International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Drones zitarahisisha sana mambo,imagine ulimwengu wa drones,kupishana tu juu angani kupelekea mteja bidhaa au kitu. ========= Domino's delivers pizza by drone in New Zealand See Domino's...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mahakama ya kikatiba nchini Zambia imetupilia mbali kesi ya mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha United Party for National Development Hakainde Hichilema na mgombea mwenza Geofrey Bwalya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu 18 wanahofiwa kujeruhiwa baada ya eneo la maegesho ya magari kuporomoko katika mji wa Tel Aviv, Israel ========= TEL AVIV, Israel – A building collapsed in a Tel Aviv construction zone on...
0 Reactions
1 Replies
664 Views
Polisi katika mji wa Sao Paulo watumia mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga kuundolewa Rais Rousseff. ========== Police used tear gas on Sunday to disperse thousands of...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amerudi nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi hali iliyopelekea kuzuka taarifa kuhusu uimara wa afya yake na alipopata nafasi ya kuongea, alitania amepata uhai tena...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Raisi Robert Mugabe wa Zimbabwe leo aliamuru ndege iliyokuwa ikimpeleka nchini Indonesia siku ya Ijumaa igeuzie Dubai na kurudi Harare mara moja. Mzee Jongwe ambae ana umri wa miaka 92 ndiye...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Rwanda expects to boost its revenue earnings from tourism this year by 25.8 percent from 2015, helped by extra attractions including a new game park, an official told Reuters late on Friday. The...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Kagame has re-made Rwanda but he is far from re-making Rwandans. He has failed to check on his "strong men's" powers and authority. Such men like James Muson, Jack Nziza, James Kabarebe...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Raisi dikteta wa Uzbek,Islam Karimov(78) afariki dunia kutokana na stroke. Kwa mujibu wa Aljazeera,Raisi huyu anatuhumiwa kuminya upinzani, uhuru wa habari,kuua waandamanaji na pia inaripotiwa...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
JAMUHURI YA AFRIKA YA KATI NA MAUAJI YA FEDHEHA KWA BARA LA AFRIKA Makala yangu no 04. Juu ya ziara yangu East, Central & Great lake zone of Africa. Na Comred Mbwana Allyamtu. Bangui ndio...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Watu 35 wamefariki nchini Pakistan mapema Jumapili ya leo baada ya basi la abiria kugonga lori la mafuta kusini mwa jimbo la Zabul, wahusika wamethibitisha. Basi hilo lilikuwa linaelekea Kabul...
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Kulitokea kizaazaa katika kituo cha polisi cha kisumu Nairobi,ambapo waombolezaji walipoacha jeneza katika langoni mwa kituo cha polisi kwa hasira Inadaiwa walikuwa wanateta baada ya polisi...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kokeini yenye thamani ya bei ya mtaani kiasi cha Euro 50 m imegundulika katika kiwanda cha a Coca-Cola kilichopo kusini mwa Ufaransa. Dawa hiyo iliyokuwa imefichwa kwenye mifuko ya kuuzia juisi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu amezua mjadala mkali baada ya kutangaza mpango wa kuanzisha wizara itakayosimamia maswala ya dini. Mnamo siku ya Jumapili, Rais Lungu alitangaza mpango wa...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Mwanzilishi wa kampuni ya Facebook Mark Zuckerberg amelezea kusikitishwa kwake baada ya satelaiti ambayo Facebook ingeitumia kwa mawasiliano ya kasi ya mtandao wa intaneti barani Afrika...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
In Uganda, we are still functioning with an old fashioned mid-20th Century Conference Centre, which is not possible to rig up with all the new clever conference tech WEDNESDAY AUGUST 31 2016...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kijana mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa jimbo la kaskazin magharibi mwa Nigeria la Bauchi anasema kuwa macho yake yalitolewa na watu waliotaka kuyatumia kwa ajili ya sababu za ushirikina. Viungo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte ametishia kutangaza hali ya nkuitawala nchi kijeshi kufuatia kuendelea kwa " hali ya uasi " kufuatia waasi wa Abu Sayyaf kulipua bomu lililoua watu 14 na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
In advance of the storm, Florida Gov. Rick Scott declared a State of Emergency to help 51 counties prepare. A mandatory evacuation notice has been issued for Franklin County, located along the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Marine Ciarán Maxwell charged with terror offence - Marine Ciarán Maxwell charged with terror offence - BBC News
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…