International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Serikali ya Iran imeamua kusitisha mashambulizi ya makombora mazito dhidi ya Israel na kuaahidi kuanza upya endapo Israel itathubutu kushambulia tena Lebanon BREAKING NEWS. Iran's military...
1 Reactions
33 Replies
673 Views
  • Featured
Mahakama Kuu ya Shirikisho jijini Lagos imepiga marufuku mpango wa Bunge la Nigeria wa kutumia kiasi cha Naira bilioni 110 (takriban fedha za Nigeria) kwa ajili ya kununua magari ya kifahari na...
6 Reactions
13 Replies
500 Views
Trump, Mgogoro wa Uchaguzi Marekani, na Kitendawili cha Magharibi Kuitolea Afrika Mafunzo ya Demokrasia Na Dawati la Uchambuzi wa Siasa za Kimataifa Kwa zaidi ya nusu karne, Marekani imejiweka...
0 Reactions
3 Replies
103 Views
Ripoti mbalimbali za kimataifa zimedai kuwa ndani ya muda mfupi baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya Iran na Israel, kundi la Hezbollah lilianzisha mashambulizi dhidi ya malengo ya kijeshi ya...
2 Reactions
5 Replies
255 Views
Aldrich Ames, aliyekuwa afisa wa CIA kitengo cha counterintelligence afariki akiwa na miaka 84. Huyu bwana alikamatwa na makachero wa FBI mwaka 1994 kwa tuhuma za kuuza siri za shirika la CIA kwa...
2 Reactions
6 Replies
500 Views
Niaje waungwa Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe. Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na...
15 Reactions
139 Replies
3K Views
Msemaji wa Houthi wa Yemen, Yahya Saree: Tunatangaza marufuku kamili na kamili ya urambazaji wa baharini wa Israeli katika Bahari Nyekundu, na tunaona harakati zote za adui kuwa malengo halali ya...
0 Reactions
1 Replies
149 Views
Raia wa Israeli, Mwaka mmoja uliopita, tulizindua shambulio la kihistoria dhidi ya nia ya Iran ya kutuangamiza kwa mabomu ya atomiki. Tuliondoa tishio hilo la haraka, na pia tulimwangamiza...
5 Reactions
14 Replies
289 Views
Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka...
3 Reactions
37 Replies
770 Views
Hawa Waisrael wameshindikana... Hawataki kabisa Iran kupoe. Jamaa wanaona kama Iran ni sehemu yao ya kujipimia ubavu. Hivi ingekuwa ni Taifa kubwa ingelifanyia hivi kweli?
7 Reactions
38 Replies
916 Views
Sajil-2: Kombora hatari la Iran linalofika Israel kwa 'dakika 7' Chanzo cha picha: Getty Images Maelezo ya picha: Jaribio la kwanza la mafanikio la kombora hili lilifanyika mwaka 2008 Mzozo wa...
14 Reactions
65 Replies
3K Views
Km Trump asingekuwa mwoga wa Vita utawala wa kigaidi wa Iran ungeshaanguka mpaka Sasa Sasa Trump anapigana Vita vya sitaki nataka Iran ikipokea kipigo kidogo tu ikiomba ceasefire naye anajaa...
6 Reactions
8 Replies
234 Views
Wanakumbi. Iran yalipiza kisasi kwa makombora makubwa kufuatia mashambulizi ya anga ya Israeli dhidi ya Tehran na Isfahan —— Kufuatia mashambulizi ya anga ya Israeli yaliyotangulia alfajiri ya...
3 Reactions
64 Replies
1K Views
Dini ni sehemu kubwa sana ya maisha ya mwanadamu. Katika jamii zetu nyingi za Kiafrika, mtoto anapozaliwa tu, huanza kufundishwa misingi ya imani ya wazazi wake. Lakini je, ushawahi kujiuliza...
16 Reactions
146 Replies
2K Views
Israel inaishambulia Iran muda huu kama kujibu mashumbulizi ya iran ambapo, chombo Cha habari cha Israel cha chanel 14 kimeripoti kuwa milipuko ya mabomu imesikika muda huu nchini Iran katika jiji...
4 Reactions
31 Replies
802 Views
Tangu mwendo wa saa 10 asubuhi ya leo, Israel ilishambulia Hezbollah kusini mwa Lebanon kama ifuatavyo: ● Mashambulizi ya angani ya ndege za kivita au ndege zisizo na rubani: Al-Mansouri, Deir...
2 Reactions
5 Replies
219 Views
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo vya visa dhidi ya zaidi ya maafisa 100 wa Nicaragua na familia zao kufuatia kifo cha Brooklyn Rivera, kiongozi wa kiasili wa watu wa Miskito aliyekuwa...
2 Reactions
8 Replies
216 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Mustafa Çiftçi, amesema kwenye mkutano wa chama chake tawala kwamba ipo siku Uturuki itaikomboa mji wa Yerusalemu. Akizungumza kwenye mkutano wa chama tawala...
1 Reactions
7 Replies
232 Views
Baada ya Iran kuishambulia Israel usoku kuamkia leo na IDF kujibu mapigo sawasawa Iran imebwaga manyanya kwa kutangaza haitaishambulia tena Israel kama Israel nayo haitawashambulia magaidi hao...
0 Reactions
2 Replies
106 Views
Ilikuwa ni miaka ya 90 kuelekea 2000. Pale Liberia kulikuwa na Rais mmoja mbabe sana, anaitwa Charles Taylor. Huyu jamaa alikuwa haambiliki, alikuwa anafadhili vita vya Sierra Leone wapigane...
14 Reactions
37 Replies
945 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…