeye Israel ikaendelea kuwepo na mpaka sasa ipo!!!

Walikuwepo wafalme wa Mataifa mbalimbali walitaka kuwaangamiza wayahudi na Taifa Lao cha ajabu wao waliangamizwa na wayahudi na Israel Yao bado wapo!!!

Alikuwepo Farao akapita akaja Herode naye kapita wayahudi na Israel Yao wapo!!!

Akaja Hitler alijitahidi sana kuwamaliza wayahudi lakini alishindwa na wayahudi waliendelea kuwepo

Wakaja waarabu 1948,1967,1973 wakataka kuwaangamiza wayahudi na Israel Yao lakini walishindwa na Israel inaendelea kuwepo!,!,

Mwaka 1979 baada utawala wa Shah huko Iran kupinduliwa na Ayatollah Luhollah Khomen kuingia madarakani walianza kubwabwaja na kuahidi kuifuta Israel kwenye uso wa dunia akiwemo wafuatao
  1. Abolhassan Bani-Sadr (1980–1981): Rais wa kwanza wa Iran baada ya mapinduzi. Aliondolewa madarakani na bunge.
  2. Mohammad-Ali Rajai (1981): Alihudumu kwa muda mfupi sana kabla ya kuuawa katika shambulio la bomu.
  3. Ali Khamenei (1981–1989): Alihudumu mihula miwili. Baadaye akawa Kiongozi Mkuu (Supreme Leader) baada ya kifo cha Ayatollah Khomeini.
  4. Akbar Hashemi Rafsanjani (1989–1997): Aliongoza nchi baada ya vita vya Iran na Iraq na kuanzisha mageuzi ya kiuchumi.
  5. Mohammad Khatami (1997–2005): Anajulikana kwa ajenda zake za mageuzi na kufungua nafasi zaidi ya kisiasa.
  6. Mahmoud Ahmadinejad (2005–2013): Alijulikana kwa siasa kali dhidi ya nchi za Magharibi na mpango wa nyuklia.
  7. Hassan Rouhani (2013–2021): Aliongoza serikali iliyosaini makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015.
  8. Ebrahim Raisi (2021–2024): Alifariki dunia katika ajali ya helikopta mwezi Mei 2024.
  9. Mohammad Mokhber (Mei 2024 – Julai 2024): Rais wa mpito kufuatia kifo cha Raisi.
  10. Masoud Pezeshkian (Julai 2024–Sasa): Alichaguliwa kufuatia uchaguzi wa haraka baada ya kifo cha Ebrahim Raisi. Wote hawa ha wapo na Israel ipo!!!
Juzijuzi hapa vikatokea vikundi vilivyokuwa vinaungwa mkono na Iran kwa maana ya Hamas,Hezbollah,Houth,Islamic jihad walianzisha Al Aqsa Flood Oct 07,2023 wali jitahidi sana lakini nao waliangukia Pua Israel bado ipo!!!

Kwa hiyo wewe ni Nani hata useme kuifuta Israel kutoka kwenye Ramani ya dunia? Kaa kwa kutulia angalia mizoga ya miamba walioangamia kwa kutaka kuifuta Israel lakini wao ndiyo wamefutika na Israel bado ipo!!حليك في نار يا كلب
 
Unajui Israeli inaenda kufutwa kwenye Uso wa Dunia? na aliyekuwa anamtegemea atafatwa kwake akale kichapo niamini mimi Iran hayuko peke yake
Ayatollah Khamenei alikua na mawazo kama yako ukoo wake unaelekea kuteketezwa kwahyo na ww chunga
 
Back
Top Bottom