Iran yaishambulia Israel na kuahidi kuziangamiza kambi za Marekani

Iran yaishambulia Israel na kuahidi kuziangamiza kambi za Marekani

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
3,892
Reaction score
8,610
Niaje waungwa

Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe.

Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na UAE kuchezea kichapo kikali usiku huu.

Hiki ni kisasi cha Israel kuionea Lebanon kama panchi begi la kujifunzia kupiga ngumi.

Update: Baada ya Netanyahu kujifanya kiburi kwa kujibu shambulizi la Iran. Iran imempa tena kipigo Israel asubuhi hii kwa kuzichoma na kuzisagasaga air base mbili za Israel.

Hii nayo mashoga yataficha.
FB_IMG_1780900693948.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20260607-213426.png
    Screenshot_20260607-213426.png
    231.9 KB · Views: 9
Iran imefanya uamuzi wa busara, maana USA na Israel walikuwa wemeanza kuichokonoa Iran mdogomdogo huku wakijifanya kuna ceasefire
Mzigo wa pili umetumwa tena, Netanyahu akaupokee huko kwenye banker lake na kenge wenzake. Iran is not joke bro!
 

Attachments

  • Screenshot_20260607-214049.png
    Screenshot_20260607-214049.png
    203.8 KB · Views: 8
Iran imefanya uamuzi wa busara, maana USA na Israel walikuwa wemeanza kuichokonoa Iran mdogomdogo huku wakijifanya kuna ceasefire
Kabisa..kuna jamaa nilikuwa namwambia leo asubuhi kuwa marekina Israel wamebadili mbinu wanaodhoofisha Iran slowly...Iran atakuja kustuka amekuwa dhaifu kabisa...the only way ni yeye kubwa aggressive kama Israel tu anavyokuwaga
 
Kabisa..kuna jamaa nilikuwa namwambia leo asubuhi kuwa marekina Israel wamebadili mbinu wanaodhoofisha Iran slowly...Iran atakuja kustuka amekuwa dhaifu kabisa...the only way ni yeye kubwa aggressive kama Israel tu anavyokuwaga
Ile mbinu yao ya kumchemsha chura mara moja ilifeli maana chura alistuka akaruka nje ya sufuria. Safari hii wakaja na mbinu mpya ya kuongeza joto taratibu taratibu huku wakijaribu kumtrick chura aamini atalizoea joto kumbe hapo anamalizwa, Irani imestukia triki hii pia.
Sasa Trump ana wakati mgumu, Hormuz haijafunguliwa, midterms elections zinakuja, World cup inaanza keshokutwa, Congress imeshamuondolea Trump powers za kuendelea na vita Iran. Kitakachofuata hapo ni Trump kukubali tu kuwa Iran imestukia mchezo na hivyo kumwambia Netanyahu stop!
 
Kabisa..kuna jamaa nilikuwa namwambia leo asubuhi kuwa marekina Israel wamebadili mbinu wanaodhoofisha Iran slowly...Iran atakuja kustuka amekuwa dhaifu kabisa...the only way ni yeye kubwa aggressive kama Israel tu anavyokuwaga
Kile ulichokuwa unakifikiria wewe, Iran tayari alikuwa ashakifikiria miezi miwili nyuma. Ila walikuwa wanajiweka vizuri kwa kipindi cha pili ambacho refa hatoruhusiwa kusimama uwanjani.
 

