International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Oya Myahudi kachafukwa kinoma. Hataki discussion na mtu yeyote yule. ================= Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Kaja Kallas amependekeza awamu nyengine ya vikwazo dhidi ya mawaziri...
1 Reactions
5 Replies
550 Views
Utengenezaji wa mfumo wa kukamata laser wa "Iron Light" umekamilika kufuatia mfululizo wa majaribio kusini mwa nchi. Jina jipya la mfumo: "Nuru ya Eitan,"”Light of Eitan,” iliyopewa jina la...
2 Reactions
5 Replies
377 Views
Niaje waungwana Wengi tunafaham kuwa shetan huwa hana undugu, urafiki wala ujamaa na binadamu. Shetan ndugu yake, rafiki yake na jamaa yake ni shetan mwenzake. Hivyo ukiingia makubaliano yoyote...
13 Reactions
75 Replies
3K Views
WAPALESTINA NI WAVAMIZI KWA MUJIBU WA QURAN Qur’an inataja wazi kuwa ardhi takatifu (Ardhi ya Kanaani) ilipewa kwa Waisraeli (wana wa Israel). Kuna aya kadhaa zinazolitaja hilo Qur’an 5:20–21...
2 Reactions
10 Replies
601 Views
Niaje niaje..........katika hali ya kushangaza kumbe jamaa walihiti target vizuri tu bila papara ..............maneno yalikuwa meeengi kumbe kitu kimewaramba
1 Reactions
7 Replies
565 Views
Nikiwa nimeishi nchini China kwa miaka mingi sana tangu mwaka 2008, na kushuhudia nchi hii ambayo sasa ni ya pili kwa uchumi mkubwa duniani inavyobadilika hatua kwa hatua, chini ya muongozo wa...
3 Reactions
6 Replies
432 Views
Tarrif King, mwendawazimu Trump kaamua kuchapa dunia nzima tarrifs, mpaka Tanzania nasi tumo! Huyo mzee kachanganyikiwa anajiendea kama gari la mlevi.
3 Reactions
99 Replies
5K Views
Nchini Ghana, majeneza hayachukuliwi tu kuzikia miili ya marehemu kama ilivyo kawaida sehemu nyingine duniani. Kila jeneza linatengenezwa si tu kuzikia marehemu, bali pia kuonyesha kiini cha...
3 Reactions
4 Replies
468 Views
Idara ya Mambo ya ndani ya Marekani imetangaza kuwa mabango yote ya maelezo kwenye hifadhi za taifa yapo chini ya ukaguzi, hatua inayokuja wakati wa utawala wa Rais Donald Trump ambao unadaiwa...
2 Reactions
6 Replies
437 Views
Serikali ya Nepal imetangaza kutoa rupia 1.5 milioni (Sh42 milioni) kwa ajili ya fidia kwa familia za wafiwa waliofariki katika maandamano ya GenZ yaliotokea nchini humo wiki chache zilizopita...
2 Reactions
3 Replies
265 Views
Kuteka na kuua raia ndo final stage ya utawala kuanguka maana baada hakuna option inayobaki. Siku wananchi hawa mnaotuita makondoo wakichoka, hao watekaji hutowaona popote.
3 Reactions
7 Replies
500 Views
Polisi nchini Gambia wamemtoa kwa nguvu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Momodou Ceesay, kutoka ofisini baada ya kukataa kuachia wadhifa huo kufuatia mabadiliko ya baraza ya Rais...
2 Reactions
6 Replies
587 Views
Marekani imetangaza makubaliano ya awali na China kuhusu kutatua mgogoro wa TikTok, ambapo yamependekeza kwamba umiliki wa programu/Mtandao huo inayomilikiwa na Wachina upewe kampuni...
1 Reactions
7 Replies
555 Views
Hapo ndipo temple ya kwanza na ya pili ilipokuwa, mamlaka nyingi zilizopita zilihakikisha kufukia historia ya judea kwa kupandikiza za kwao ila ukweli siku zote unashinda giza. Miaka ya maelfu ya...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Hapa kuna orodha ya baadhi ya nchi zinazojulikana kuwa hazina jeshi pamoja na jinsi zinavyolinda usalama wao: Costa Rica Iliacha kuwa na jeshi mwaka 1948. Usalama wake unadhibitiwa na Fuerza...
6 Reactions
6 Replies
691 Views
Larry Ellison mwanzilishi wa kampuni ya Oracle amempita Elon Musk na kuwa mtu tajiri zaidi duniani. Leo amevuna kibunda chenye thamani ya $107 bilioni, baada ya hisa za Oracle kuongezeka kwa 43%...
11 Reactions
52 Replies
2K Views
Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema uamuzi wa nchi za Jumuiya ya Kujihami ya NATO wa kuilinda anga ya Ukraine itakuwa ni kama tangazo la vita. Medvedev amesema kwenye mtandao wa...
1 Reactions
4 Replies
613 Views
Waziri Mkuu wa mpito nchini Nepal Sushila Karki ameapa kufuata matakwa ya waandamanaji ya kukomesha ufisadi nchini humo wakati alipokuwa anaanza kazi yake rasmi baada ya kushika wadhifa huo...
1 Reactions
7 Replies
410 Views
Chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki, Republican People’s Party (CHP), kinakabiliwa na mtikisiko mkubwa ambapo leo Septemba 15, 2025 Mahakama mjini Ankara inatarajiwa kuamua iwapo itabatilisha...
2 Reactions
2 Replies
359 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…