International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Jamani, vita vya DRC ni kama comedi. Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni. Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake. Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola...
4 Reactions
11 Replies
864 Views
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika maarufu (AUC). Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud...
4 Reactions
159 Replies
10K Views
Mkuu wa mkoa wa Kivu Kasikazini, anapenda kuwafahamisha wakazi wa Kivu kasikazini na Kivu kusini, hasa miji ya Goma na Bukavu, kuwa miaro yote ya ya Goma na Bukavu kuanzia sasa inatoa huduma masaa...
2 Reactions
2 Replies
403 Views
Kwanza ningekuwa Rais wa nchi ningewachoma LGBT wote kwa moto wa Petroli ili kukomesha kabisaa hizo tabia za kumchukiza Mwenyezi Mungu. Katika hali isiyo ya kawaida hata wale wanaojinasibu...
7 Reactions
129 Replies
10K Views
Leo hii, tarehe 17 Februari 2025, mjini Goma, asubuhi ya leo kumekuwa na maandamano; lengo likiwa wanajeshi wa UN waliopo Congo,hususani Goma, kwa zaidi ya miaka 20, waondoke, na kwamba usalama...
2 Reactions
11 Replies
756 Views
Dalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
12 Reactions
61 Replies
3K Views
Hivi karibuni kijana mmoja Mmarekani mwenye asili ya Afrika aliuawa na kijana mzungu kwenye treni ya chini ya ardhi mjini New York, Marekani, lakini mhusika wa mauaji hayo aliachiliwa huru baada...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Elon Musk, mtu tajiri zaidi duniàni siku za hivi karibuni amekuwa akifanya kazi pamoja na Rais Trump. Ukaribu wao unawatia watu wasiwasi hivyi kwamba baadhi ya wataalamu wanadai Serikali ya...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Huko Kivu kusini, mwashariki mwa DRC, mpaka sasa, safari ya M23, inaelekea Bukavu mjini. Ni baada ya kuipokonya FARDC,Wazalendo,South Africa na Burundi uwanja wa ndege wa Kavumu. Kwa hali isiyo...
2 Reactions
76 Replies
4K Views
https://x.com/bless_link/status/1890707010196586948 Pichani, ni video. Inasemekana watu hao wanapelekwa uwanjani chini ya ulizni wa vyombo vya dola. Msako mkali mjini Bujumbura, unaendelea...
6 Reactions
61 Replies
4K Views
Miongoni wakiwa ni wale waliohukumiwa kifo juzi, baada ya M23 kuingia mjini Bukavu, walinzi wa gereza la Bukavu waliondoka zao na kuwaacha wafungwa, ambao pia waliona isiwe tabu, wakarudi kwanza...
5 Reactions
4 Replies
586 Views
Jeshi la wanamaji(marine) la Rwanda, lilokuwa linafanya dolia katika ziwa Kivu, karibu na kisiwa cha Idjwi, limeshambuliwa na jeshi la DRC lililopo katika kisiwa cha Idjwi. Ilikuwa mida ya saa...
9 Reactions
47 Replies
3K Views
In a recent development that has stirred international controversy, U.S. Congressman Scott Perry from Pennsylvania has made startling allegations suggesting that the United States Agency for...
0 Reactions
3 Replies
865 Views
Majeshi ya Israel IDF bado yanaendelea kushusha kipondo ki Takatifu kwa magaidi wa Hezboullah baada ya magaidi hao kukiuka masharti ya kusitisha mapigano huko kusin mwa Lebanon.
2 Reactions
11 Replies
690 Views
Fungua hii hapa: https://youtu.be/lElMstEAAww?si=0nAu1Paai2oo95i8
3 Reactions
62 Replies
3K Views
Jeshi la marekani limesema halitoruhusu tena MASHOGA kujiunga na jeshi Hilo. Chanzo: SPECTATOR INDEX
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Kama kawaida, habari ziwafikie wote mnaopenda vita(roho za wenzenu zipo juu, wengine wanakula kama hakuna kinachoendelea) Toka jana, badhi ya maeneo mengi ya Bukavu, wanaonekana wanajeshi wa M23...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Monrovia, Liberia: Rais Boakai akaza misuli, Awasimamisha Kazi Maafisa 457—Wakiwemo Mawaziri, Mabalozi—Kwa Kushindwa Kutangaza Mali. Februari 13, 2025 MONROVIA - Rais Joseph Boakai Jumatano...
1 Reactions
3 Replies
631 Views
Baada ya kuwa M23 iliingia mjini Bukavu jana jioni, iliendelea na mambo yake, na leo asubuhi ndo jeshi lake likawasili mpakani,na kukuta pako wazi, baada ya jeshi la serikali na wafanyakasi wa...
1 Reactions
13 Replies
949 Views
Hii kauli ina tofauti gani ni ile ya "kuna mhimili moja uliojichimbia chini zaidi"?! Poor Murica.
1 Reactions
16 Replies
853 Views
Back
Top Bottom