International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Marekani imepeleka angalau ndege sita za kivita aina ya B-2 stealth katika kisiwa cha Diego Garcia, hatua inayotafsiriwa kama onyo kwa Iran kufuatia kuongezeka kwa mvutano Mashariki ya Kati...
8 Reactions
61 Replies
4K Views
Dakika 20 zilizopita, kombora la balestiki la Houthi lilirushwa kuelekea Israeli. Picha za waogeleaji wa pwani huko Tel Aviv zikikatishwa na ving'ora. Kombora hilo lilipopolewa na mifumo ya...
2 Reactions
52 Replies
2K Views
Rais wa Burkina Faso The son of Africa kipenzi cha dhati Kwa wengi na mfano wa kuigwa inasemekana alipokuwa shuleni darasani tangu elimu ya awali Hadi elimu ya juu alifanya vizuri sana. Walimu Na...
8 Reactions
13 Replies
849 Views
Maadhimisho ya kusherehekea miaka 80 toka kushindwa kwa majeshi ya NAZI yaliyoshindwa Majeshi ya Urusi, yamefanyika Moscow, huku yakihudhuriwa na Marais wa nchi rafiki wa Urusi bila Marais wa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Wanaukumbi. ⚡️BREAKING: "Matukio mawili ya usalama" huko Gaza. - Kauli ya Al-Qassam. Al-Qassam ililipua jengo lililokuwa limenaswa na askari wa Israel mjini Rafah na kuwaacha wanajeshi sita...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Papa Leo XIV akisali kwenye Kaburi alipozikwa aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Baba Mtakatifu Francisko, katika Basilika ya Bikira Maria Mkuu www.radiomaria.co.tz...
0 Reactions
3 Replies
381 Views
Magaidi wa Hamas waliokuwa wamejichimbia kwenye Jengo wameuwawa baada ya jengo hilo kushambuli na Drones za jeshi la Israel...
0 Reactions
1 Replies
333 Views
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia afya ya uzazi na jinsia (UNFPA) limetangaza kuwa Serikali ya Marekani imeamua kukata ufadhili wake wa baadaye kwa shirika hilo. Hatua hii itasitisha...
1 Reactions
8 Replies
823 Views
https://www.youtube.com/live/J6MqpK91bEA?si=_JJA8qKMlvBCbpgc Uchaguzi wa Papa mpya umeanza rasmi leo, Jumatano, Mei 7, 2025, katika Kanisa la Sistine, Vatican, kufuatia kifo cha Papa Francis...
21 Reactions
524 Replies
32K Views
Papa mpya, Leo wa XIV, ametoa wito katika Misa yake ya kwanza huko Vatican kwa Kanisa Katoliki "kupambana kwa dharura" na upungufu wa imani. Akizungumza siku moja baada ya kuchaguliwa kuwa Papa...
2 Reactions
15 Replies
941 Views
Haijajulikana vita vya safari hii kati ya India na jirani yake Pakistan vitachukua muda gani,hata hivyo katika siku za mwanzo India ambayo ndiyo iliyoanzisha mashambulizi inaonekana...
7 Reactions
71 Replies
3K Views
🚨BREAKING: Vikosi Maalum vya Israel vimefanikiwa kumuondoa Nour Al-Bitawi, kiongozi wa shirika la kigaidi huko Jenin na mmoja wa magaidi wa Kipalestina waliokuwa wakisakwa sana huko Yudea na...
2 Reactions
4 Replies
383 Views
Anonymous
An archive containing more than 100 documents of internal information of the MFA of Ukraine has appeared in the public domain. Tone of voise and content of letters reveals the inconvenient truth...
0 Reactions
0 Replies
437 Views
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Serikali ya Watu China imezindua mfumo wake wa kufanya malipo GLOBAL DIGITAL PAYMENT NETWORK na kuukwepa mfumo wa Marekani wa SWIFT ambao Marekani anautumia kama silaha dhidi ya...
15 Reactions
63 Replies
5K Views
Wadau hamjamboni nyote? Anaitwa Rashad Muhammad al-Alim na amezaliwa 1954 na anaishinAden Yeye ndiye Rais wa nchi ya Yemen! Niwatakie sabato njema Taarifa kamili za makazi yake hapo chini kwa...
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Ila hawa wachina ni vituko kweli kweli
5 Reactions
5 Replies
459 Views
Baada ya milipuko hiyo iliyoripotiwa na wakaazi wa jiji hilo, moto sasa unatanda katika milima ya Shiraz, Iran. Kwa mjibu wa taarifa za kijasusi hizo ni mvua za rasha-rasha zinazoendelea...
2 Reactions
13 Replies
673 Views
Huyu mtawala wa China huwa ni kama roboti fulani, sijawahi kumuona akizungumza na viongozi wenzake au akifanya mazungumzo na waandishi wa habari. Huko Kremlin, Moscow ameonekana kama anazungumza...
7 Reactions
89 Replies
4K Views
Rais Donald Trump anatarajiwa kuweka ushuru wa kushangaza wa asilimia 104 kwa bidhaa zote zinazoingia kutoka China kuanzia Jumatano, kwa mujibu wa msemaji wa Ikulu ya White House, Karoline...
3 Reactions
126 Replies
6K Views
Kukamatiwa ndugu zao na kuchinjwa wakiona huku wakiwa wamekaa kimya,tuliona kama ni ugonjwa wa waarabu pekee.Kumbe dunia nzima imeambukizwa. Watu wazima na watoto wanauliwa bila kizuizi na...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…