Attachments

  • Screenshot_20260607-214736.png
    Screenshot_20260607-214736.png
    241.1 KB · Views: 13
  • Screenshot_20260607-215334.png
    Screenshot_20260607-215334.png
    373.9 KB · Views: 14
Mzigo wa pili umetumwa tena, Netanyahu akaupokee huko kwenye banker lake na kenge wenzake. Iran is not joke bro!
Wazee hivi Iran hana nuclear kweli? Mnaziona tabia za Iran siku hizi? ...unajua jamii za kimataifa zinasubiri atest ndio zitaamini..ila binafsi naamini Iran atakuwa ana mabomu madhara tayari.. sababu ni hizi.
1.aliyetoa fatwa ya kutokuwa na bomu ni ayatollah Sayid Khamenei ameshafariki.
2 mtoto wake mojtaba ni mdau kindakindaki wa IRGC ambao wao wanaamini usalama wa Iran ni kumiliki nuclear.
3. Kilo 400 za uran hazijulikani zilipo mpaka sasa ambazo kwa mijini wa IAEA zinaweza kutengeneza mabomu 10-12 pengine zimeshatengenezwa mabomu
4.Test ya nuclear siku hizi wanatuma computer stimulation maabara sio lazima kutest underground wala baharini ambapo ni rahisi tu detect waves and radiation
5.Confidence ya Iran kumvimbia super power U.S siyo ya kawaida kwa Iran kuna kitu kinampa kiburi
Sasa kwanini hawezi kutangaza
1. Iran ni mwanachama wa NPT akitangaza maana yake amevunja mkataba wa NPT
2. Huruma ya dunia ..Iran dunia nzima anaonekana kama anaoneqa na US/ Israel akitangaza upepo utabadilika kabisa
3.Hata china na Russia washirika wakubwa wa Iran hawataki kuona Iran ana miliki nuclear hivyo akitangaza watamthp mkono
4.itachochea nuclear arms race Middle East Saudia,Turkey na UAE watataka na wao kumiliki
5. Umoja wa mataifa itaidhinisha kuvamiwa rasmi kwa Iran ili kuangamiza hayo makombora.
 
Kabisa..kuna jamaa nilikuwa namwambia leo asubuhi kuwa marekina Israel wamebadili mbinu wanaodhoofisha Iran slowly...Iran atakuja kustuka amekuwa dhaifu kabisa...the only way ni yeye kubwa aggressive kama Israel tu anavyokuwaga
Ni mimi Mchaaa-Mbuziiiii wa vita za kimatiafa kutoka JJJJJJEEEFFF
 
Wazee hivi Iran hana nuclear kweli? Mnaziona tabia za Iran siku hizi? ...unajua jamii za kimataifa zinasubiri atest ndio zitaamini..ila binafsi naamini Iran atakuwa ana mabomu madhara tayari.. sababu ni hizi.
1.aliyetoa fatwa ya kutokuwa na bomu ni ayatollah Sayid Khamenei ameshafariki.
2 mtoto wake mojtaba ni mdau kindakindaki wa IRGC ambao wao wanaamini usalama wa Iran ni kumiliki nuclear.
3. Kilo 400 za uran hazijulikani zilipo mpaka sasa ambazo kwa mijini wa IAEA zinaweza kutengeneza mabomu 10-12 pengine zimeshatengenezwa mabomu
4.Test ya nuclear siku hizi wanatuma computer stimulation maabara sio lazima kutest underground wala baharini ambapo ni rahisi tu detect waves and radiation
5.Confidence ya Iran kumvimbia super power U.S siyo ya kawaida kwa Iran kuna kitu kinampa kiburi
Sasa kwanini hawezi kutangaza
1. Iran ni mwanachama wa NPT akitangaza maana yake amevunja mkataba wa NPT
2. Huruma ya dunia ..Iran dunia nzima anaonekana kama anaoneqa na US/ Israel akitangaza upepo utabadilika kabisa
3.Hata china na Russia washirika wakubwa wa Iran hawataki kuona Iran ana miliki nuclear hivyo akitangaza watamthp mkono
4.itachochea nuclear arms race Middle East Saudia,Turkey na UAE watataka na wao kumiliki
5. Umoja wa mataifa itaidhinisha kuvamiwa rasmi kwa Iran ili kuangamiza hayo makombora.
Iran ana Nuke tayari, ndomaana mpaka leo anamzungusha zungusha Trump tu kuhusu Uranium.

Siku Trump akijichanganya atachanganywa zaidi.
 
Back
Top Bottom