Marekani na Israeli zimeanzisha vita dhidi ya Iran zikipuuza sheria za kimataifa. Ingawa bara la Afrika liko mbali na uwanja wa vita katika Ghuba ya Uajemi, lakini kutokana na utandawazi wa uchumi...
Waziri wa Usalama wa Ndani, Kristi Noem, alikabiliwa na msururu wa madai ya utovu wa nidhamu mbele ya Kamati ya Sheria ya Bunge siku ya Jumatano. Madai hayo yalijumuisha masuala kuhusu mipango...
Kinachofanywa na Iran ni totaly utoto, wana kila sababu ya kurusha makombola Israel lakini wrong strategy kushambulia mataifa ya Kiarabu ambao ndio majirani zake.
Marekani sasa inapata uhalali wa...
Hakuna free lunch hapa duniani.
Lakini afadhali kusaidiwa na mtu wa mbali unajua kabisa atachukua sehemu flani ya rasilimali kisha awaache muendelee na maisha mengine kwa uhuru kuliko kuongozwa...
Fuel prices are climbing across Africa as escalating conflict involving the United States, Israel, and Iran adds pressure to global oil markets, analysts say. Crude prices have jumped in recent...
https://youtu.be/OGPcWKBWiz0?si=LN83QgAZlt2Zufl6
Kama nilivyokuwa nahisi, kazi ya ujasusi dhidi ya Ayatollah ilifanywa na CIA ya USA.
CIA kumbe walikuwa wanamfuatilia kwa kipindi kirefu tu ili...
Kama Iran na washirika wake wanaamini Trump ni zao la Putin, kwa nini pia wasiamini kwamba Trump analinda masilahi ya Putin kwa kuwapiga Iran?
Siku zote kobazi wamekuwa wakiamini, uchaguzi mkuu...
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, ametoa onyo kali akitangaza kuwa jeshi la nchi hiyo litachukua hatua za kumuua kiongozi yeyote wa Iran atakayeteuliwa kuwa mrithi wa Ayatollah Ali...
Ukitazama vita vya Urusi na Ukraine namna vilivyoanza na sasa hali ni tofauti kabisa unaweza hisi labda Ukraine hakuna vita.
Ukija vita vya Gaza navyo vilianza kwa msisimko mkali baadae vikapoa...
Naam
Ni mengi yamejiri juu yako na heshima yako imeshushwa! Umetafutwa ugomvi kwa muda mrefu ili kobe atoe shingo, umefedheheshwa Iran na hata ile mipango yako ya Nyuklia imekuwa ikidhibitiwa ili...
Salaam
Nyakati hizi ni mengi yanazungumzwa na kuandikwa kuhusu yanayo endelea Iran na Marekani ila tufikiri nje ya box kidogo kuhusu Iran.
Inatambulika Taifa lenye nguvu duniani ni Marekani...
𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓
📍 Arusha, Tanzania
🗓️ 7th March, 2026
🔹 During the Summit, the Heads of State are expected to launch the EAC Customs Bond; a single regional customs guarantee...
Police were stationed outside the Milton Park offices of opposition politician Tendai Biti after reports that unidentified men in unmarked vehicles confronted members of the Constitution Defenders...
Wallah hawa jamaa wangejidhatiti sawasawa kwenye nyanja ya teknorogy na mavyuma vyuma, bila shaka Israel wangemfuta na hata nchi zote za Warabu wangezifuta vilevile na hata Ulaya wangemkoma...
Leo tarehe 3 Machi, 2026, wakati ulimwengu unatikiswa na vita inayoyoelendela mashariki ya kati, kwa upande wa Ulaya na washirika wa NATO wamejikuta na mtikisiko mwengine, hii ni baada ya uamuzi...
Ndege ya Waziri Mkuu wa Israel Bwana Benjamin Netanyahu inaripotiwa kuonekana kwenye radar ikiondoka kuelekea Ugiriki leo hii. Huku harakati za ndege vita za Marekani na Israel kusogezwa karibu na...
Zimbabwean Minister Barbara Rwodzi has been named Tourism Minister of the Year (Africa) at ITB Berlin 2026 in Germany, officially hosted by Angola. The event, celebrating its 60th anniversary...
Viongozi wachache waliosalia Iran wajaribu kumfikia Trump azungumze nao ila awaambia wamechelewa, maana jeshi la Iran limesambaratika, hawana jeuri ya kuongea naye.
===========
Rais wa Marekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.