Kongamano la 12 la Xiangshan hivi karibuni umefanyika mjini Beijing, China. Wakati dunia inapokabiliwa na changamoto mbalimbali, kongamano hilo si kama tu ni jukwaa la mazungumzo, bali pia ni...
Nauliza wanawake wa Bongo mko wapi kudai mabadiliko kwenye masuala ya uongozi?
Mmezubaa sana jamani. Em jitahidini. Hili la Nigeria liwe funzo kwenu
=====
Leo Septemba 22, 2025 Mamia ya...
Septemba 20, 2025 Waandamanaji wanaopigania demokrasia kutoka Eswatini walikusanyika nje ya Ubalozi wa Marekani jijini Pretoria wakipinga vikali taarifa za makubaliano kati ya serikali ya Marekani...
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza uamuzi wa Uingereza kulitambua rasmi taifa la Palestina zaidi ya miaka 100 baada ya Azimio la Balfour kuunga mkono "kuanzishwa kwa makazi ya...
Wakuu,
Huko Ufilipino mambo yameanza kuwa sukari kama ambavyo wiki kadhaa nyuma ilivyokuwa huko Nepal
Maelfu ya waandamanaji wameingia mtaani wakidai kwamba kuna mabilioni ya dola ya kodi za...
Netanyahu says Israel 'in isolation', blaming Qatar, China and Muslims in the West
Prime minister says Israel will be 'Athens and Super Sparta', as he admits it would need to develop its own arms...
Wanaukumbi.
⚡️BREAKING: Taarifa ya kijeshi iliyotolewa na uongozi wa Brigedi ya Martyr Izz al-Din al-Qassam:
"Tunauambia uongozi wa kijeshi na kisiasa wa adui: Gaza haitakuwa sehemu rahisi kwa...
Here’s what that recognition typically symbolizes:
1. Legitimacy of Palestinian Statehood
It signals that these countries formally acknowledge Palestine as a state (not just as a “territory” or...
Huko Marekani chini ya utawala wa Trump wanaendelea kusogea mdogo mdogo kufanana kama tawala za China, Russia, Korea Kaskazini na nchi nyingi za Africa ambapo bwana au bibi mkubwa namba moja...
Cairo, September 2025 – The Global Solidarity Network has marked the International Day of South-South Solidarity with a thought-provoking cultural salon under its “Global Solidarity Talks”...
Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zimbabwe (ZACC), imetangaza kufungua upya jalada la Uchunguzi dhidi ya Mfanyabiashara Wicknell Chivayo kutokana na kuhusishwa kwake na masuala ya Rushwa na Ufisadi...
Mkataba huo unalenga kuipatia Misri takriban mita za ujazo bilioni 130 za gesi hadi mwaka 2040 zenye thamani ta dola bilioni 35
mpango huu utapunguza tatizo la nishati nchini Misri baada ya...
Malawi na Zambia zimejijengea utamaduni wa uwajibikaji wa kufanya uchaguzi wa haki, wazi, na unaokidhi viwango tofauti na Bongolalaland ambayo hufanya uchafuzi na kuuita uchaguzi.
Baada ya kura...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano katika jimbo la Darfur nchini Sudan baada ya shambulio baya la ndege isiyo na rubani siku ya Ijumaa kuwauwa waumini...
Unafikiri wakiichukua tel aviv na jerusalem ndio itakuwa mwisho wao?
Wataipata israel yote alafu kama kawaida yao wataanza kupigana wao kwa wao kwamba nani ana jukumu kuu la kuilinda jerusalem...
Chama tawala nchini Malawi cha Congress Party (MCP) kimesema kuwa kimegundua dosari katika kuhesabu kura katika karibu nusu ya wilaya za nchi hiyo baada ya uchaguzi wa wiki hii.
Wakati MCP...
Wakuu,
Yaani hata huko Marekani napo hakuna uhuru kama tunaoufikiria.
Hili tukio halina tofauti sana na lile la Askari wa Tanzania kumvamia yule jamaa mbele ya mahakama na kuanza kumpiga...
Huu ndio ujirani Mwema, Saudi Arabia wamezuia makombora ya magaidi wa Yamen yaliyokuwa yakielekea Israel, Makombora hayo yalionekana yakipita juu ya mji wa Madinah karibu na msikiti Masjid an-Nabawī