International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

India wameshindwa tena kutekeleza operation yao ya kijeshi bila majeraha makubwa kwenye jeshi lao. Ikiwa tayari ni miaka sita imepita toka walipofanya military failed mission dhidi ya Pakistan...
5 Reactions
15 Replies
870 Views
Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa?? Kwa maana...
8 Reactions
73 Replies
4K Views
Huku mabaki zaidi ya ndege kadhaa za kivita za India yakiendelea kuokotwa ndani ya mipaka ya India kabla kuvuka mpaka wake na Pakistan,nchi ya Uiengereza imesema inataka nchi hizo ziache kupigana...
2 Reactions
7 Replies
814 Views
Pakistan imesema inajitayarisha kujibu vita vilivyoanzishwa na India ndani ya mipaka yake huku ikitoa tangazo la kuzidondosha ndege 5 za kivita za India zilizoshiriki mashambulizi hayo. Wakati...
8 Reactions
65 Replies
4K Views
Wanaukumbi. Oman yatangaza makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Wahouthi na Marekani. Akizungumza na Al Jazeera, Dhaifallah Al-Shami, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansar Allah, alisema kuwa...
2 Reactions
19 Replies
981 Views
Israel mara kadhaa husambaza mamilioni ya vipeperushi, kutoa nafasi ya watu kuhama kabla ya kulipua jengo linalotumika kutunza silaha, kuwa na miundombinu ya mahandaki, n.k. Kwanini Hamas huwa...
3 Reactions
41 Replies
1K Views
Nchi ya Pakistan imedai kuwa imedungua ndege 12 zisizo na rubani za India usiku kucha na kusema mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yamesababisha vifo vya raia mmoja na wanajeshi wanne...
1 Reactions
2 Replies
620 Views
Huku Donald Trump akitamba kuwa Wahouthi wamegwaya na wameufyata, kumbe hiyo ni kauli ya kujitoa kimasomaso ya mkubwa (face saving) baada ya mazungumzo ya nyuma ya pazia ya pande hizo mbili. Oman...
1 Reactions
3 Replies
400 Views
Habari za kuaminika uwanja wa ndege wa Sanaa waangamizwa na ndege zote zilikuwepo uwanjani hapo zimeteketezwa bila huruma yoyote. Waliokuwa wanawasifia hawa Vibaka Njoo I tena muwasifie kipigo cha...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
𝘾𝙝𝙞𝙣𝙖 𝙞𝙣𝙖𝙛𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙢𝙗𝙤 𝙮𝙖𝙨𝙞𝙮𝙤𝙬𝙚𝙯𝙚𝙠𝙖𝙣𝙖 𝙮𝙖𝙤𝙣𝙚𝙠𝙖𝙣𝙚 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙚𝙠𝙖𝙣𝙖, Hakika china imefanya Sayansi kuwa kweli. 𝗖𝗵𝗶𝗻𝗮 imefanikiwa kufungua hospital ya kwanza yenye Kutumia 𝗠𝗮𝗿𝗼𝗯𝗼𝘁𝗶 na 𝗧𝗲𝗸𝗻𝗼𝗹𝗼𝗷𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗔𝗜...
3 Reactions
16 Replies
847 Views
Sudan has severed it's diplomatic relations with the United Arab Emirates (UAE), officially designating it an "aggressor state." The Sudanese government accuses the UAE of providing strategic...
0 Reactions
0 Replies
362 Views
Rais wa Marekani kasema kuwa Viongozi wa Houthis wamewasiliana na Viongozi wa Marekani na kusema kuwa hawatashambulia meli wala Israel. Hii imefuatia mashambulizi ya Israel katika Bandari, Uwanja...
2 Reactions
10 Replies
649 Views
Hata wewe Mtanzania kama una safari ya Yemen 🇾🇪 usiende ni Hatari kwa sasa === Jeshi la Israel Jumanne lilitoa onyo kwa watu kuondoka katika maeneo yanayozunguka uwanja mkuu wa ndege katika mji...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Ni siku ya pili ya mashambulizi, siku ya jana kwenye shambulio la kwanza Israel imelipua bandari kubwa ya Hodeidah na kiwanda cha saruji cha al-Imran. Mapema siku ya leo katika muendelezo wa...
1 Reactions
12 Replies
863 Views
Anachofanya myahudi ni kurudisha teke kutokana na ngumi aliyopigwa. Adui wa yemeni ni houthi na iran. Ila hawa vijana wa itikadi kali hawatakaa hawaelewe maana wamezoea fujo na mioyo yao ipo...
0 Reactions
2 Replies
313 Views
By Sharon Braithwaite, Caitlin Danaher All mobile phone signals will be deactivated in the Vatican on Wednesday ahead of the highly secretive conclave to elect the next pope, Italian state media...
1 Reactions
11 Replies
879 Views
zaidi ya ndege 30 za kivita za Israel zimezingira muda huu ndani ya Yemen huku zikipiga bandari , uwanja wa ndege na vituo vyote vya mawasiliano. Hali ya tahadhari imetolewa muda huu Kwa raia...
5 Reactions
123 Replies
5K Views
Baraza la mawaziri la usalama la Israel liliidhinisha mpango wa kupanua mashambulizi ya kijeshi huko Gaza, kwa lengo la kuishinda Hamas, kudhibiti eneo na kuwaachilia mateka. Mpango huo ni pamoja...
3 Reactions
8 Replies
618 Views
Kufuatia kufariki kwa Papa Francis, seti kali ya sheria na itifaki zimewekwa katika mwendo, kuongoza mpito kwa ajili ya kuchagua Papa ajaye. Tamaduni hii inaanzia kwa Mtakatifu Petro—Papa wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Rais wa 47 wa Marekani, Donald Trump **** NIMEOKOLEWA NA MUNGU KUIFANYA TENA MAREKANI KUWA TAIFA KUBWA "Uhuru wetu na hatima tukufu ya taifa letu haitakataliwa tena, na tutarejesha mara moja...
36 Reactions
176 Replies
11K Views
Back
Top Bottom