International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wakuu, Maporomoko mabaya ya ardhi katika eneo la Darfur nchini Sudan yamefuta kijiji kizima, yakiua zaidi ya watu 1,000 na kumuacha mtu mmoja pekee hai, kwa mujibu wa Harakati ya Ukombozi wa...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Haya maneno ya Trump wala si mapya kuonesha jinsi Marekani inavyoshirikiana na Israel kuwaangamiza wapalestina bila kificho. Kilicho kipya na cha kushangaza ni jinsi mataifa ya kiarabu na kiislamu...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Mtandao wa Mshikamano wa Kimataifa ulihitimisha shughuli za mfano wa uigaji wa Umoja wa Afrika kwa wanafunzi wa Shule za Ubora wa Sayansi na Teknolojia (Steam) chini ya kauli mbiu "Haki kwa...
0 Reactions
0 Replies
394 Views
Uongo uliopitiliza; Msichana wa Gaza "alipigwa risasi kifuani na majeshi ya Israel madaktari wanaitoa risasi hiyo mgongoni kwa msichana huyo cha ajabu hakuna damu, hakuna jeraha, na ganda la...
0 Reactions
5 Replies
465 Views
Wanaukumbi. Ubelgiji itaitambua taifa la Palestina katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa baadaye mwezi huu, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ubelgiji Maxime Prevot alitangaza Jumanne, akiongeza kwamba...
2 Reactions
19 Replies
855 Views
WOW: Israeli ilifanikiwa kuzindua Ofek 19 - satelaiti mpya yenye nguvu ya kijasusi iliyojengwa kulinda na kutetea nchi ya Israel!! Hatua nyingine katika teknolojia ya ulinzi ya Israeli...
3 Reactions
14 Replies
674 Views
Mkuu wa Majeshi Eyal Zamir: 'Tunaishambulia Hamas katika kila sehemu ya Mashariki ya Kati. Hawana pa kujificha kwetu, na tutawaangamiza popote tuwapatapo, wakubwa au wadogo. Tayari tumeanza...
2 Reactions
2 Replies
343 Views
Miradi ya nishati safi inapogwa rungu na vita kwa nguvu zote, Wachina wakina Xi Jinping watakuwa wanachekea chooni, wanekunua meno to😁. Waziri wao nishati anadaganya kwamba hata ukizungusha...
1 Reactions
3 Replies
347 Views
Gwaride la kijeshi la China la Septemba 3 litaonyesha silaha na vifaa vilivyoboreshwa. Xinhua|June 24,2025 The weapons and equipment to be displayed in China's Sept. 3 military parade embody the...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Maneno hayo aliyasema Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu miaka 25 iliyopita akiziasa nchi za Magharibi kuhusu kupambana na Magaidi lakini hawakumuelewa lakini sasa hivi wanakumbuka maneno...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
‼Marekani imetoa zawadi ya dola milioni 15 kwa atakayetoa taarifa zitakazowezesha kukamatwa kwa Waziri wa Ulinzi wa Venezuela Vladimir Padrino Lopez. You
1 Reactions
12 Replies
902 Views
Kijana huyo alijulikana kama Alshababa.Alipewa kazi ya kupambana na Hamas na yeye akapewa siku 14 kujisalimisha kujibu kosa la kukubali kuwasaliti wapalestina. Baada ya hapo akasema yeye anataka...
4 Reactions
7 Replies
634 Views
Ugiriki imefunga zaidi ya shule 700 kutokana na upungufu wa wanafunzi kufuatia kupungua kwa idadi ya watu. Wizara ya Elimu imetangaza kwamba shule 721 kati ya shule 13,478 za Ugiriki...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
IDF inasema inakamilisha maandalizi ya mwito mkubwa wa askari wa akiba kabla ya Operesheni ya Gideon's Chariots II. Wanajeshi wanapewa zana kamili za kivita na kupewa mafunzo kwa ajili ya vita vya...
2 Reactions
14 Replies
605 Views
Kilichoipta Urusi kule Afghanistan miaka ya 1979 na Marekani kule Vietnam mwaka 1975 na Afghanistan tena mwaka 2021 ndicho kilnachoelekea kuipata Israel huko Gaza mwaka huu 2025 Marekani na...
12 Reactions
49 Replies
2K Views
Magaidi wa Houth toka Oct 07,2023 wamekiwa wakiishambulia Israel kwa Makombola ambayo yamekuwa yakipopolewa na Mufumo ya ulinzi wa anga ya Israel. Israel kwa wakati wote wamekuwa waliwaonya...
8 Reactions
55 Replies
3K Views
Wakuu, Burkina Faso imepitisha sheria mpya inayokataza masuala ya ushoga. Sheria hiyo mpya, iliyopitishwa kwa kauli moja na bunge la mpito, inasema kuwa eyote atakayepatikana na hatia ya...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Rais Isaac Herzog atasafiri hadi Vatican siku ya Alhamisi kwa ziara ya siku moja, ambapo atakutana na Papa Leo XIV na Kardinali Pietro Parolin. Mazungumzo yanatarajiwa kulenga kuachiliwa kwa...
2 Reactions
4 Replies
340 Views
By Dickson Ng’hily Prologue: The Voice They Couldn't Contain For decades, the Catholic Church in Tanzania had in its ranks a man of rare clarity—Bishop Methodius Kilaini. Scholar, canon lawyer...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…