Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
14,450
Reaction score
31,633
Hawa Waisrael wameshindikana... Hawataki kabisa Iran kupoe. Jamaa wanaona kama Iran ni sehemu yao ya kujipimia ubavu.

Hivi ingekuwa ni Taifa kubwa ingelifanyia hivi kweli?

Screenshot_2026-06-08-10-28-57-771_com.instagram.android~2.jpg
 
Hawa Waisrael wameshindikana... Hawataki kabisa Iran kupoe. Jamaa wanaona kama Iran ni sehemu yao ya kujipimia ubavu.

Hivi ingekuwa ni Taifa kubwa ingelifanyia hivi kweli?

View attachment 3603497
Kitu ambacho kinafanya nitamani hii vita isiishe hadi mwezi wa 9 ni sababu mafuta yasishuke huku malawi yafike 10K tuone UVCCM watasemaje
 
Baadhi ya makombola ya Irany9te yalipopolewa na mengine yaliangukia jangwani na sehemu za wazi
 

Attachments

  • IMG_20260608_124349_847.jpg
    IMG_20260608_124349_847.jpg
    238.8 KB · Views: 10
  • 1780907397337.mp4
    1.8 MB
Kitu ambacho kinafanya nitamani hii vita isiishe hadi mwezi wa 9 ni sababu mafuta yasishuke huku malawi yafike 10K tuone UVCCM watasemaje
Shida ya JF ina block acc za watu wenye akili na wenye mchango mkubwa humu, inaacha wajinga kama ww

Sasa ayo mafuta yakipanda yakafika10k unadhani uvccm wana hasara gan, suala la mafuta nila kila mtu ww utapata hasara mm ntapata hasara ata yule asie kua na chama atapata hasara
Lakin pia uchumi utasimama na uchumi ukisimama hasara ni kwetu wote

Hii ndo hasara ya watoto kama ww kumiliki simu huna majukumu zaidi ya kuwaza bando
 
Shida ya JF ina block acc za watu wenye akili na wenye mchango mkubwa humu, inaacha wajinga kama ww

Sasa ayo mafuta yakipanda yakafika10k unadhani uvccm wana hasara gan, suala la mafuta nila kila mtu ww utapata hasara mm ntapata hasara ata yule asie kua na chama atapata hasara
Lakin pia uchumi utasimama na uchumi ukisimama hasara ni kwetu wote

Hii ndo hasara ya watoto kama ww kumiliki simu huna majukumu zaidi ya kuwaza bando
Si tunaambiwa na ccm kuwa tuna kila rasilimali sisi kiasi kwamba mabeberu hawatufikii?
 
Shida ya JF ina block acc za watu wenye akili na wenye mchango mkubwa humu, inaacha wajinga kama ww

Sasa ayo mafuta yakipanda yakafika10k unadhani uvccm wana hasara gan, suala la mafuta nila kila mtu ww utapata hasara mm ntapata hasara ata yule asie kua na chama atapata hasara
Lakin pia uchumi utasimama na uchumi ukisimama hasara ni kwetu wote

Hii ndo hasara ya watoto kama ww kumiliki simu huna majukumu zaidi ya kuwaza bando
Bora uchumi usimame tu ili wote tufe njaa. Haiwezekani mnazidi kuvimbisha mitumbo yenu huko at taxpayers expense. Bora iwe hivyo wote tuwesawa.
 
Iran kapiga makombora mapya alikua akiyajaribu leo kwa mara ya kwanza, so baadhi ni mapya kabisa walisema ardhi ya majaribio ni kwa mazayuni
 
Israel ni taifa lililojengwa kwa vita na vita ndio nyumbani kwao

Hawa watu kama Kuna kima anawaonea huruma anajidanganya

Ndivyo walivyo na hawataacha mpaka watakapoitawala Dunia?
 
Back
Top Bottom