Habari ndiyo hiyo kwa sasa, Iran pamoja na axis of resistance aka muqawama watamjibu Israel kwenye operesheni promise 3
Safari hii achomoki mtu
[emoji298]️BREAKING
The entire Axis of...
Israel akirudisha mashambulizi kutokana na ugaidi anaofanyiwa mnawaita wauaji.
Ooh, tushaelewa kwa nini. Turkey ni wale wale itikadi kali wenzenu ndio maana mko kimya.
Uchaguzi unaoendelea huko Marekani umeonyesha kila aina ya rangi. Wakati wagombea wote wakichuana vikali, na huku ikionekana kuwa kura za waislamu na waarabu katika swing states kama vile michigan...
#Lebanon’s Prime Minister Najib Mikati has criticised #Israel’s “expansion” of its attacks on his country, saying it indicates the Israeli rejection of a ceasefire after more than a month of war....
Mahakama ya Juu imefungia Akaunti za Benki za Kampuni ya Huduma za Intaneti ya #Starlink inayomilikiwa kwa ubia na Mfanyabiashara Bilionea #ElonMusk ambaye pia ni mmiliki wa Mtandao wa X (zamani...
Tukisema huwa wanaficha madhara huwa mnatuona labda tunadanganya,wamemkamata na kumfungulia mashtaka eti kwa kosa la kuripoti kuwa makombora ya Iran yalilenga kambi zao!!
[emoji1134][emoji631]...
Habarini wanajukwaa, hebu leo namimi #kimsboy nichambue haya mataifa mawili uimara wake na udhaifu wa nchi hizi kijeshi na kiulinzi.
TUNAANZA NA IRAN
Tukianza na Iran ana jeshi kubwa sana...
Tokea Israel ajaribu kuivamia Lebanon zaidi ya wanajeshi wake 300 wameangamizwa na majeruhi ni maelfu
Mfano jana tu kikosi hatari cha makomandoo wa Hezbollah cha Redwan forces kiliingia Israel na...
Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Israel na Iran vimeripoti hii Leo kuwa Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa
makombora ya ballistic. Imeelezwa kuwa hii Leo Iran imehamisha makombora yake...
Baada ya kuhit targets za Haifa sasa Hezbollah wameanza kuichakaza Israeli
Iko wapi ile mifumo bora dunian kama mtuaminishavyo??
#UPDATE[emoji599]
Hebrew media:
“The calmness of Hezbollah...
Karibia kila siku roketi na drones zinarushwa israel kutokea Lebanon.
Hezbollah wamekuwa na mashambulizi ya mfululizo wa kurusha drones na makombola israel.
Israel hawajawahi kupata changamoto...
Inaripotiwa chama tawala cha BDP chini ya Rais Masisi nchini Botswana kimepoteza madaraka kwa Upinzani katika uchaguzi mkuu nchini humo na hatimaye kuhitimisha utawala wake wa miaka takribani 60...
JESHI la Israel limemuua kiongozi mwingine wa kikosi maalum cha kundi la Hezbollah, Mustafa Ahmad Shahadi katika shambulizi lililofanywa eneo la
Nabatieh kusini mwa Lebanon.
Taarifa ya jeshi la...
Jina lake kamili ni Olukemi Olufunto Adegoke; alizaliwa Uingereza (Jan 2, 1980)na Wazazi wake ambao ni Wanaigeria wakiwa Uingereza walikoishi kwa muda mfupi. Jina la Badenock ni la Ukoo wa Mumewe...
Mwaka 1947 umoja wa mataifa uliweka mipaka kati ya waarabu na wayahudi. upande wa waarabu ukaitwa Palestina kwa mara ya kwanza (jina walilopewa waarabu enzi warima wakkitawala Israel), upande wa...
‼️ S-500 Anti-aircraft Reach
Russia has deployed S-500 air defense systems in Crimea.
Here are some basic specifications to consider in relation to the S-500:
The S-500 has a 600km range in an...
Ifike mahali wakataliwe na Kila jamii na Dini zote wanasababisha miji mizuri Kama kuharibiwa
Labda MTU mwenye Sababu zenye akili za Hizbola kushambulia Israel azieleze hapa
Pia mwenye sababu za...
Wajuzi
T14 Armata
100 others
and 100 others
ILAN RAMON
Mtu asiyejulikana, anayeaminika kuwa mpelelezi kutoka nchi ya kigeni, anatuhumiwa kwa kuendesha operesheni ya upelelezi inayolenga kambi za...
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja...