Uchumi wa Misri hoi. Ilianza kuadimika kwa fedha mitaani, kulikotokana na Sera za kubana matumizi zilizochukuliwa na Serikali mpya baada ya machafuko yaliyoikumba nchi hiyo.
Wachambuzi wanasema...
Donald Trump ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Marekani ni mtu asiyekuwa na uzoefu wowote wa masuala ya siasa wala hajawahi kushika nafasi yeyote ya ngazi ya kisiasa ama kiutawala nchini mwake...
BUENOS AIRES, Argentina (AP) — A strong earthquake with a magnitude of 6.2 struck northwestern Argentina early Sunday, but there were no immediate reports of damage or injuries.
The U.S...
Mhe Trump tunaomba uanze na Tz tunajua hupendagi ujinga. Kunawababe uku wamegawana zile pesa za maafa ya kagera mil kumi kumi.
Mwenye kujua lugha ya Trump anisaidie kutafsir ako kaujumbe apo juu...
Donald Trump alisindikizwa na familia yake alipopanda jukwaani kutoa hotuba baada ya kushinda urais Marekani. Unawafahamu wake zake na watoto?
1. Barron Trump ndiye mwana wa pekee wa Donald na mke...
Mwenye nchi1: Haya mambo ya nipe nikupe yanatughalimu sana, ona watu wanavyorundikana kwetu, huku wengine wakianza kudai haki sawa, na sisi tupo tukiwaangalia tu. Hata watu wetu sasa hivi wameanza...
[Donald Trump kuwarejesha wahamiaji kwao - BBC Swahili] is good,have a look at it! Donald Trump kuwarejesha wahamiaji kwao - BBC Swahili rais mteule wa marekani asema atakapo Ingia madarakani kazi...
Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltennburg amemuonya rais mteule wa Marekani Donald Trump dhidi ya kufanya maamuzi ya kipekee ,akisema kuwa sio chaguo la muungano wa Ulaya ama hata Marekani.
Amesema...
Mzuka wanaJF!
kile kikundi cha kigaidi kijulikanacho na kuogopwa kwa ukatili wa kutisha hili kuleta hofu kimeenda hatua zaidi mbele kwa kuweka sheria kali.
Wahuni hao Wamepiga marufuku uvaaji wa...
Donald Trump asema kati ya wahamiaji haramu milioni mbili ama tatu watasafirishwa kutoka Marekani baada ya kuapishwa kuwa rais wa chi hiyo.
Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha...
Magnitude 7.4 earthquake hits near Christchurch, New Zealand: US Geological Survey
The earthquake hit 91 kilometers (57 miles) northeast of the city of Christchurch, the USGS said. The city was...
Raisi mteule Wa nchi ya Marekani Bwana Donald Trump amepanga kuanza na wahamiaji haramu zaidi ya Milioni 3 wanaoishi kinyume na sheria nchini marekani.... Hawamiaji wote haramu watarudishwa kwenye...
President elect Donald Trump has vowed to deport 3,000,000 immigrants despite nationwide protest going on now
BBC ENGLISH BROADCAST STAR TV
AJE AFRICA AONDOE MADIKITEITA WA KIAFRIKA
RUSSIAN PRESIDENT VLADIMIR PUTIN
'Russia is ready and wants to restore full-format relations with the United States. Let me repeat. We proceed from the fact that this will be an uneasy way but...
Wana JF,
Jana nilitupia uzi hapa nikielezea kuwa Donald Trump kuzishughukiavUganda na Zimbabwe akiwabRais. Lskini nadikitika MOD 4 aliiondoa thread hiyo kuwa ni ya uongo. Nimesikitika sana...
Kumbe ndo maana labda hakuweza kutoa hotuba ya kukubali kushindwa jana/juzi.
Aache kulaumu wengine. Awalaumu hao pollsters waliomwaminisha kuwa atashinda.
Hillary Clinton "couldn't stop crying"...
Kuna tetesi kwamba VIDEO hii ya makamu wa rais wa Marekani Mike Pence akizungumuzia kuhusu imani yake ndio iliyogusa wamarekani wengi na kumsaidia Trump katika ushindi wake na hivyo kuchaguliwa...
Maelfu ya watu wanaendelea kuandamana katika mitaa mbalimbali ya mji mkuu wa Seoul,Korea kusini kwa wiki ya pili mfululizo wakimtaka Raisi wa nchi hiyo,Park Geun Hye ajiuzulu.
Maandamano ya jana...