Maroketi ya Hezbollah yafika Israel

Maroketi ya Hezbollah yafika Israel

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,185
Reaction score
24,564
Baada ya kuhit targets za Haifa sasa Hezbollah wameanza kuichakaza Israeli

Iko wapi ile mifumo bora dunian kama mtuaminishavyo??

#UPDATE[emoji599]

Hebrew media:

“The calmness of Hezbollah today is very scary, perhaps Iran will attack us tonight”

Imagine being more scared of less attacks than more attacks..the Hezb psychological warfare is next level.




Impacts in Tel Aviv following missiles launched from Lebanon
20241102_140744.jpeg
 
Ndio matokeo ya vita hayo...

Kinachofuata ni kulipiziwa kisasi, na iraendelea hivyo hivyo...
 
Hata muoga akikubahatisha, anaumiza na inauma hiyooo!

Hizo zifike tu, ila kiukweli, waarabu nimewapuuza sana, mnakuwa na nguvu mwanzoni tu, mkianza kufuatiliwa siriazi mnaanza kugawa hata wake zenu kwa adui kuonyesha uwoga na udhaifu wenu


Pumbavu zao sana hao hizibolla, walivyoniaminisha hapo mwanzo, kwa sasa wamenikera sana
Kuna nyuzi zilikuwa zinatembea humu kuwa Hezbollah ina silaha sawia na Israel au zinazokaribiana na Israel kwamba siku Israel ikivamia Lebanon mapigo kwa pande zote yataenda sawia kabisa, sasa hivo vi-drone ndio ulingaishe na mapigo ya Israel kweli?

Mimi tokea yule kamanda wao auwawe kizembe kule Beirut nimewapotezea kabisa hao Hezbollah, kidogo Hamas kapambana lakini sio hii takataka
 
Baada ya kuhit targets za Haifa sasa Hezbollah wameanza kuichakaza Israeli

Iko wapi ile mifumo bora dunian kama mtuaminishavyo??

#UPDATE[emoji599]

Hebrew media:

“The calmness of Hezbollah today is very scary, perhaps Iran will attack us tonight”

Imagine being more scared of less attacks than more attacks..the Hezb psychological warfare is next level.

View attachment 3141545
View attachment 3141546
View attachment 3141547
Impacts in Tel Aviv following missiles launched from Lebanon
View attachment 3141462
Wabondwe tu.
 
Sasa Israel kiu yake ni kuivamia iyo hezbullah na kuwanyqng ,anyq mitutu yao kwaiyo Uzaifu wa hezbullah ishindwe vita vya ardhin lkn juu ngumu waIsrael wanatumia zana za jesh la marekani ndege na kila uduma y anga ivyo kupigwa lebanoni kwa anga aikwepeki tatizo lipo chini uko ndio hezbullah umuezi jamaa wanatisha iyo pande.
 
Naona drones ndio zinasaidia kuwatia adabu hao wazayuni ila rockets wanazitungua.
Iran iwasaidie hao technology kama yao kama US na West wanavyowasaidia Israel.
Siku Hizbollah ikiwa kama Iran basi Israel kwishney
 
Yaani unatuonyesha taa za barabarani zinavyowaka usiku harafu unasema Hezibollah inaichakaza Israel?
 
Kumradhi! Kuna changamoto kidogo
Oops!

We ran into some problems. Please try again later. More error details may be in the browser console.
 
Baada ya kuhit targets za Haifa sasa Hezbollah wameanza kuichakaza Israeli

Iko wapi ile mifumo bora dunian kama mtuaminishavyo??

#UPDATE[emoji599]

Hebrew media:

“The calmness of Hezbollah today is very scary, perhaps Iran will attack us tonight”

Imagine being more scared of less attacks than more attacks..the Hezb psychological warfare is next level.

View attachment 3141545
View attachment 3141546
View attachment 3141547
Impacts in Tel Aviv following missiles launched from Lebanon
View attachment 3141462
Wanaogopa kumaliza. Ammunition maan hawajuii Iran itappiga saa ngapi ..yaan consumption ya Ammunition ni kubwa kuliko. Production kwa hiyo. Wakitumia hivyo hovyo. Itsakula kwao
 
Baada ya kuhit targets za Haifa sasa Hezbollah wameanza kuichakaza Israeli

Iko wapi ile mifumo bora dunian kama mtuaminishavyo??

#UPDATE[emoji599]

Hebrew media:

“The calmness of Hezbollah today is very scary, perhaps Iran will attack us tonight”

Imagine being more scared of less attacks than more attacks..the Hezb psychological warfare is next level.

View attachment 3141545
View attachment 3141546
View attachment 3141547
Impacts in Tel Aviv following missiles launched from Lebanon
View attachment 3141462
Wanaogopa kumaliza. Ammunition maan hawajuii Iran itappiga saa ngapi ..yaan consumption ya Ammunition ni kubwa kuliko. Production kwa hiyo. Wakitumia hivyo hovyo. Itsakula kwao
 
Endelea kuimba taarabu zenu
Baada ya kuhit targets za Haifa sasa Hezbollah wameanza kuichakaza Israeli

Iko wapi ile mifumo bora dunian kama mtuaminishavyo??

#UPDATE[emoji599]

Hebrew media:

“The calmness of Hezbollah today is very scary, perhaps Iran will attack us tonight”

Imagine being more scared of less attacks than more attacks..the Hezb psychological warfare is next level.

View attachment 3141545
View attachment 3141546
View attachment 3141547
Impacts in Tel Aviv following missiles launched from Lebanon
View attachment 3141462
 
Back
Top Bottom