IYADH, Saudi Arabia
POLISI nchini Saudi Arabia wamemkamata mwanamume mmoja aliyempiga risasi mwanaume mtaalamu wa afya ya uzazi aliyemsaidia mkewe kujifungua mtoto akisema ni haramu kwa mwanamume...
Madaktari wametumia roboti ya kwanza kufanya upasuaji wa macho na kurejesha uwezo wa kuona kwa mgonjwa kwa mara ya kwanza duniani.
Kundi la madaktari kutoka hospitalia ya John Radclife nchini...
Maelfu wahamishwa, safari zasimamishwa Kusini mwa Taiwan kufuatia upepo mkali unaovuma kasi ya 370kph.
==========
Hong Kong (CNN) Hundreds of people have been evacuated in southern Taiwan and...
Rais wa Gabon, Ali Bongo Ondimba amekubali ushauri wa kuhesabiwa upya kura za uchaguzi uliofanyika hivi karibuni na kuzusha machafuko baada ya wafuasi wa upinzani kugomea matokeo yaliyotangazwa na...
Habar wana jamii forum,
Ninaitwa HAASAN AKILIMALI , Ninafanya shughuli za designing vitu ninavyo tengeneza ni pamoja na PLASTIC IDENTITY CARDS(PVC’S)PLASTICS CERTIFICATES FOR COLLEGES (PVC)...
Aleksander Ceferin (48) wa Slovenia ametajwa kuwa Rais mpya wa UEFA akiungwa mkono na vyama 42 vya soka barani Ulaya.
======
Aleksander Ceferin has been elected as the new president of Uefa...
Ugiriki nimoja kati ya nchi zinazounda EU na nchi hiyo ina mdororo wa uchumi kama mdororo wetu hapa Tanzania. nasikikitika kuona hali ya ugiriki kiuchumi kudorora na wala sio jambo la kusifia...
Jeshi la Syria limesema limeziangusha ndege mbili za anga za Israel. Baada ya Israel kutaka kushambulia eneo lilipo jeshi la Syria la Quneitra
========
Syrian army says it downed two Israeli...
President Jacob Zuma has sent a message of condolence on behalf of the South African people to the government and people of Tanzania following a deadly earthquake which has resulted in the death...
Ndege mbili za kivita za Marekani zenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia, B-1 Lancer, zimepaa juu ya anga ya Korea Kusini, siku chache baada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio la tano la silaha...
Mafuriko makubwa yanayoendelea Korea ya Kaskazini yamepelea takribani watu 133 kupoteza maisha na wengine 395 hawajulikani walipo.
Watu 107,000 hawana makazi.
=====================
Severe...
Korea Kaskazini 'kulipua bomu la nyuklia tena'
12 Septemba 2016
Maafisa wa korea kusini wametahadharisha kwamba huenda Korea Kaskazini ikafanya jaribio jingine la bomu la nyuklia wakati wowote...
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amerudisha pesa zilizotumiwa kukarabati nyumba yake binafasi jinsi ilivyoamriswa na mahakama.
Mwandishi wa BBC mjini Johannesburg anaripoti kuwa msemaji wa wizara...
David Cameron leo amejiuzulu ubunge katika jimbo analoliwakilisha la Whitney.
Hilo ni baada ya kukubali kushindwa katika kura ya maoni katika sakata la Uingereza Kujitoa au kubaki ndani ya Umoja...
Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu na Makamu wa Rais Inonge Wina wameapa leo kulitumikia taifa hilo kwa miaka 5.
===========
Zambia has sworn in President Edgar Lungu amidst protests by the...
Here are 10 of the worst lies that have been peddled by the West regarding Syria, with the aim of giving people living in Western countries an entirely false view of the conflict that has been...
Joe Biden huwa ananifurahisha sana.
Jamaa ni kama mchizi flani hivi.
Hebu ona hilo kumbatio...Hillary kwa kutumia lugha ya mwili anasema kabisa 'Joe imetosha, niachie basi'...
Lakini Joe bado...
Mwanamke mmoja kutoka Ghana ajirusha ghorofani baada ya kugundua mumewe kampa ujauzito mama yake mzazi
=======
A pregnant Ghanaian woman has committed suicide after finding her husband having...
Hillary Clinton not feeling well, leaves 9/11 event early
(CNN)Hillary Clinton left the 9/11 commemoration ceremony Sunday early after she felt overheated and went to her daughter's apartment...
The Anadolu news agency reports that the Turkish authorities have sent tanks to its border with Syria.
The Turkish military has sent 20 more tanks to an armored brigade it has stationed at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.