6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 3,892
- 8,610
Niaje waungwa
Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe.
Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na UAE kuchezea kichapo kikali usiku huu.
Hiki ni kisasi cha Israel kuionea Lebanon kama panchi begi la kujifunzia kupiga ngumi.
Update: Baada ya Netanyahu kujifanya kiburi kwa kujibu shambulizi la Iran. Iran imempa tena kipigo Israel asubuhi hii kwa kuzichoma na kuzisagasaga air base mbili za Israel.
Hii nayo mashoga yataficha.
Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe.
Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na UAE kuchezea kichapo kikali usiku huu.
Hiki ni kisasi cha Israel kuionea Lebanon kama panchi begi la kujifunzia kupiga ngumi.
Update: Baada ya Netanyahu kujifanya kiburi kwa kujibu shambulizi la Iran. Iran imempa tena kipigo Israel asubuhi hii kwa kuzichoma na kuzisagasaga air base mbili za Israel.
Hii nayo mashoga yataficha.