International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Paul Kagame au unaweza kumuita Paulo Kagame, huyu ni kijana wa Nyerere aliyepikwa kijeshi na kuiva vyema hapa nchini Tanzania, aisee mwamba anajiamini sana unajua kwa nini!! Twende kazi!! Ni rais...
20 Reactions
124 Replies
6K Views
Kumbuka, kabla North Korea hajapata nuke yoyote alidharaulika hivi hivi kama Iran anavyodharaulika na kuletewa mizengwe. Sasa hivi North Korea inaheshimika na hata yule kichaa wa west kaacha...
3 Reactions
53 Replies
2K Views
Muda wote ndugu zoo wakiuliwa Gaza na Palestina kwa ujumla waarabu wamekaa kimya.Hatimae wiki hii ndio wameanza kujutia ukimya wao baada ya kuona madhara ya nyuklia yakiwanyemelea. Mpaka sasa...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Chama cha Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast cha RHDP kimemteua kiongozi huyo kuwania kiti cha urais kwa mara nyingine tena katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Hatua hii...
0 Reactions
1 Replies
561 Views
Ujumbe uliofikishwa kwa Iran ni wazi: haijalishi mtajenga au kuhamishia viwanda vyenu wapi, hakuna mahali pa kuficha; vitafikiwa na kushambuliwa bila shaka. Iran walitumia muda mrefu na gharama...
8 Reactions
68 Replies
4K Views
Swali hili linagusa historia ya kisiasa, kijeshi, na kimaadili ya karne ya 20 hadi sasa. Hakuna mtu mmoja tu wa kulaumiwa, bali kuna mataifa na matukio kadhaa yaliyochangia kusambaa kwa teknolojia...
1 Reactions
6 Replies
527 Views
Mashambulizi kwenye maeneo ya Israel yameshika kasi tangu jana wakati Marekani iliposhambulia vinu vya nyuklia vya Iran.Maafa ndani ya Israel yameongezeka sana na katika kila eneo la ardhi hiyo...
1 Reactions
4 Replies
566 Views
Iran ilikuwa inafanya kusudi kuruhusu ndege za israel zinazoendeshwa na mademu ziingie kuua viongozi wake na kulipua maeneo ya silaha. Ilikuwa ni makusudi ili Marekani waingie mtegoni. Israel...
12 Reactions
56 Replies
3K Views
Wanaukumbi JUST IN: Iranian suicide drones have entered Jordanian airspace and are heading toward Israel. UK, US and Israel, with support from Arab nations are working to intercept them...
9 Reactions
596 Replies
17K Views
Niaje waungwana Ukiangalia vita anazopigana Muisrael pale Mashariki ya kati, utakubaliana na mimi kwamba anazopigana zina mkono mkubwa wa Marekani. Kuanzia silaha, bajeti ya jeshi, madawa ya...
10 Reactions
35 Replies
1K Views
Tetesi zinazoelekea kuwa ushahidi kuwa Marekani haijafanikiwa kuleta madhara makubwa yaliyokusudiwa kwa vinu vya nyuklia vya Iran,kunaweza kukaitia hasira sana nchi hiyo na kuamua kuipiga Iran...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ameionya Iran dhidi ya kulipiza kisasi kufuatia mashambulizi ya Marekani kwenye maeneo ya nyuklia ya Iran, akisema kuwa hatua hiyo itakuwa "kosa...
0 Reactions
9 Replies
970 Views
Haya maneno yangu yanaweza onekana kama yasiyo na mashiko. Ilichokitaka Israel na USA ni raia kuprotest against utawala wa AYATOLAH kitu ambacho tayari kinatokea. Marekana anaingia vitani sasa...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Mwaka 1950's alichaguliwa waziri mkuu wa iran aliyeitwa Mohammad Mosaddegh wakati wa kampeni aliahidi kurudisha umiliki wa visima vya mafuta mikononi mwa iran alivyoshinda alianza kutekeleza ahadi...
7 Reactions
13 Replies
775 Views
Kwa kutumia ndege za kivita za mwisho katika hazina yake za Doomsday,Marekani ilitarajia kuvunja vinu vya nyuklia vya Iran ambavyo Israel ilishindwa wiki moja nyuma. Kwa mujibu wa wataalamu wa...
9 Reactions
84 Replies
5K Views
The United States says China should pressure Iran not to close the Strait of Hormuz. WASHINGTON, June 22 (Reuters) - U.S. Secretary of State Marco Rubio on Sunday called on China to encourage...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Saa 1 iliyopita Vita vinavyogharimu Israeli hadi dola milioni 400 kila siku - WSJ Kampeni ya Israel dhidi ya Iran inaigharimu mamia ya mamilioni ya dola kwa siku, gazeti la Wall Street Journal...
5 Reactions
83 Replies
3K Views
Katika hotuba yake aliyoitoa Ikulu - White House, mara baada ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya vinu vya nyuklia vya Iran, Rais Donald Trump amehitimisha hotuba hiyo kwa maneno ya kugusa sana...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Hii ni kazi ya vijana wa itikadi ya msimamo mkali maana yuko radhi ajinyonge ila sio kuona ukristo ukiwa karibu yake.
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Below are the best airlines in Africa in 2025: Rank Airline 1 Ethiopian Airlines 2 Air Mauritius 3 RwandAir 4 South African Airways 5 Egyptair 6 Royal Air Maroc 7 Kenya Airways 8...
2 Reactions
8 Replies
596 Views
Back
Top Bottom