Makombora mengi ya Iran yashindwa kulipuka

Makombora mengi ya Iran yashindwa kulipuka

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
22,753
Reaction score
27,476
Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka

Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka, kutokuwa na shabaha na mengi hushindwa kupenya mifumo ya ulinzi wa anga hususan Iron Dome

Hii ni ishara ya uwepo wa ushindani mkubwa wa teknolojia ya juu ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili,

Zaidi ya makombora yanayofikia 45% hushindwa kulipuka
1000003896.jpg
1000003895.jpg
 
Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka

Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka, kutokuwa na shabaha na mengi hushindwa kupenya mifumo ya ulinzi wa anga hususan Iron Dome

Hii ni ishara ya uwepo wa ushindani mkubwa wa teknolojia ya juu ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili,

Zaidi ya makombora yanayofikia 45% hushindwa kulipuka View attachment 3603699View attachment 3603701
Au hayajafanyiwa service?😁
 
Wangeazima makombora ya jwtz .makombora ya jw yaliwahi kulipuka mbagala na gongo la mboto na yalionesha uufanis mkubwa wa kulipuka
Yakwetu ni touch and install with care highly explosive withholded 🤩🤩🤩 TNT (isiyochakachuliwa,original)
 
hivi ni nani alikuja na huuu
msemo wa kazi ni kipimo cha utu
Ipo kwenye katiba mkuu;

Kuna ibara inasema binadamu ana haki ya kufanya kazi kwani ndio humpa heshima.

Ibara ya 25 (1) ya katiba yetu.
 
Tusemezane ukweli tu kutunza hii midude ni gharama sana,maana huitaji service,sasa kwa jinsi Irani alivyonayo mengi.(Info zinasaema anayo ya mwaka 1985.
 
Kama makombora hayalipuki na vita bado haiish mpaka Leo mafuta yapo juu SANA Ina maana Iran ameshindwa vita


Swal la kujiuliza mbona bado wanapigana na Iran imezuia mlango wa Bahar wa homZ na marekan yupo na Israel yupo anashindwa nn kuzuia hyo vita

Hapa za kuambiwa changanya na zakooo
 
Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka

Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka, kutokuwa na shabaha na mengi hushindwa kupenya mifumo ya ulinzi wa anga hususan Iron Dome

Hii ni ishara ya uwepo wa ushindani mkubwa wa teknolojia ya juu ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili,

Zaidi ya makombora yanayofikia 45% hushindwa kulipuka
View attachment 3603699View attachment 3603701
Mengi mengine yako wp???
 
Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka

Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka, kutokuwa na shabaha na mengi hushindwa kupenya mifumo ya ulinzi wa anga hususan Iron Dome

Hii ni ishara ya uwepo wa ushindani mkubwa wa teknolojia ya juu ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili,

Zaidi ya makombora yanayofikia 45% hushindwa kulipuka
View attachment 3603699View attachment 3603701
Bother aina hizi za mkombora haziwezi kufika Israel zikiwa katika hali hiyo ...ipo hivi makombora ya Iran yanaenda kwa mfumo wa rocket... rockets zinatumika kusafirisha kombora mpaka nje ya dunia huko outer space mzee...ukiona unaliona kombora angani maana yake tayari limeshagawanyika...ile rocket huwa inajitoa inabaki war heads hizo ndo vilipuzi vyenyewe sasa...kwa hiyo hicho unachokiona hapo hakiendani kabisa na sayansi ya makombora.. kiufupi ni uongo..pengine AI imetumika kutengeneza hiyo kitu hapo...muda tu makosa ningekuelezea vizuri sana hizi mambo zilivyo....
 
Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka

Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka, kutokuwa na shabaha na mengi hushindwa kupenya mifumo ya ulinzi wa anga hususan Iron Dome

Hii ni ishara ya uwepo wa ushindani mkubwa wa teknolojia ya juu ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili,

Zaidi ya makombora yanayofikia 45% hushindwa kulipuka
View attachment 3603699View attachment 3603701
Picha ya zamani tangu mwaka jana vita ya June war. Pia hayo ni intercepted missiles sio kombora ambalo limeshindwa kulipuka. Kabla hamjaropoka muhakiki taarifa.
 
Bother aina hizi za mkombora haziwezi kufika Israel zikiwa katika hali hiyo ...ipo hivi makombora ya Iran yanaenda kwa mfumo wa rocket... rockets zinatumika kusafirisha kombora mpaka nje ya dunia huko outer space mzee...ukiona unaliona kombora angani maana yake tayari limeshagawanyika...ile rocket huwa inajitoa inabaki war heads hizo ndo vilipuzi vyenyewe sasa...kwa hiyo hicho unachokiona hapo hakiendani kabisa na sayansi ya makombora.. kiufupi ni uongo..pengine AI imetumika kutengeneza hiyo kitu hapo...muda tu makosa ningekuelezea vizuri sana hizi mambo zilivyo....
Mimi nahisi labda Kuna makombora toy (midoli) kama onyo. Hayalipuki lakini yanaonya.
 
Bother aina hizi za mkombora haziwezi kufika Israel zikiwa katika hali hiyo ...ipo hivi makombora ya Iran yanaenda kwa mfumo wa rocket... rockets zinatumika kusafirisha kombora mpaka nje ya dunia huko outer space mzee...ukiona unaliona kombora angani maana yake tayari limeshagawanyika...ile rocket huwa inajitoa inabaki war heads hizo ndo vilipuzi vyenyewe sasa...kwa hiyo hicho unachokiona hapo hakiendani kabisa na sayansi ya makombora.. kiufupi ni uongo..pengine AI imetumika kutengeneza hiyo kitu hapo...muda tu makosa ningekuelezea vizuri sana hizi mambo zilivyo....
Mnapenda kujifariji baada ya kipondo cha haja.
 
Back
Top Bottom